Saa nyingine nawaonea huruma sana wanawake wanaojiuza

Saa nyingine nawaonea huruma sana wanawake wanaojiuza

Kila mtu ananunua katika maisha yake,tuna tofauti tu maeneo ya kununua na njia inayotumika kununua!!

Wadangaji wapo every where,siku hizi hata vijana wanadanga kwa mashangazi!!

Maofisini wanadangiana,wanauziana,utaazia kwenye lunch,baadae kwenye weekend!!

Walalahoi wengi tunauziana kwa mfumo wa kimachinga,nipe nikupe. Daraja la kati wanauziana kwa postpaid through hanging, vacation na ushikaji.

Nothing for free,nipe nikupe!!

Hata mke inabidi umnunue kwa kulipa mahari,kumtunza etc

Return yake ni utelezi.

Akizaa kutunza watoto na kumhudumia- still the same,mfumo tu unabadilika
 
Kila mtu ananunua katika maisha yake,tuna tofauti tu maeneo ya kununua na njia inayotumika kununua!!

Wadangaji wapo every where,siku hizi hata vijana wanadanga kwa mashangazi!!

Maofisini wanadangiana,wanauziana,utaazia kwenye lunch,baadae kwenye weekend!!

Walalahoi wengi tunauziana kwa mfumo wa kimachinga,nipe nikupe. Daraja la kati wanauziana kwa postpaid through hanging, vacation na ushikaji.

Nothing for free,nipe nikupe!!

Hata mke inabidi umnunue kwa kulipa mahari,kumtunza etc

Return yake ni utelezi.

Akizaa kutunza watoto na kumhudumia- still the same,mfumo tu unabadilika
Mke hanunuliwi.
Angekuwa anunuliwa gharama ingekuwa kubwa zaidi ya hiyo.

Imagine unalipa 20K, 30K hadi 150K kwa bao moja.
Mke ungelipa kiasi gn.
Plus anakuwa ni msaidizi home.
 
Habarini

Kama kawaida yangu, kuna siku nilipita mahali flani chimbo kupata huduma yetu pendwa, mdada classic, short time tsh elf 7, kufika chumbani nkamwambia alale kwa tumbo ili nikojoe haraka, akaomba nimwongezee buku, sikuwa vizuri mfukoni nkamwambia ntampa siku ingine.

Baada ya siku kadhaa kupita nimetafakari hiyo scenario nimejisikia vibaya rohoni, nimejiuliza kwanini namnunua binadamu mwenzangu, tena na-bargain kama vile nanunua nyanya sokoni, wakati yeye ni binadamu alieumbwa kwa mfano wa Mungu, yani anaomba kuongezewa tsh elf 1 aisee ya kuuza mwili wake, ambao kiuhalisia ni priceless, nimejisikia huzuni na huruma rohoni, tatizo na mimi nyege zikijaa tena narudia kununua, kama mbwa arudiavyo matapishi yake.

Hii dunia 😭


Jionee huruma wewe kwanza, yeye muache.
 
Mke hanunuliwi.
Angekuwa anunuliwa gharama ingekuwa kubwa zaidi ya hiyo.

Imagine unalipa 20K, 30K hadi 150K kwa bao moja.
Mke ungelipa kiasi gn.
Plus anakuwa ni msaidizi home.

Tunasema hanunuliki kwa kua ni priceless, ukweli ni kua binadamu wote ni priceless ila huwa tunalipa fidia tu ya kutumia muda wao.

Mke nae anaangukia hapo hapo. Kua utamhitaji aungane nawe,utalipa walau mahari,utaanza kumhudumia-!
 
Habarini

Kama kawaida yangu, kuna siku nilipita mahali flani chimbo kupata huduma yetu pendwa, mdada classic, short time tsh elf 7, kufika chumbani nkamwambia alale kwa tumbo ili nikojoe haraka, akaomba nimwongezee buku, sikuwa vizuri mfukoni nkamwambia ntampa siku ingine.

Baada ya siku kadhaa kupita nimetafakari hiyo scenario nimejisikia vibaya rohoni, nimejiuliza kwanini namnunua binadamu mwenzangu, tena na-bargain kama vile nanunua nyanya sokoni, wakati yeye ni binadamu alieumbwa kwa mfano wa Mungu, yani anaomba kuongezewa tsh elf 1 aisee ya kuuza mwili wake, ambao kiuhalisia ni priceless, nimejisikia huzuni na huruma rohoni, tatizo na mimi nyege zikijaa tena narudia kununua, kama mbwa arudiavyo matapishi yake.

Hii dunia 😭
Tunakusubiria kwenye mahari tukugonge bei nzuri ili ukajiskie vibaya zaidi kwanini unauziwa binadamu mwenzio mazima ili kusudi sasa akalalie tumbo na ili ukojoe haraka hadi kifo kiwatenganishe
 
Back
Top Bottom