data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Dah.. 🤣🤣sio tuu alimrubuni Eva kwa kuonyesha tunda linavyomegwa, bali alimfanyia practical ya kumegwa tunda kwa kummega.
Mkuu ntakutafuta tule mvinyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah.. 🤣🤣sio tuu alimrubuni Eva kwa kuonyesha tunda linavyomegwa, bali alimfanyia practical ya kumegwa tunda kwa kummega.
MamaSamia2025 mama wa wanyonge anaupiga mwingi. Kazi iendeleeeeeeee!!!Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,
Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha
Mama anaupiga mwingi
View attachment 2911999
View attachment 2911553
Wameshindwa kujua ni gram ngapi zile[emoji23][emoji23][emoji23]Ndio nimeona Ila hayo ni mambo ya familia zaidi, ule mkufu aliotupia siku ile nao hamjatafuta bei yake bado?
Mumewe ana kazi au biashara gani?Mke wa mtu huyo wajameni, pamoja ya kwamba ni Rais wa nchi...
Ndio waweke beiWameshindwa kujua ni gram ngapi zile[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanataka avae zile za watoto za 500 500 za urembo km vile bracelet wanavyovivaa vya rangirangiKwani marupurupu yake na mshahara wake hawezi nunua?.mnataka raisi avae casio ya kukonyeza?
Hiyo mkuu, mpya ni £1300Cheki hiyo longines gold watch
Nchekie bei ikoje sshivi huko
Hii saa ina kama 20+ yrs
Ova
View attachment 2912020
Mumewe ana kazi au biashara gani?
Atangaze kwwa umma aweke waziJe kama kapewa zawadi?
Mbona na nyie mnatia aibu?Tunaomba picha Sisi wengine wakati anavaa hio saa hatukumuona
Rekebisha kichwa cha habari isomekeHii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,
Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha
Mama anaupiga mwingi
View attachment 2911999
View attachment 2911553
Apple hamna maajabu mle. Saa ambayo ipo mtaa wa Congo sio ya kuvaa mtu wa maana.Kuna uhakika gani kama ndio yenyewe jamani? Labda mama is faking till she makes it je?
Ila mimi sijui hizo saa watu huwa wanazipendea nini? Niache kuvaa apple smart nivae mshale dunia hii ya sasa? Na uwezo upo?
Madini.ina nini cha ziada Tofauti na saa nyinginezo?
Sishangai, kwa nchi anazokwenda pengine kapewa zawadi tu hio Dubai huko hio pesa ya pipi tu kwaoHii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,
Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha
Mama anaupiga mwingi
View attachment 2911999
View attachment 2911553
Asset, pengine mna mpaka dimondKuna uhakika gani kama ndio yenyewe jamani? Labda mama is faking till she makes it je?
Ila mimi sijui hizo saa watu huwa wanazipendea nini? Niache kuvaa apple smart nivae mshale dunia hii ya sasa? Na uwezo upo?