Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
HahahahaMbona wapo wengi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaMbona wapo wengi mkuu
Habarini
Kama kawaida yangu, kuna siku nilipita mahali flani chimbo kupata huduma yetu pendwa, mdada classic, short time tsh elf 7, kufika chumbani nkamwambia alale kwa tumbo ili nikojoe haraka, akaomba nimwongezee buku, sikuwa vizuri mfukoni nkamwambia ntampa siku ingine.
Baada ya siku kadhaa kupita nimetafakari hiyo scenario nimejisikia vibaya rohoni, nimejiuliza kwanini namnunua binadamu mwenzangu, tena na-bargain kama vile nanunua nyanya sokoni, wakati yeye ni binadamu alieumbwa kwa mfano wa Mungu, yani anaomba kuongezewa tsh elf 1 aisee ya kuuza mwili wake, ambao kiuhalisia ni priceless, nimejisikia huzuni na huruma rohoni, tatizo na mimi nyege zikijaa tena narudia kununua, kama mbwa arudiavyo matapishi yake.
Hii dunia 😭
Wapi mbn siwaoni ? Wote wako na watu waoMbona wapo wengi mkuu
Wapo aisee hujatafuta tu. Kuna watu wanapigika na mapenzi balaaWapi mbn siwaoni ? Wote wako na watu wao
OoohWapo aisee hujatafuta tu. Kuna watu wanapigika na mapenzi balaa
Labda huna sifa stahiki.Wapi mbn siwaoni ? Wote wako na watu wao
Wanapigikaje labdaWapo aisee hujatafuta tu. Kuna watu wanapigika na mapenzi balaa
Watakifa njaa itakuwa dhambi sanaKama kweli unawaonea huruma usiende kuwanunua..
HahahahahaHao wanawake wauza papuchi aisee wana mapenzi ya Hatari mkielewana.
Na humpi senti tano,we usiwe na wivu tu.
Atatoka huko anakuja kukupa we unakesha nayo mpk asubuhi.
Hapo unapikiwa,nyagi utapewa,hadi hela atakupa tu.
Mara nyingi anakua na mtu wake mmoja tu hawasumbuani
Si amesema hapo tatizo ni nyeg*Kama kweli unawaonea huruma usiende kuwanunua..
Kununua ni kuba-gainKuhonga pia ni kununua
Mkuu unafeli😂Wanapigikaje labda
Hahaha, acha nifeli maana nishafeli sana mkuu,ndio maana napenda short cut ,..Mitungi,MikasiMkuu unafeli😂
Duuuh aiseeeHao wanawake wauza papuchi aisee wana mapenzi ya Hatari mkielewana.
Na humpi senti tano,we usiwe na wivu tu.
Atatoka huko anakuja kukupa we unakesha nayo mpk asubuhi.
Hapo unapikiwa,nyagi utapewa,hadi hela atakupa tu.
Mara nyingi anakua na mtu wake mmoja tu hawasumbuani
Utamu !!!!???Two in One!!
Anapata utamu na pesa juu!!
Mama Ms eyes siwezi kuishi bila weweEither utafute msichana wako permanently ili usiendelee kuwanunua.
Huwa nasemaga ndoa ni glorified prostitution. Whatever route it takes the end justifies the name, sex in exchange for resources.hakuna tofauti na anayetoa Mahari kununua binaadamu
ni biashara ileile, huku unalipa rejareja, kule unalipa jumla