Sawa babuMimi sio mkuu. Mimi ni babu
Jamani! Ndio maana Serikali inasisitiza vitumike vitabu vinavyochapishwa na Taasisi ya elimu....hizi zitakuwa zile za mtaala wa CambridgeHizo shule ndio sasa zinafundisha ushogaView attachment 2486909View attachment 2486910
😂😂😂😂Jamani!ndio maana serikali inasisitiza vitumike vitabu vinavyochapishwa na Taasisi ya elimu....hizi zitakuwa zile za mtaala wa Cambridge
Inauma sana! PoleNimeumia sana moyoni!
Au teacher na wewe una hiki kitabu tujue kabisaaa?😂😂😂😂
Ukitaka kuelewa ni jinsi gani hii SYNDROME ya kufaulisha kwa MAUMIVU YOYOTE YAWAYO kwa mtoto ilivyobebwa na wazazi vs walimu.Nimeumia sana moyoni!
Nasemaga kila siku watanzania tukiletewa Jambo linakuwa letu kwelikweli kuliko hata wenye Jambo lao,Sasa hizo shule zimekuwa shule😅😅Leo nimshuka kutoka basi la mkoani mida ya around saa9 usiku hapa stand ya magu.
Kupanda daladala ya gomz mida hiyo nashangaa kunakatoto kashule moyoni nikajiuliza shule mida hii nani atamfungulia.
Hilo nimoja ya gap watu wenye nia mbaya wanaweza kutumia.
#EeBabaMunguTulindieWatotoWetu
Kuna shida mahali kwenye mindsets za mtu mweusi!!!
Hao waliotuletea hii elimu wanasoma kwa ku relax sana na bado hadi leo hii ni wagunduzi hodari
Sisi tulio ipokea elimu , tunasoma kwa kujitesa sana na hatuvumbui chochote
Hapana jaman😂😂Au teacher na wewe una hiki kitabu tujue kabisaaa?
Halahala teacher na watoto wetu😂😂😂😂😂Hapana jaman😂😂
Wakati sisi wazazi tunasoma shule bora zilikuwa nyingi? Au ndo tulikuwa tunahesabu shule chache sana zilizokuwa chini ya usimamizi wa vyuo vya walimu?Tatizo linaanza kwenye kero za usafiri wa umma, uhaba wa barabara nyingi, uchache wa shule nyingi bora....hayo yakisharekebishwa, ndipo unapoweza kutupa lawama kwa mzazi
Mtoto atapata kibiongoNimeumia sana moyoni!
Hili ndio somo gani?Hizo shule ndio sasa zinafundisha ushogaView attachment 2486909View attachment 2486910
CCM inaingiaje hapaItakuwa ni maagizo ya kamati kuu ccm
Nimesikitika.Hizo shule ndio sasa zinafundisha ushogaView attachment 2486909View attachment 2486910
Uko sahihi.Dar ni mkoa wenye maisha ya taabu Kwa watu walio wengi, na maisha ya kifahari Kwa watu wachache