Ni kweli mkuu
tena siku moja moja unaenda pale lugalo unamkamata mjeda mmoja unamnyang'anya bunduki yake then una ji karanga fotooo......
Sio kila siku bunduki washike wao tu, ng'ombe we!!!
Wew wweUnajua mjeda ndio mtu unaweza mburuza kuliko mtu yeyote duniani endapo utajiamini.
Wewe siki vaa vizuri nguo kama za mazoezi tracksuit then ukimuona mjeda muamuru Hey 'we Afande njoo' mbona upo apa...piga magoti kwanza.
Lady, exposure hazilipi bills.
Genye za asubuhi zinakusumbua. Mmeo hatoshi?Much know! Kama kawaida yako.
Ndio maana JituMirabaMinne alikutandika ngebe ukakimbia kwenye uzi wa gearbox za magari!!
Hahah safi sana,afu huyu jamaa ana ID nyingi kinyamaa,kila mwezi nadhani hua anafungua ID mpya.Genye za asubuhi zinakusumbua. Mmeo hatoshi?
Genye za asubuhi zinakusumbua. Mmeo hatoshi?
Naunga hoja Mkuu,.. sometyme Maisha ikiwa ngumu tunalainisha na Dream.Nenda ulizia viwanja, matrekta, nyumba na n.k unaona kabisa hii kuipata sio leo lakini jitahidi muda fanya hivyo acha kukaa kizembe unafikiri hela zinakujaje.
Inatakiwa uuchangamshe umaskini wako na watu mijini humo unapoishi wawe kidogo na wasi wasi na wewe waone huyu mtu sio mchezo mchezo kumbe hata anaweza kununua hiki, acha kushangaa shangaa mjini hapa kuku we🤣 😅
Weka imani na kitu flani, zungukia kukiulizia acha kumzungukia kila siku Mwajuma wa Mtaa wa pili bata we😜 Route zako ziamishie Kwenye jambo lako lenye tija.
Sasa kama nimefoka shauri yenu, mimi naenda na niwatakie siku njema na Jumapili njema 🙏
🤦🤪🏃
Yaya unaishi wapi ?Nenda ulizia viwanja, matrekta, nyumba na n.k unaona kabisa hii kuipata sio leo lakini jitahidi muda fanya hivyo acha kukaa kizembe unafikiri hela zinakujaje.
Inatakiwa uuchangamshe umaskini wako na watu mijini humo unapoishi wawe kidogo na wasi wasi na wewe waone huyu mtu sio mchezo mchezo kumbe hata anaweza kununua hiki, acha kushangaa shangaa mjini hapa kuku we[emoji1787] [emoji28]
Weka imani na kitu flani, zungukia kukiulizia acha kumzungukia kila siku Mwajuma wa Mtaa wa pili bata we[emoji12] Route zako ziamishie Kwenye jambo lako lenye tija.
Sasa kama nimefoka shauri yenu, mimi naenda na niwatakie siku njema na Jumapili njema [emoji120]
[emoji1751][emoji2957][emoji125]
Nitakuigami nikiwaambia watu Wananipinga[emoji23] exposure sio lazima nje ya nchi kuna vitu ukivifanya unaonekana mkubwa sana mi naulizia bei ya Nyumba masaki,Bei za Maserati yani mambo expensive lakini mfukoni sina mbuni
naeza enda yard ina mandinga ya kila dizaini nayatathimi hapa nataka lipi nikitoka hapo naenda kunywa Cappucino level 8 hyatt au Mojito Hamilton's Gastropub Johari Rotana nikitoka hapo narudi kwetu Mbagala kichemchem nalala na Ma exposure ya kutosha
Hiyo 14 M ni ya jf au Benz..?
bei ya chuma hichoHiyo 14 M ni ya jf au Benz..?
Kuwa specific tuongee biashara.