Labda atachaguliwa na wapiga dili wa awamu hii mabashite. Hakuna mwenye mtz yeyeto mwenye akili timamu atarudia makosa ya kuweka rehani maisha yake wanaogopa visasi vyake kwani atohitaji kura zao Tena atawaumiza Sana watz.Na bado atachaguliwa na wananchi 28/10/2020