dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
NAKAZIAHuwa nasemaga ndoa ni glorified prostitution. Whatever route it takes the end justifies the name, sex in exchange for resources.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKAZIAHuwa nasemaga ndoa ni glorified prostitution. Whatever route it takes the end justifies the name, sex in exchange for resources.
Jibu ni labda ndyo, ingekuwa K inauma wasingefanya!Utamu !!!!???
Utamu how...! Kwa mtu kama huyo mkuu ambaye hiyo ni kazi sio starehe kama unavozania wewe..!!Jibu ni labda ndyo, ingekuwa K inauma wasingefanya!
Mamako yupo chimbo gani? Nimpe chimbo jipya aje na dada zako mkuu.🤣🤣Wanawake wote wanajiuza tofauti ni styles tu
Na kuhonga kuna zile unaombwa kubwa kinyamaKununua ni kuba-gain
Chimbo? Classic? 7🤔🤔chimbo kupata huduma yetu pendwa, mdada classic, short time tsh elf 7,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe jinga sanaHawajiuzi wale bali wanakodisha
Ms , kwani msichana permanent hata taka pesa?Either utafute msichana wako permanently ili usiendelee kuwanunua.
Hakuna vita kati ya mwanamke na mwanaume jf wanakuchora tu ,huku pm tunatafunana balaaa shauri yako [emoji847]Hii vita ya wanawake na Wanaume haijawahi kuisha hapa jf[emoji19]
Hao watu wengi wana story za kusikitisha, wengi wanatoka familia ambazo wazazi eidha wote wamekufa ,kalelewa kwa hisani na manyanyaso mpaka akajikuta yuko huko,Habarini,
Kama kawaida yangu, kuna siku nilipita mahali flani chimbo kupata huduma yetu pendwa, mdada classic, short time tsh elf 7, kufika chumbani nkamwambia alale kwa tumbo ili nikojoe haraka, akaomba nimwongezee buku, sikuwa vizuri mfukoni nkamwambia ntampa siku ingine.
Baada ya siku kadhaa kupita nimetafakari hiyo scenario nimejisikia vibaya rohoni, nimejiuliza kwanini namnunua binadamu mwenzangu, tena na-bargain kama vile nanunua nyanya sokoni, wakati yeye ni binadamu alieumbwa kwa mfano wa Mungu, yani anaomba kuongezewa tsh elf 1 aisee ya kuuza mwili wake, ambao kiuhalisia ni priceless, nimejisikia huzuni na huruma rohoni, tatizo na mimi nyege zikijaa tena narudia kununua, kama mbwa arudiavyo matapishi yake.
Hii dunia [emoji24]
Kama kweli unawaonea huruma usiende kuwanunua..
Wangekuwa wana bebwa mazima mazima kama watumwa hapo sawa wangekuwa wanajiuza[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe jinga sana
Hahaha banaWangekuwa wana bebwa mazima mazima kama watumwa hapo sawa wangekuwa wanajiuza
Sasa kwa muda alafu anarudi tena golini wanafanya kitu wanasheria wanaita lease
legend on one and two........hakuna tofauti na anayetoa Mahari kununua binaadamu
ni biashara ileile, huku unalipa rejareja, kule unalipa jumla
😂 😂 😂 😂 😂legend on one and two........