Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Una hakika?Yule jamaa alikuwa na pesa sana, but still mkewe alimsaliti kipuuzi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hakika?Yule jamaa alikuwa na pesa sana, but still mkewe alimsaliti kipuuzi kabisa
95 sureUna hakika?
Ulimshikia mguu?95 sure
Ushahidi ulikuwa wazi, kuanzia house girl mpaka majirani. Na hata sms za bibie kwenda kwa mumeweUlimshikia mguu?
Hiyo sio kuhongwa ni kupewa.Nahongwa na wenye pesa za kawaida..20, 30, 50, 100.
Hazitoshi.
Sawa sawaHiyo sio kuhongwa ni kupewa.
😂😂Ila demiNilivyokuwa binti nilikuwa nikitongozwa na mwanaume mwenye pesa natoka mbio, yaani hata kumsikiliza nilikuwa staki...
Now natamani nitongozwe na mwenye pesa ndo hawanitongozi kama sio gundu hili ni nini
😂😂 sio gundu hiyo inaitwa karma. Kwahiyo unatongozwa na akina sieNilivyokuwa binti nilikuwa nikitongozwa na mwanaume mwenye pesa natoka mbio, yaani hata kumsikiliza nilikuwa staki...
Now natamani nitongozwe na mwenye pesa ndo hawanitongozi kama sio gundu hili ni nini
Mwanaume tukiwa na pesa hupenda mwanamke mzur wa sura na umboNilivyokuwa binti nilikuwa nikitongozwa na mwanaume mwenye pesa natoka mbio, yaani hata kumsikiliza nilikuwa staki...
Now natamani nitongozwe na mwenye pesa ndo hawanitongozi kama sio gundu hili ni nini
Sawa sawa.Mwanaume tukiwa na pesa hupenda mwanamke mzur wa sura na umbo
Kweli mvuto ni asilia, mwanamke anapenda kufanyiwa vitu.Kuvutiwa na mtu inatokea naturally tu, ukishaweka kigezo cha material yoyote hapo kwa kiasi kikubwa kinachoangaliwa ni masilahi sio mvuto tena yaani hicho kigezo cha pesa kikiondolewa maana yake mwanamke hana tena sababu ya kuvutiwa na uyo jamaa huo sio mvuto tena ni masilahi yanaangaliwa hapo. Ungesema sababu ambazo zinawafanya wanawake wavutiwe na pesa ungeeleweka zaidi maana hapo kinachoangaliwa ni pesa sio mwanaume kama mwanaume. Mkandamizaji pesa anayo ila alichapiwa na katibu wake
Utapataje mbususu bla pesaPesa ni muhimu kuliko mbususu. Watafute pesa
Ndo maana pesa kwanza, mbususu inafata. Lkn pia mbususu za bure zipoUtapataje mbususu bla pesa
Zpo mkuu ila hazna mvutoNdo maana pesa kwanza, mbususu inafata. Lkn pia mbususu za bure zipo
Pesa ni muhimu. Hata kama mapenzi sio pesa ila jitahidi iyo pesa isikosekane kabisa. Mwanamke kuvutiwa au kumpenda mwanaume mwenye pesa sio kosa ila kama pesa ikiwa ndio determining factor pekee hapo hakuna mvuto tenaKweli mvuto ni asilia, mwanamke anapenda kufanyiwa vitu.
Je, masilahi/ material yoyote sio muhimu katika mapenzi?
Kiuhalisia mwanamke na mwanaume kila mmoja anamhitaji mwenzake. Kiuhalisia mwanamke anakuzwa kwa mtazamo kwamba akishavunja ungo ataolewa na kuhudumiwa na mwanaume na yeye mwanamke atapaswa kuwa mtiifu na mnyenyekevu kwa mwanaume wake kama malipo ya matunzo anayoyapata sasa mwanamke akifanikiwa anakua anaona hakuna nafasi ya mwanaume kwenye maisha yake(mafanikio yake yanamdanganya). Kwann ajishushe mbele ya mwanaume wakati na yeye mwenyewe anaweza kujitunza. Fatilia kesi za talaka utakuta zaidi ya 90% ni ndoa za wanawake wasomi au wenye pesaUnaposema kinachoangaliwa ni pesa, je mwanamke akiwa na pesa atahitaji mwanaume?
Money is powerMwanamke yeyote anahitaji usalama kutoka kwa mwanaume wake, ndicho kitu cha kwanza wanakiangalia kabla ya kuwa kwenye mahusiano, japo huwa halisemwi waziwazi.
Usalama wanaotaka ni usalama wa kiakili, kiroho na kimwili ilii aweze kujiachia kwa mwanaume. Usalama wa kimwili mwanamke huupata pale anapojua mahitaji yake ya kimwili yanaweza kutimizwa, na mahitaji ya mtoto wake yataweza kutimizwa.
Hela inatimiza mahitaji makuu ma 3 ya kimwili. Mwanamke anakua na uhakika anaweza kuvaa, kula na kulala sehemu nzuri na salama, ukiwa na pesa hivyo vitu vinakua rahisi kwako kutimiza. Sehemu pakiwa na uhakika wa kula basi mtu hujisikia salama kuishi, haijalishi ni mwanamke au mwanaume.
Pia hela inaepusha migogoro midogo midogo, Mfano, unakuta mwanaume anamlalamikia mwanamke anamaliza sabuni ya kuogea, huyo mwanamke atajisikia usalama kuishi na mwanaume anayemuacha ajisafishe kwa amani bila kulalamikiwa kuhusu sabuni.
Hela inawezesha kusafiri na kufurahia sehemu tofauti. Ukiwa na pesa ni rahisi kumtoa mwanamke wako kwenda kutembea (ni jambo muhimu).
Wanawake wanapenda kuweka kumbukumbu tofauti tofauti pamoja na watu wawapendao. Usije ukakaa na mwanamke sehemu moja tu siku zote 365, utachokwa. Panga siku za kutoka. Haijalishi una hela kiasi gani, ila hakikisha mnabadili mazingira angalau mara moja kwa wiki.
Hela inasaidia kupata huduma za kiafya kirahisi. Atajiona yupo salama kwako unapokua na hela ya kumhudumia anapoumwa. Wanawake ni rahisi kukubali kuwa ni wagonjwa (sisi wanaume tunaona kuumwa ni udhaifu) ndo mana mara kwa mara atakuambia anaumwa, sio jambo baya sababu inabidi wawe na afya nzuri ili waweze kuleta uhai mpya wenye afya hapa duniani.
Mahitaji mengine kama vocha, vipodozi na manukato unaweza msaidia kadri uonavyo sawa, hakikisha mwanamke unayetaka kujenga naye maisha anayaweza hayo mahitaji madogo, pia unaweza mfundisha jinsi ya kupangilia matumizi ili asikuelemee kwenye hivyo vitu vidogo.
Ila usije ukadhani ni hela pekee ndio itakuwezesha kumtunza mwanamke wako. Wapo wanaowatimizia wanawake mahitaji ya kifedha na wamewashindwa wanawake, sababu wameshindwa kutimiza mahitaji mengine.
Bali uwezo wako wa kumridhisha kimwili, kiakili na kiroho, na kuwa kiongozi wake mzuri unakuwezesha kumtunza mwanamke unayetaka kujenga naye maisha, ndio maana katika kundi la infinite kiumeni utajifunza kila siku jinsi ya kumvutia na kumtunza mwanamke unayetaka kujenga naye maisha.
Umesema vizuri. Lakini,mwanamke akifanikiwa anakua anaona hakuna nafasi ya mwanaume kwenye maisha yake(mafanikio yake yanamdanganya)
Nakuombea mkeo/mpenzi wako awe tajiri ili ujionee uhalisia. Haya mambo ni rahisi sana kuwaona wenzako mabwege kama wewe hayajakukutaUmesema vizuri. Lakini,
Kwa nje inaonekana hivyo, lakini kiukweli ni kwamba wanaume wanaogopa wanawake wenye mafanikio, au wanakua na chuki nao bila sababu kwa kulinda imani kuwa mwanamke hawezi kumzidi kipato.
.
Wengi hawataki/ wanaogopa changamoto ya kuwa viongozi wa wanawake waliowazidi kipato na kuishia kulalamika wanawake wenye pesa wanajiona. Kwa mwanaume kuwa kiongozi wa mahusiano hakuji tu, lazima ufanyie kazi na ujifunze. Watu wanadhani mtu unakuwa kiongozi tu bila kuhangaikia lakini ki ukweli uongozi una mitihani mingi na kadri unavyozidi kupanda ndivyo mitihani inakua migumu na kuongezeka. Wanawake wenye pesa ni changamoto tu ya wewe kama mwanaume kujifunza na kuishi naye.
.
Mwanaume anayejifunza hana muda wa kulalamika, na mwanaume anayelalamika hana muda wa kujifunza.