Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyombo vya ulinzi na.hasa jeshi la polisi ulinzi w raia na Mali zake umebaki jina ya mtu 1 na biashara yake kusafirisha mizigo pesa za kigeni zinatoroshwa kinyemela tuliowapa dhamana.ya kuangalia kwa niaba yeu watanzania mil 60 na ushee kinafaidika kikundi kichache hii so sw mukhari viongozi uweken pembeni wasaaidien ndugu zetu pesa zao pale kariako biashara iendelee Kama ujuavyo kariakoo ni soko.la.africa karibu nnchi zote zinazozunguka zipata nahitaji yake kariakoo hiyo kampun yao.sio.lazima iwepo hata huo uvaaji wa kanzu ni Kama unadhurumu watu walikuwa wanaendesha familia zao wewe unachua kiulain tu na kile kiapo viungozi unachopishwa na jaji Mara baada teuzi ni khitifaki tu ? Iko kufalia hili kwa maendeleo yetu sote
Kweli kabisa, nimekisoma kisa kwa kina. Huyo Eliud si angelipa tu kuanzia mwanzo alipoambiwa alipe? Maana haiwezekani mtu aanze kukutemesha kwa nguvu bila kwanza kukwambia, leta pesa, mbona hesabu zako hulipi?Kwenye ubaya palianza na wema hapo awali.
Ni lini mnarudisha chenji iliyozidic, ambayoni 235mil.? #chenjiirudiPiusi si kakiri kuiba na ana nyumba kajenga kwa pesa za kuiba? Si ukamtemeshe Piusi?
Ni lini sasa mtarudisha chenji iliyozidi takriban 235mil. #ChenjiirudiKweli kabisa, nimekisoma kisa kwa kina. Huyo Eliud si angelipa tu kuanzia mwanzo alipoambiwa alipe? Maana haiwezekani mtu aanze kukutemesha kwa nguvu bila kwanza kukwambia, leta pesa, mbona hesabu zako hulipi?
Inaonesha guyo Eliud akawa nbishi kulipa akitegemea uchawi wa Kikinga umeshamfunga Salaah, dah kustuka baada ya kutemeshwa, kumbe uchawi umedunda!
Naamini angelipa au angeonesha nia ya kulipa japo kidogo kidogo kuanzia mwanzo, hiki kisa cha majungu kisingekuwepo.
Rliud kajipalilia moto mwenyewe, halafu anakuja hapa anajuwa kuna wajinga na madhalim kama yeye watajidai kumuonea huruma. Huyo si wa kuhurumiwa hata chembe. Ni mwizi mjinga tu.
Huyo bado anadaiwa, hajapiga hesabu ya faida amabayo ilitegemewa kuingizwa kwa pesa aliyoiba. Na sasa apambane na wakinga wenzake.Ni lini sasa mtarudisha chenji iliyozidi takriban 235mil. #Chenjiirudi
Kashfa nzito Jeshi la Polisi
Nsato Marijani, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Jeshi la Polisi pamoja na vigogo wengine wa serikalini wanatuhumiwa kushindwa kumsaidia Mtanzania Abdulswamadu Zacharia Omary (36) anayedai kutendewa vitendo vya kikatili. Nsato Marijani, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Jeshi la Polisi...www.jamiiforums.com
pesa za kazi wameweka mikeka mbwa hawa.Salaah Hana kosa si kweli mmemuibia tena mmechezea kamari
GSM Hawana uhusiano na JK . Ni kawaida Yao kujipendekeza kwa Kua karibu na viongozi waliopo madarakani iwe TRA au serikalini ukitoka madarakani hawana muda na wewe same applies na Jk walimdharau sana kipindi ametoka madarakani Simu ya JK walikua hawapokei wanaenda analia shida Kila siku
Wamejiludisha hivi karibuni kwa MZee wa Msoga baada ya kuona mzee ana nguvu kwenye serikali hii .
Walimtumia sana Mama yangu TRA kwenye Kazi zao alivyostaafu na Simu Waliacha kupokea kwa kifupi GsM ni akili kubwa
Bibi utakua chawa wa Salaah ww sio bureHuu umbea tu.
Kinachomzuia kuyapeleka haya kwa wanasheria ni nini?
Faida anatengenezaje sasa wakati pesa yote inayodaiwa imechakukuliwa na Salaah, na hata ile ziada yake iliyobaki ya 235mil. ambayo yeye anatakiwa aitumie kutengeneza faida nayo imeshikiliwa na Salaah, na hataki kupiga nae hesabu walamkuirudisha. Sasa kwanini hamtaki kurudisha chenji? #ChenjiirudiHuyo bado anadaiwa, hajapiga hesabu ya faida amabayo ilitegemewa kuingizwa kwa pesa aliyoiba. Na sasa apambane na wakinga wenzake.
Kwanini ulipe zaidi ya deni? Ungekubali kulipa kwa hiyari hayo yote yangetokea?Ni lini mnarudisha chenji iliyozidic, ambayoni 235mil.? #chenjiirudi
Kashfa nzito Jeshi la Polisi
Nsato Marijani, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Jeshi la Polisi pamoja na vigogo wengine wa serikalini wanatuhumiwa kushindwa kumsaidia Mtanzania Abdulswamadu Zacharia Omary (36) anayedai kutendewa vitendo vya kikatili. Nsato Marijani, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Jeshi la Polisi...www.jamiiforums.com
Wewe jadili hoja kwa hoja, kuniambia mimi niende nikamchukulie chenji ni kuishiwa hoja. Ni kwanini hamtaki kurudisha chenji takriban 235mil? #ChenjiirudiNenda kwa Salaah ukamchukulie wewe chenji.
Yeye hajalipa, bali mali za waliomtuma zilizokuwa kwenye melikutoka China zimechukuliwa zote na Salaah kwa ahadi ya kuja kupigiana hesabu ili pesa iliyozidi irudishwe.., sasa hilo halijafanyika na chenji haijarudishwa, kwanini hamtaki kurudisha chenji lakini? Takriban 235mil, #ChenjiirudiKwanini ulipe zaidi ya deni? Ungekubali kulipa kwa hiyari hayo yote yangetokea?