Uzalendo wa kuua na kupoteza watu ikiwemo na kuwafilisi? Jiwe hapana tumkatae kwa pamojaKuwa za kweli au sio za kweli hakuondoi lengo la maamuzi ambalo mleta mada ni lazima alipotoshe kwa nia zake za kisiasa.
Magufuli anataka tuwajibike, anataka tuwe wazalendo kwa rasilimali zetu.