Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Hii ndio athari ya kulelewa na Shemeji kwa hisani ya dada mtu! Unazijua hata gharama za ujenzi??111M ishindwe kujenga maboma kumi ambayo yatatumika kama madarasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio athari ya kulelewa na Shemeji kwa hisani ya dada mtu! Unazijua hata gharama za ujenzi??111M ishindwe kujenga maboma kumi ambayo yatatumika kama madarasa?
Sawa, Hata ningekuwa Mimi ningevaa vya thamani sana.Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,
Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha
Mama anaupiga mwingi
View attachment 2911999
View attachment 2911553
Sasa kama matoto ni mavivu kila uchao kunungunika kazi hayafanyi....! Ni mbio mbio tu kila mkoa, Ninachosema mshahara wake unamruhusu, we just measure unto salary!Kati ya watu wapumbavu na wewe ni mmojawapo. Hao wanaomiliki hivyo vitu ni viongozi? Unaelewa maana ya kuwa kiongozi? Watu unaowaongoza hawana uhakika wa milo mitatu alafu wewe unavaa saa ya milioni 100? Una akili timamu? Baba wa familia masikini watoto hawana chakula wewe unaenda kununua gari? Unatumia makalio kufikiria au?
Hakuna cha zawadi, mshahara wake unamruhusu kufanya hivyo bila tatizo lolote, rudisheni ubongo wa fikra Pana.Nlimwambia mimi kuwa wanawake watakuvamia kwenye huu uzi mpaka uukimbie. Na leo mumchambe sana. Anataka msiwe mnapewa hata zawadi.
Acha hasira, umaskini ni wa kwako sio wote maskini. Rais sio mzazi wako ni kiongozi wa nchi. Kwahiyo ulitaka avae saa ya elfu 3 na yeboyebo kama wewe? Aliyekuloga amekufa.Hama mabondeni mvua zinakuja.Mjinga wewe, Rais ni kiongozi sio boss, anawaongoza watu masikini wa Tanzania, nchi masikini alafu anavaa saa ya milioni 100?? Kiongozi lazima aonyeshe unyenyekevu na aishi maisha ya wale anaowaongoza
Akipewa zawadi ndio thamani inashuka au?!Je kama kapewa zawadi?
Mkaja wa Bibi anauvaa Mama? Mauzauza hoyee!Itakua zawadi Mimi Sina neno lingine, mkaja wa Bibi huo kutoka kwa Mchengwerwa kwenda kwa Atu sitaki kuingilia mambo ya familia za watu
Msemo wa tapeli kama tapeli "eti ntakuonyesha"Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha
Mishale ni urembo, Nina uhakika wala haangalii muda kwa hiyo saa, ila ni sehemu ya vidani (jewelry) zake, na ukizingatia hiyo bei, hadhi ya juu!Kuna uhakika gani kama ndio yenyewe jamani? Labda mama is faking till she makes it je?
Ila mimi sijui hizo saa watu huwa wanazipendea nini? Niache kuvaa apple smart nivae mshale dunia hii ya sasa? Na uwezo upo?
[emoji16][emoji16]Ukicopy kitu jaribu kushirikisha na akili yako kidogo.
Hiyo pesa ijenge madarasa 12 na samani zake? Ulishawahi kujenga hata banda la kuku?
😁😁Oyaaa, aisee unazijua
Ongezea jiwe tissot,hublot
Sahihi kbsaUnataka rais atumie mshahara wake kukununulia sukari nyumbani kwako?
Unataka rais atumie mshahara wake kununua umeme wako? Kwahiyo rais asinunue kitu ambacho nafsi yake inapenda kisa wewe huna sukari? Hivi unajielewa kweli wewe? Una akili timamu wewe? Mshahara wa rais toka lini ukatumika kua kwenye bajeti ya serikali? Kiongozi wa nchi gani anafanya hivyo?
Siasa za kijima na mawazo ya kimasikini vimewaharibu sana watu kama wewe.
Utajua mwenyeweMkaja wa Bibi anauvaa Mama? Mauzauza hoyee!
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
SafiiiAcha hasira, umaskini ni wa kwako sio wote maskini. Rais sio mzazi wako ni kiongozi wa nchi. Kwahiyo ulitaka avae saa ya elfu 3 na yeboyebo kama wewe? Aliyekuloga amekufa.Hama mabondeni mvua zinakuja.
Hakuwa na madhahabuVp siku hizi havai madhahabu yake
Ova
we! angekuwa bibi yangu usingenikuta huku bata wangepata shida sana! natafuta nini huku kuchakutwa kumsimanga na kumpa sifa asizostahili karibia mtamlaumu kwa joto na kumpongeza kwa mvua zinazonyesha?Bibi yako huyu
USSR