Sababu 3 muhimu kwanini mwanaume mwenye hela humvutia mwanamke kirahisi

Sababu 3 muhimu kwanini mwanaume mwenye hela humvutia mwanamke kirahisi

Nakuombea mkeo/mpenzi wako awe tajiri ili ujionee uhalisia. Haya mambo ni rahisi sana kuwaona wenzako mabwege kama wewe hayajakukuta
Ni mtazamo wako, ila mimi siwaoni mabwege, naona ni watu wanaohitaji kujifunza ndo mana nipo tayari kuwafundisha.
Tatizo linakujaga kwamba watu wengi hawapo tayari kujifunza mpaka mambo yaharibike kabisa...
 
Back
Top Bottom