Uchaguzi 2020 Sababu 27 za kwanini Magufuli hafai kupewa miaka mingine 5 ya kuwa Rais

Uchaguzi 2020 Sababu 27 za kwanini Magufuli hafai kupewa miaka mingine 5 ya kuwa Rais

Umenifokea kweli Mwengeso !!. Hata umenukuu katiba mbovu lakini pia hamuifuati .
Hivi nikuulize lugha ya Kilwa ilifaa kweli ?!. Unaulizwa mkwamo wa unenzi wa stand , halafu unasema shauri yenu na Bwege wenu !!. Unaombwa maji Bunda halafu unasema mimi siwezi kuwanyima wanangu chakula nikawape wa jirani ?!. Mbona kodi zao unakusanya na kuweka kwenye kapu kubwa (hazina) ?!. Unaombwa barabara moshi halafu unasema safari nyingine mjue namna ya kuchagua ?!.

Ndiyo maana nika refer uongozi wa Mwl Nyerere . Uliwahi kufanyika uchaguzi mdogo huko Arusha , nadhani ni Karatu , pamoja na kuendako yeye kama Rais, amiri Jeshi na mwenyekiti wa Tanu . Lakini bado wananchi walimchagua mgombea binafsi Mr Sarwat . Mwl Nyerere aliwaheshimu wale wananchi na akaichukulia Ile kama challenge ndani ya chama chake na hakuwabagua. Sasa huyu wetu anayewabagua watu kwa sababu wameikataa Ccm Je ??!!.

Lugha ya Lissu ni kali kwa sababu alivyotendewa si kibinaadamu . Alipaswa kuombwa radhi hata kwa mlango wa nyuma.

Mkuu Odhiambo Cairo, sikukulenga wewe kujibu hoja zako.

Kwamba Katiba ni mbovu ni mtazamo wa kila mtu kulingana na Ibara zinazogusa haki na uhuru wake binafsi au kikundi km chama cha siasa.

Kauli/majibu za Rais aliyeko madarakani, uliyotoa mfano nimekwisha yatolewa majibu. Kwamba tangu upinzani uanze 1992 ni mwendo wa kuhujumu juhudi za Serikali za maendeleo. Hivyo basi, nia ovu ya Wabunge/Madiwani wa upinzani kukwamisha shighuli za maendeleo ndio msingi wa kauli hizo. Naam, wanaosababisha wananchi wabaguliwe ni viongozi wa upinzani

Hakuna anayebisha Lissu alitendewa vibaya. Ila tangu apate fahamu amekuwa akihituhumu Serikali kwa shambulio hilo. Je, ukweli utakapowekwa wazi kuwa Rais au viongozi wa Serikali hawahusiki, ataomba msamaha?
 
Kwa hakika hatutaki kiongozi mbaguzi na anayeeneza chuki na rohombaya miongoni mwa watanzanzia! Hana huruma hata kwa hao wanyonge anaojiita kiongozi wao! Mwenyezi Mungu atunusuru na janga hili!
 
29. Ana visasi tusipolinda kura tutajuta kwa miaka kumi au zaidi sababu atabadili katiba.
Kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kulala....Mtapata taabu sana mwaka huu wakati Watanzania wazalendo watakapomchagua tena kukamilisha awamu yake ya mwisho ya uongozi.
 
Kura yangu kwake tarehe 28.10.2020 mapema sana huyo mbeligiji arudi tu hana jipya
 
Magufuli kauliza katenda dhambi gani asipewe tena miaka 5. kwanza dhambi kubwa sana ni RAMBIRAMBI za tetemeko, kivuko kwa wahusika ziligeuzwa kuwa mali ya serikali na ikafanya kazi ya serikali huku mfuko wa maafa upo na bajeti yake ilipitishwa.

Sasa majibu yake haya hapa:

1. Hajatoa ajira miaka 5
2. Hajaongeza mishahara kwa miaka 5
3. Ameongeza makato HESLB toka 8% to 15%
4. Amefukuza wafanyakazi na hajawapa hata senti tano kisa vyeti feki
5. Kaondoa fao la kujitoa NSSF
6. Kaondoa wanunuzi binafsi wa kahawa waliokuwa wanatoa bei nzuri
7. Karudisha gharama za matibabu kwa watoto na wajawazito
8 .Anatoza maiti kodi kuzitoa mochwari
9. Kavunja katiba ya nchi kuzuia wapinzani kufanya mikutano halali ya siasa
10. Katunga sheria kandamizi kukomoa watu
11. Kabambikia kesi watu kwa visasi na chuki
12. Kafilisi wafanyabiashara kwa chuki binafsi
13. Kathibiti mashirika ya kutetea haki za binadamu
14. Kadhibiti na kutisha vyombo vya habari na kuviamrisha vimtangaze yeye tu na chama chake
15. Kavuruga sana mahusiano ya kimataifa
16. Kavuruga demokrasia na anataka wananchi waishi kama mifugo yake kufuata analotaka
17. Kazima bunge live na kulitumia bunge kama muhuri kufanya mambo yake
18. Mahakama imebinywa na imekuwa siyo huru tena
19. Kawadhibiti viongozi wa dini wanaomkosoa na kumwambia ukweli
20. Kanunua ndege bila kufuata sheria ya PPRA
21. Watu wengi wameuwawa na kupotea na kutekwa
22.Amelea na kulinda kikosi kazi cha "watu wasiojulikana"
23. Amepandikiza hofu,ukatili na dhuluma kama nyenzoza siasa mpya za Tanzania na utu umetoweka
24. Kakivuruga chama chake na kukimega vipande vipande
25. Kajenga uwanja wa ndege kwao bila ya approval ya bunge wala cabinet
26. Alisema tutaishi kama MASHETANI.. kwa madai kuwa tulikuwa tunaishi kama Malaika. Hakika amelitimiza hilo.🤔
27. Kuwa na kundi la watu wasiojulikana awamu hii ya tano na polisi hawajawai kuwajua
tusubili wa LUMUMBA CREW na utetezi wao juu ya kiongozi wao
 
Binadamu yeyote anapenda sana kuwa kwenye comfort zone, yaani hatakubaliana na Jambo lolote hata liwe jema namna gani litalomuondoa kwenye hali aliyokuwa awali.

Mabadiliko yaliyoletwa na awamu ya tano yametufanya tuwajibike kwa asilimia kubwa katika kulipa Kodi, na kuwajibika katika nyanja nyingine pia za kijamii,

Sasa kwa kuwa kuna watu waliokuwa wakifaidi mfumo uliopita na sasa wamebanwa lazima walalamike,

Ndio hawa mleta mada akiwemo.
Haya tushayazoea kwa kipindi cha miaka minne hii ndio ilikuwa kauli yetu CCM ila hapa WASAKATONGE walimpamba UONGO mkulu.
 
Magufuli kauliza katenda dhambi gani asipewe tena miaka 5. kwanza dhambi kubwa sana ni RAMBIRAMBI za tetemeko, kivuko kwa wahusika ziligeuzwa kuwa mali ya serikali na ikafanya kazi ya serikali huku mfuko wa maafa upo na bajeti yake ilipitishwa.

Sasa majibu yake haya hapa:

1. Hajatoa ajira miaka 5
2. Hajaongeza mishahara kwa miaka 5
3. Ameongeza makato HESLB toka 8% to 15%
4. Amefukuza wafanyakazi na hajawapa hata senti tano kisa vyeti feki
5. Kaondoa fao la kujitoa NSSF
6. Kaondoa wanunuzi binafsi wa kahawa waliokuwa wanatoa bei nzuri
7. Karudisha gharama za matibabu kwa watoto na wajawazito
8 .Anatoza maiti kodi kuzitoa mochwari
9. Kavunja katiba ya nchi kuzuia wapinzani kufanya mikutano halali ya siasa
10. Katunga sheria kandamizi kukomoa watu
11. Kabambikia kesi watu kwa visasi na chuki
12. Kafilisi wafanyabiashara kwa chuki binafsi
13. Kathibiti mashirika ya kutetea haki za binadamu
14. Kadhibiti na kutisha vyombo vya habari na kuviamrisha vimtangaze yeye tu na chama chake
15. Kavuruga sana mahusiano ya kimataifa
16. Kavuruga demokrasia na anataka wananchi waishi kama mifugo yake kufuata analotaka
17. Kazima bunge live na kulitumia bunge kama muhuri kufanya mambo yake
18. Mahakama imebinywa na imekuwa siyo huru tena
19. Kawadhibiti viongozi wa dini wanaomkosoa na kumwambia ukweli
20. Kanunua ndege bila kufuata sheria ya PPRA
21. Watu wengi wameuwawa na kupotea na kutekwa
22.Amelea na kulinda kikosi kazi cha "watu wasiojulikana"
23. Amepandikiza hofu,ukatili na dhuluma kama nyenzoza siasa mpya za Tanzania na utu umetoweka
24. Kakivuruga chama chake na kukimega vipande vipande
25. Kajenga uwanja wa ndege kwao bila ya approval ya bunge wala cabinet
26. Alisema tutaishi kama MASHETANI.. kwa madai kuwa tulikuwa tunaishi kama Malaika. Hakika amelitimiza hilo.[emoji848]
27. Kuwa na kundi la watu wasiojulikana awamu hii ya tano na polisi hawajawai kuwajua

Naweza kukuunga mkono sababu 26/27 ulizotoa ila hiyo sababu namba 1 umeongea uongo. Nadhani sahihi ungesema amepunguza idadi ya ajira na si hajatoa ajira.

Ukipita pale DUCE karibu kila baada ya weekend 3 au 4 unawakuta watu wapo kwenye interview.

Ukitembelea tovuti ya sekretarieti ya ajira lazima ukute tangazo la kazi.

Juzi juzi tu hapa wameajiriwa madaktari 1000, eGA wametoa nafasi za kazi zaidi ya 60 tangazo lime-expire 1/9/2020

Naamini wapo wanaopata kazi sema kwa vile sio watu wetu wa karibu wanaotuzunguka basi tunashindwa kuona hili.

All in all usipoteze haki yako 28/10/2020 fanya maamuzi sahihi.
 
Hadi leo huwa nawaza sijui Mkapa na jopo lake waliwaza nini kutuletea mtu katili namna hii....

Na kwa upande wa pili wa shilingi,
Ukawa hasa Chadema hawatokaa waamini kwa kitendo cha ki-huni alichowafanyia ma-Mvi, maana pale Slaa Wilbrod alikuwa anakabidhiwa nchi.

Tulikosewa Sana wapenda mageuzi.
Lowasa alimuachia Mungu.Lisu sio lowsa kuna mmoja lzm aende the Hague October
 
Mnapenda kuorodhesha vitu vinavyohusu ukoo wenu.

JAMBO LA KUPENDEZA NI KUWA UPINZANI HAUJAJIPANGA KUMUONDOA MBABECCM.

Umejipanga kugawana RUZUKU.
Vipi kuhusu kuzuia FAO LA KUJITOA
, Hili nalo linaihusu familia yetu.?
 
1601806927900.png

1601807028800.png

Kiongozi yoyote yule ambaye anatubagua kwa namna yoyote ile, na ambaye hafuati katiba yetu, hatufai, TUMKATE, Maana hana tofauti na kaburu, ni kaburu tu.
 
Huo si ubaguzi unaozungumziwa kwenye hiyo katiba,,,
Mtoa post umekurupuka,,,,,,
Magufuri amewaambia ukweli,,,,
 
Back
Top Bottom