Saa nyingine nawaonea huruma sana wanawake wanaojiuza

Saa nyingine nawaonea huruma sana wanawake wanaojiuza

Sasa wewe unahangaika kumhurumia mtu ambaye yeye mwenyewe hajihurumii.
Mwenyewe karidhia kuuza mwili wake ili ajikimu kimaisha wewe unamhurumia wa Nini?
 
Habarini,

Kama kawaida yangu, kuna siku nilipita mahali flani chimbo kupata huduma yetu pendwa, mdada classic, short time tsh elf 7, kufika chumbani nkamwambia alale kwa tumbo ili nikojoe haraka, akaomba nimwongezee buku, sikuwa vizuri mfukoni nkamwambia ntampa siku ingine.

Baada ya siku kadhaa kupita nimetafakari hiyo scenario nimejisikia vibaya rohoni, nimejiuliza kwanini namnunua binadamu mwenzangu, tena na-bargain kama vile nanunua nyanya sokoni, wakati yeye ni binadamu alieumbwa kwa mfano wa Mungu, yani anaomba kuongezewa tsh elf 1 aisee ya kuuza mwili wake, ambao kiuhalisia ni priceless, nimejisikia huzuni na huruma rohoni, tatizo na mimi nyege zikijaa tena narudia kununua, kama mbwa arudiavyo matapishi yake.

Hii dunia [emoji24]
Hao watu wengi wana story za kusikitisha, wengi wanatoka familia ambazo wazazi eidha wote wamekufa ,kalelewa kwa hisani na manyanyaso mpaka akajikuta yuko huko,
Japo pia tamaa binafsi inapelekea hivo ila wengi wana machungu makubwa moyoni (orphans)
 
Kununua. Kuna addiction mbaya sana kama punyere tu last time kununua niliambia doggy nane elfu nilijifeel guilty sana nilifunga nikamuomba Mungu asiniruhusu niwe mlanguzi Tena sijawah kununua since then
 
Back
Top Bottom