Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi

Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi

kama tu waliuziwa kiwanja kile na Chama hiki kikubwa hivi basi wana kiburi cha kuona hakuna wa kuwafanya chochote.Nimesikitika sana kwa matamko mkuu wa kituo cha Msimbazi alichowaambia na kusema kapigiwa simu kutoka juu na YEYE ANA FAMILIA ANA CHUNGA KIBARUA CHAKE.Vijana tuwe waaminifu,kula sawa ila unakula mpaka unamtia hasara boss wako hivyo?Kuna Mchungaji alisema vijana wa Ki.........hawaaminiki ila akapewa suspension siku 60 mifano ni kama huyu aliyeagiza Vogue.Salah alipaswa kuzungumza ili kuwekeana mikakati na huyu mdau wake ili kulipa hiyo hasara.Naamini angelipa tu kwa jinsi alivyokuwa na mtandao mkubwa na jinsi alivyomuingizia salah faida kwa wateja.Biashara inapokuwa kubwa tukubali kuajiri watu wenye weledi katika sekta husika.Dangote kaajiri Wahindi,Mchaga mmoja ana hardware kubwa Dodoma muhasibu muhindi.Hawa ni watu wa fedha na ulishauriwa.Kuhusu haya ya UCHUMI kuchezewa tuziachie mamlaka.Mama yupo jf atasoma tu.
Mnaongelea kiwanja kipi hapa, lilipo jengo la GSM? Au kuna kiwanja kingine sisi hatukifaham?
 
Uaminifu ni kitu ambacho sisi tumekuwa tukifeli

Mtaani kuna dogo anakibanda cha makuti anauza utumbo wa ng'ombe kipo eneo moja na parking ya bodaboda

Huyo dogo nimemshuhudia mara kibao akiwasaidia hao madereva bodaboda kuwapa utumbo for free na kuwachangia unga wawe wanapika kijiweni.

Lakini juzi dogo kaacha simu kwenye kibanda akaongozana na mteja kwenda kuomba chenji dukani.

Anarudi anashangaa simu haipo, kila bodaboda aliyekuwa pale akiulizwa anakataa anasema sio mimi.

Kumbe wao ndio wamechukua simu halafu wakawa wanataka dogo awape 15K ndio wamrudishie.

Dogo ikabidi atoe hiyo 15K kwasababu ndio simu anayotegemea kufanya request ya mzigo kwenye biashara yake.

Mtaji wa biashara hata 40K haufiki, fikiria faida ni kiasi gani halafu muda huo 15K imetolewa nje ya hesabu ku-rescue simu.

Baada ya siku mbili kupita Brother mmoja ndio alijitokeza kuwakemea wale bodaboda na kunyang'anya simu ya mmoja wao na kusema hairudishi mpaka wamrudishie dogo 15K yake.

Ndio hapo wakairudisha 15K
Aseeehhh... Kuna wanadamu km mbwa
 
Nimeshaleta Uzi wangu humu juu ya kampuni hi na biashara ya kuhujumu uchumi ila niliishia kuambiwa kuwa Nina wivu mkubwa unanitesa duh watz Ni wakuda wacha tupigwe tu


Pia ishu ya form four failure usiweke hapa

Kama mtu alipata favor haijalishi kafeli form four ni akili yake inafanya Kaz na kutumia fursa vzr

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 



Niliwashaleta Uzi kuhusu hi kampuni ya silent ocean jins inavyo takatisha pesa ila niliishia kutukanwa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Waziri Mkuu huyu huyu aliesadikika kuingiza shehena ya vitenge bila kulipq kodi??

Hii nchi ukombozi wake ni Mungu mwenye akitaka kwa kuwatia nguvu wanyonge wadai haki yao. Kinyume na hapo tutawaona kina GSM wengi tu maana washajua udhaifu wa viongozi wetu ni matumbo yao.

Unaweza kuta hata huyo waziri mkuu anapokea bahasha kutoka kwa hawa jamaa.

Chezea pesa wewe!
 
Huyu Eliud ni mzembe sana
yani ni kama uajiri ndugu yako akutie hasara umuweke ndani, ndugu waanze kusema una roho mbaya

We mfanyakazi anakuibia mpk anaagiza vogue we bado hujui kama sio kutafutia watu lawama

Then baada ya kuanza kudaiwa kwnn usingesimamia mwenyewe mchakato wa mali zako kuuzwa kisha kinachopatikana ukaenda kumlipa Salaah kiasi anachokudai.

We bwana umejichanganya ukaleta ushkaji na boss tena ingekuwa Tajiri mwingine pengine saivi ungekuwa ushapotezwa
 
Huyo Eliud ni mpumbavu tu umepata bahati ya kuaminiwa na Boss, unaenda kufanya uzembe kama huo kwa kumuamini mjinga mwengne ningekuwa mimi nyote ningewapiga bunduki Shenzi nyote DOLA 230,000/= JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala U

Kazaminiwa hela ya biashara. Azungushe ili akuze mtaji. Kaenda nunua nyumba na vogue

Gsm walimpa hela wakijua akifanya vizuri kwenye biashara ataendelea kuwa mteja wao. Maana wao gsm wanahudumia wafanyabiashara
 
Back
Top Bottom