Mtutuwandei
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 1,317
- 1,817
Silent Ocean ilikuwa inafanya kazi kama kawaida wakati wa Magufuli. Kwa kweli kampuni hii ilianza kazi wakati wake. Ni baada ya kufungwa kijanja kwa Home Shopping Centre siku za mwisho za utawala wa Kikwete.JPM aliyabana haya majizi