Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi

Hilo la kumlawiti kijana wa KitZ kisa katembea na dada yao limenichanganya akili kabisa, yaaani ulawiti, jamani?! Hawa watu wavuliwe uraia ikiwezekana, watafute nchi ya kwenda kufanyiana ulawiti, this is too much!!
 
Mungu wangu!!! My Goood!!
 
Hebu refusha uzi kidogo hasa hapo kwenye mbolea, kumbe ndio maana maisha yetu yataendelea kuwa maguku hata kwenye basic needs kama chakula, yaani wanaondoa competition kwa kutishiwa wapinzani KIFO??!!!
 
Sasa nini maana ya kuwepo kwa vyombo vya sheria kama kila kitu unatumia uninja?

Tatizo hawa matajiri wanatumia silaha kubwa sana kudili na watu ambao wanajua kabisa hawana uwezo wa ku fight back.

Kama una power serikalini why uanze kuhangaika na kumtesa mtu mpaka uathiri maumbile yake ashindwe ku-erect?

Hawa matajiri ni miyeyusho sana halafu umafia huu huwezi kumkuta anamfanyia mkubwa mwenzake kwasababu anajua tu hata ukim time bado ana backup ambayo itakuja kumlipia revenge at any time at any cost.
 
naona kwenye uzi huu baada ya kuujua ukweli, akili imekukaa sawa japo kwenye ule uzi wa awali wa mleta mada, ulijaribu kuleta hoja za kichawa kumtetea salah.
Ule Uzi ulikuwa hauna details mm sio mtu wa kupaparikia mambo angetakiwa alete hivi sio kutishia nyau. Maana hakukuwa na sababu za kuleta vitisho.

Ila details hizi ndio zinazofaa kuchangia
 
Bado naendelea kusema ,akija mtu na habar yake ichunguzeni kwanza kabla ya kuconlude na kufanya maamuzi.
Sisi wengine tunajaji kupitia scenario hiyo ilivyoelezwa na kukemea ukatiri huo.

Kama ameongopa, hilo ni juu yake ila mimi nimepokea hilo kama funzo na ujumbe kama fictional characters wanavyotumika kufikisha ujumbe
 
Nilichomkubali mwandishi hakutaka kuficha uovu ambao uliofanywa kutoka upande ulio athirika na huyo Boss

Angekuwa mtu mwingine ili kuifanya story iwe convincing asingeweza kuandika negative upande ambao anautetea
Yah,Afande kanyoosha maelezo,nami nilipenda nijue chanzo.Nasikitika kijana kwa aliyoyapitia,huruma tu itokee walau arudishiwe kianzio.
 
Masikitiko hatunae jpm. Wale hawakuelewa aliposema utawala wake tajiri anaweza kufanywa lolote ni matajiri kama huyu salaah. Chini ya samia hawa wanaweza mfafanya raia yoyote wa kawaida lolote.
Tuombe mungu utawala huu uweze kumkomesha salaah.
Mi naona hawa mbwa wana mizizi inayo run deep hadi ikulu, hata Rais hana la kuwafanya hawa wahuni, na akikaza shingo ataondoka yeye, hapa ndipo tunamkumbuka mwamba, Jiwe, JPM
 
Ila pia sisi Waafrika tujifunze uaminifu mzizi wa huu ugomvi uko kwa huyu kijana Pius.Haikuwa vizuri kumwibia Eliud na pia kwa Salah ni vyema ukafanya haki kumpa Eliud anachostahili maana ni haki yake chukka chako mrudishie chake
Uaminifu ni kitu ambacho sisi tumekuwa tukifeli

Mtaani kuna dogo anakibanda cha makuti anauza utumbo wa ng'ombe kipo eneo moja na parking ya bodaboda

Huyo dogo nimemshuhudia mara kibao akiwasaidia hao madereva bodaboda kuwapa utumbo for free na kuwachangia unga wawe wanapika kijiweni.

Lakini juzi dogo kaacha simu kwenye kibanda akaongozana na mteja kwenda kuomba chenji dukani.

Anarudi anashangaa simu haipo, kila bodaboda aliyekuwa pale akiulizwa anakataa anasema sio mimi.

Kumbe wao ndio wamechukua simu halafu wakawa wanataka dogo awape 15K ndio wamrudishie.

Dogo ikabidi atoe hiyo 15K kwasababu ndio simu anayotegemea kufanya request ya mzigo kwenye biashara yake.

Mtaji wa biashara hata 40K haufiki, fikiria faida ni kiasi gani halafu muda huo 15K imetolewa nje ya hesabu ku-rescue simu.

Baada ya siku mbili kupita Brother mmoja ndio alijitokeza kuwakemea wale bodaboda na kunyang'anya simu ya mmoja wao na kusema hairudishi mpaka wamrudishie dogo 15K yake.

Ndio hapo wakairudisha 15K
 

Shule ya mnazi mmoja ipo upande wa pili wa barabara ya lami. Ni lazima uvuke bara bara ya lami ndio ufike shule ya msingi mnazi mmoja kama unatokea ccm lumumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…