Uchaguzi 2020 Sababu 27 za kwanini Magufuli hafai kupewa miaka mingine 5 ya kuwa Rais

Uchaguzi 2020 Sababu 27 za kwanini Magufuli hafai kupewa miaka mingine 5 ya kuwa Rais

Mtamkataa humu jukwaani lakini huko kwa wapiga kura inabidi mjiandae kisaikolojia kwa miaka mingine mitano ya kuwa wapole.
Tuliokuwa humu jukwaani ndo tuliokuwa mijini na vijijini hapa Tanzania. Haya tunayoyasema humu ndo haya haya tunayowaelimisha watu wengine wote mijini na vijijini
 
28. Ukanda na ukabila
29. siasa za chuki visasi
30. Kijimwambafai kuliko pitiliza
 
Uzuri ni kwamba we mwenyewe unaongea lakini ukweli unaujua kuwa Lissu hawezi kuwa rais hata kidogo.

Labda ni ubishi tu ambao hauna maana yoyote na kukosa weledi wa kuyajua mambo
Kati ya wagombea wote walipitishwa na Tume ni Magufuli pekee aliyebebwa kwa mbeleko iliyo hai kwa hiyo Hafai kabisa na ameonyesha hivyo miaka mitano iliyopita na kabla ya hapo. Akachunge mbuzi!
 
Namba 22 na 27 hazitofautiani Sana ... anyway umejaribu vyema kujenga hoja.
 
Atajirekebisha.Kupotea njia ni wakati wa kwenda sio tena wakati wa kurudi!!
 
Kama kuua isingekuwa dhambi ningeanzisha operation ya kuwapunguza mbogamboga
 
Tuliokuwa humu jukwaani ndo tuliokuwa mijini na vijijini hapa Tanzania. Haya tunayoyasema humu ndo haya haya tunayowaelimisha watu wengine wote mijini na vijijini
Mnachosahau ni kuwa CCM ni taasisi kubwa. Haifanyi siasa kuelekea uchaguzi mkuu halafu ukimalizika eti na yenyewe iache siasa.

Mikutano ya matawi itaendelea kama kawaida mikutano ya mikoa itaendelea kama kawaida.

Huwezi kulinganisha na Chadema ambacho ni chama chenye udhaifu mwingi kwa ngazi za chini, chama chenye kukosa nidhamu ya kudumu ya uendeshaji.

Kuitoa CCM ni lazima chama kingine kiwe na muundo imara wa kitaasisi sio hizi blah blah za jamii forum.
 
Magufuli kauliza katenda dhambi gani asipewe tena miaka 5. kwanza dhambi kubwa sana ni RAMBIRAMBI za tetemeko, kivuko kwa wahusika ziligeuzwa kuwa mali ya serikali na ikafanya kazi ya serikali huku mfuko wa maafa upo na bajeti yake ilipitishwa.

Sasa majibu yake haya hapa:

1. Hajatoa ajira miaka 5
2. Hajaongeza mishahara kwa miaka 5
3. Ameongeza makato HESLB toka 8% to 15%
4. Amefukuza wafanyakazi na hajawapa hata senti tano kisa vyeti feki
5. Kaondoa fao la kujitoa NSSF
6. Kaondoa wanunuzi binafsi wa kahawa waliokuwa wanatoa bei nzuri
7. Karudisha gharama za matibabu kwa watoto na wajawazito
8 .Anatoza maiti kodi kuzitoa mochwari
9. Kavunja katiba ya nchi kuzuia wapinzani kufanya mikutano halali ya siasa
10. Katunga sheria kandamizi kukomoa watu
11. Kabambikia kesi watu kwa visasi na chuki
12. Kafilisi wafanyabiashara kwa chuki binafsi
13. Kathibiti mashirika ya kutetea haki za binadamu
14. Kadhibiti na kutisha vyombo vya habari na kuviamrisha vimtangaze yeye tu na chama chake
15. Kavuruga sana mahusiano ya kimataifa
16. Kavuruga demokrasia na anataka wananchi waishi kama mifugo yake kufuata analotaka
17. Kazima bunge live na kulitumia bunge kama muhuri kufanya mambo yake
18. Mahakama imebinywa na imekuwa siyo huru tena
19. Kawadhibiti viongozi wa dini wanaomkosoa na kumwambia ukweli
20. Kanunua ndege bila kufuata sheria ya PPRA
21. Watu wengi wameuwawa na kupotea na kutekwa
22.Amelea na kulinda kikosi kazi cha "watu wasiojulikana"
23. Amepandikiza hofu,ukatili na dhuluma kama nyenzoza siasa mpya za Tanzania na utu umetoweka
24. Kakivuruga chama chake na kukimega vipande vipande
25. Kajenga uwanja wa ndege kwao bila ya approval ya bunge wala cabinet
26. Alisema tutaishi kama MASHETANI.. kwa madai kuwa tulikuwa tunaishi kama Malaika..!! Hakika amelitimiza hilo.🤔
27. Kuwa na kundi la watu wasiojulikana awamu hii ya tano na polisi hawajawai kuwajua
Amewajaza hofu na kutokujiamini watumishi wa umma

Amepandikiza mbegu ya kuchukiana kwa misingi ya vyama na mimi naombea izidi kumea ili tupate mavuno mazuri.

Anakusanya kodi kibabe , lakini anatoa return ya kodi aliyoikusanya kwa ubaguzi
 
Magufuli kauliza katenda dhambi gani asipewe tena miaka 5. kwanza dhambi kubwa sana ni RAMBIRAMBI za tetemeko, kivuko kwa wahusika ziligeuzwa kuwa mali ya serikali na ikafanya kazi ya serikali huku mfuko wa maafa upo na bajeti yake ilipitishwa.

Sasa majibu yake haya hapa:

1. Hajatoa ajira miaka 5
2. Hajaongeza mishahara kwa miaka 5
3. Ameongeza makato HESLB toka 8% to 15%
4. Amefukuza wafanyakazi na hajawapa hata senti tano kisa vyeti feki
5. Kaondoa fao la kujitoa NSSF
6. Kaondoa wanunuzi binafsi wa kahawa waliokuwa wanatoa bei nzuri
7. Karudisha gharama za matibabu kwa watoto na wajawazito
8 .Anatoza maiti kodi kuzitoa mochwari
9. Kavunja katiba ya nchi kuzuia wapinzani kufanya mikutano halali ya siasa
10. Katunga sheria kandamizi kukomoa watu
11. Kabambikia kesi watu kwa visasi na chuki
12. Kafilisi wafanyabiashara kwa chuki binafsi
13. Kathibiti mashirika ya kutetea haki za binadamu
14. Kadhibiti na kutisha vyombo vya habari na kuviamrisha vimtangaze yeye tu na chama chake
15. Kavuruga sana mahusiano ya kimataifa
16. Kavuruga demokrasia na anataka wananchi waishi kama mifugo yake kufuata analotaka
17. Kazima bunge live na kulitumia bunge kama muhuri kufanya mambo yake
18. Mahakama imebinywa na imekuwa siyo huru tena
19. Kawadhibiti viongozi wa dini wanaomkosoa na kumwambia ukweli
20. Kanunua ndege bila kufuata sheria ya PPRA
21. Watu wengi wameuwawa na kupotea na kutekwa
22.Amelea na kulinda kikosi kazi cha "watu wasiojulikana"
23. Amepandikiza hofu,ukatili na dhuluma kama nyenzoza siasa mpya za Tanzania na utu umetoweka
24. Kakivuruga chama chake na kukimega vipande vipande
25. Kajenga uwanja wa ndege kwao bila ya approval ya bunge wala cabinet
26. Alisema tutaishi kama MASHETANI.. kwa madai kuwa tulikuwa tunaishi kama Malaika..!! Hakika amelitimiza hilo.🤔
27. Kuwa na kundi la watu wasiojulikana awamu hii ya tano na polisi hawajawai kuwajua
Amewajaza hofu na kutokujiamini watumishi wa umma

Amepandikiza mbegu ya kuchukiana kwa misingi ya vyama na mimi naombea izidi kumea ili tupate mavuno mazuri.

Anakusanya kodi kibabe , lakini anatoa return ya kodi aliyoikusanya kwa ubaguzi
 
Unazingua ww kwaiyo sisi tunaokatwa asilimia 15 na bodi ya mikopo ni sawa unavyoona? Unajua muda mwingine bora ukae kimya mzee huu ndo muda wa kuongea mambo haya ww unakuja kusema hoja hazina mashiko kwa sasa sasa zitakuwa na mashiko baada ya uchaguz au ? Hata kama unamapenz ya chama chako ila penda kuwa mkweli na kutetea haki acha mihemko binafsi.
Jf watu wangekuwa wanaonana, zingeshapigwa ngumi.

Mimi ningezipanga na yule mrembo anaitwa Bia yetu.
 
Magufuli kauliza katenda dhambi gani asipewe tena miaka 5. kwanza dhambi kubwa sana ni RAMBIRAMBI za tetemeko, kivuko kwa wahusika ziligeuzwa kuwa mali ya serikali na ikafanya kazi ya serikali huku mfuko wa maafa upo na bajeti yake ilipitishwa.

Sasa majibu yake haya hapa:

1. Hajatoa ajira miaka 5
2. Hajaongeza mishahara kwa miaka 5
3. Ameongeza makato HESLB toka 8% to 15%
4. Amefukuza wafanyakazi na hajawapa hata senti tano kisa vyeti feki
5. Kaondoa fao la kujitoa NSSF
6. Kaondoa wanunuzi binafsi wa kahawa waliokuwa wanatoa bei nzuri
7. Karudisha gharama za matibabu kwa watoto na wajawazito
8 .Anatoza maiti kodi kuzitoa mochwari
9. Kavunja katiba ya nchi kuzuia wapinzani kufanya mikutano halali ya siasa
10. Katunga sheria kandamizi kukomoa watu
11. Kabambikia kesi watu kwa visasi na chuki
12. Kafilisi wafanyabiashara kwa chuki binafsi
13. Kathibiti mashirika ya kutetea haki za binadamu
14. Kadhibiti na kutisha vyombo vya habari na kuviamrisha vimtangaze yeye tu na chama chake
15. Kavuruga sana mahusiano ya kimataifa
16. Kavuruga demokrasia na anataka wananchi waishi kama mifugo yake kufuata analotaka
17. Kazima bunge live na kulitumia bunge kama muhuri kufanya mambo yake
18. Mahakama imebinywa na imekuwa siyo huru tena
19. Kawadhibiti viongozi wa dini wanaomkosoa na kumwambia ukweli
20. Kanunua ndege bila kufuata sheria ya PPRA
21. Watu wengi wameuwawa na kupotea na kutekwa
22.Amelea na kulinda kikosi kazi cha "watu wasiojulikana"
23. Amepandikiza hofu,ukatili na dhuluma kama nyenzoza siasa mpya za Tanzania na utu umetoweka
24. Kakivuruga chama chake na kukimega vipande vipande
25. Kajenga uwanja wa ndege kwao bila ya approval ya bunge wala cabinet
26. Alisema tutaishi kama MASHETANI.. kwa madai kuwa tulikuwa tunaishi kama Malaika..!! Hakika amelitimiza hilo.[emoji848]
27. Kuwa na kundi la watu wasiojulikana awamu hii ya tano na polisi hawajawai kuwajua

Hongera kwa kuorodhesha matokeo ya Tawala zilizolea:
• ufisadi;
• uzembe; na
• matumiza mabaya ya madaraka.

Hongera kuorodhesha maovu makuu hayo yaliyoshughulikiwa na Serikali ya Awamu ya Tano. Alithubutu akatekeleza. Anastahili kuongezewa muda asafishe kabisa ambao bado wana mawazo ya kuturudisha kwenye tawala za kulea uovu.
 
Magufuli kauliza katenda dhambi gani asipewe tena miaka 5. kwanza dhambi kubwa sana ni RAMBIRAMBI za tetemeko, kivuko kwa wahusika ziligeuzwa kuwa mali ya serikali na ikafanya kazi ya serikali huku mfuko wa maafa upo na bajeti yake ilipitishwa.

Sasa majibu yake haya hapa:

1. Hajatoa ajira miaka 5
2. Hajaongeza mishahara kwa miaka 5
3. Ameongeza makato HESLB toka 8% to 15%
4. Amefukuza wafanyakazi na hajawapa hata senti tano kisa vyeti feki
5. Kaondoa fao la kujitoa NSSF
6. Kaondoa wanunuzi binafsi wa kahawa waliokuwa wanatoa bei nzuri
7. Karudisha gharama za matibabu kwa watoto na wajawazito
8 .Anatoza maiti kodi kuzitoa mochwari
9. Kavunja katiba ya nchi kuzuia wapinzani kufanya mikutano halali ya siasa
10. Katunga sheria kandamizi kukomoa watu
11. Kabambikia kesi watu kwa visasi na chuki
12. Kafilisi wafanyabiashara kwa chuki binafsi
13. Kathibiti mashirika ya kutetea haki za binadamu
14. Kadhibiti na kutisha vyombo vya habari na kuviamrisha vimtangaze yeye tu na chama chake
15. Kavuruga sana mahusiano ya kimataifa
16. Kavuruga demokrasia na anataka wananchi waishi kama mifugo yake kufuata analotaka
17. Kazima bunge live na kulitumia bunge kama muhuri kufanya mambo yake
18. Mahakama imebinywa na imekuwa siyo huru tena
19. Kawadhibiti viongozi wa dini wanaomkosoa na kumwambia ukweli
20. Kanunua ndege bila kufuata sheria ya PPRA
21. Watu wengi wameuwawa na kupotea na kutekwa
22.Amelea na kulinda kikosi kazi cha "watu wasiojulikana"
23. Amepandikiza hofu,ukatili na dhuluma kama nyenzoza siasa mpya za Tanzania na utu umetoweka
24. Kakivuruga chama chake na kukimega vipande vipande
25. Kajenga uwanja wa ndege kwao bila ya approval ya bunge wala cabinet
26. Alisema tutaishi kama MASHETANI.. kwa madai kuwa tulikuwa tunaishi kama Malaika..!! Hakika amelitimiza hilo.[emoji848]
27. Kuwa na kundi la watu wasiojulikana awamu hii ya tano na polisi hawajawai kuwajua
Ameishakuwa sasa, jinyongeni au hama nchi
 
Amepoteza 5 yrs kupambana na Mbowe kuliko kupambana na shida zetu, katumia vibaya Kodi zetu kurudia chaguzi, kununua wapinzani ambao kawatelekeza baada ya kuunga juhudi kawaharibia potepote.

Fanyeni hima tumkatae October hatari yake atatushughulikia kweli kweli ameshatuonyesha atalipiza kisasi atanii.

Sasa kwann tuchague hatari . Hakuna chema chochote atafanya kwani atotuhitaji Tena tumpe kura.

Nafasi pekee ni October tukicheza tumekwiishaa.
Nyie siyo NEC
20200906_220510.jpg
 
Back
Top Bottom