100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Hawajui kama hio ni investment siku akikosa chochote anauza chap.Sishangai, kwa nchi anazokwenda pengine kapewa zawadi tu hio Dubai huko hio pesa ya pipi tu kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajui kama hio ni investment siku akikosa chochote anauza chap.Sishangai, kwa nchi anazokwenda pengine kapewa zawadi tu hio Dubai huko hio pesa ya pipi tu kwao
Mwanzo hakuweka wadau chini ndio wakamsaidia kuwekaMbona na nyie mnatia aibu?
Kila mtu anaulizia picha aliyovaa ina maana hiyo picha hapo juu hamuion?
Nyie vipofu? Mnaona kabisa picha ya saa imezungushiwa na peni nyekundu hapo kwenye mkono wake lakin bado mnaulizia picha
Inasaidia Kuwaongoza atakavyo walioitwa Maiti na Rais Kagame wakati Kikwete akiwa Utawalani 2005 -2015.ina nini cha ziada Tofauti na saa nyinginezo?
Hata kama kanunua no problem !Kama kazawadiwa asivae kwa kuogopa watu watamuonaje?.
P
We kaa nyuma ya keyboard hapo.Hii ndio athari ya kulelewa na Shemeji kwa hisani ya dada mtu! Unazijua hata gharama za ujenzi??
Kama ni gold sawa, ila asieelewa thamani atabeza wengine wananununua za elfu 30 sasa ukitaja bei watakuita majina ya kila aina 😄Haha hii longines gold watch nikiweka bei iliyochukuliwa ntashambuliwa humu
Ova
Kuna vijana wangapi wamenyimwa mikopo na loan board eti bajeti haitoshi, hapo hapo rais unatupia saa ya milioni mia na ushee......hii ni kejeli kwa watanzania.Hatutaki unafiki wa kujifanya raisi hana uwezo ilihali upo, raisi ni tajiri mpaka watoto na wajukuu huenda wakarithi huo utajiri, sasa asiishi kitajiri sababu nchi ina raia masikini? Ok, Nchi inawavuta bange hiì, raisi anatakiwa afanane na wananchi wake naye apulize mibange.
Kwani marupurupu yake na mshahara wake hawezi nunua?.mnataka raisi avae casio ya kukonyeza?
Kosa la moderator, mtoa mada aliandika kwa $ mara ya kwanza kabisa.Rekebisha kichwa cha habari isomeke
111,601,220/= na sio 111,601,22/=
Ndo uhalisia sio kejeli. Yaani raisi asipovaa hiyo saa ndo itahalalisha vijana kukosa mkopo? Tusipende unafiki, Yaani raisi ajifanye kuwa na yeye ni masikini wakati sio masikini. Uhalisia ni kuwa raisi si masikini, watoto wake si masikini, wajukuu si masikini. Kijana anayekosa mkopo chuo anatakiwa ajue hilo, iwe raisi kavaa cheni ya Billion au kavaa gunia.Kuna vijana wangapi wamenyimwa mikopo na loan board eti bajeti haitoshi, hapo hapo rais unatupia saa ya milioni mia na ushee......hii ni kejeli kwa watanzania.
Kuna watumishi wangapi wa umma ambao jumla ya mshahara wao kwa mwaka mzima unafika milioni mia moja?Ndo uhalisia sio kejeli. Yaani raisi asipovaa hiyo saa ndo itahalalisha vijana kukosa mkopo? Tusipende unafiki, Yaani raisi ajifanye kuwa na yeye ni masikini wakati sio masikini. Uhalisia ni kuwa raisi si masikini, watoto wake si masikini, wajukuu si masikini. Kijana anayekosa mkopo chuo anatakiwa ajue hilo, iwe raisi kavaa cheni ya Billion au kavaa gunia.
Unampangia?Kuna designer watches nzuri kabisa ambazo hazivuki milioni moja, acha kujitoa fahamu......chukulia mfano kuna suti designer ambazo bei yake hata kama unanunua ulaya hazivuki milioni moja ya kitanzania, kwa hiyo kisa ni rais utaenda kutafuta suti ya milioni 100 ili uonekane tofauti sana na watanzania wengine, siyo?
Hali za watanzania anaowaongoza ndo zinazompangia, ukiingia kwa wenye chongo fumba lako jicho.Unampangia?