Sababu 3 muhimu kwanini mwanaume mwenye hela humvutia mwanamke kirahisi

Sababu 3 muhimu kwanini mwanaume mwenye hela humvutia mwanamke kirahisi

Kwanza nilikuwa naamini ya kwamba wanaume wote wenye pesa wana ukimwi.
Halafu sijui kwanini walikuwa hawanivutii kabisa.
Hata sasa hivi mwanaume akiwa na pesa sana hanivutii namuona wa ajabu ajabu wa kula nae starehe tu.
Ila huyu wa kwangu namuombea azidi kupata pesa aje kuwa tajiri😅😅
Naona una matatizo ya kuchukia utajiri.Hata huyo uliyenaye sasa hivi unayemuombea awe "tajiri" utalose interest akipata huo utajiri.
Unaweza kuwa na "allergy" na utajiri au wewe ni mwanamke wa "ajabu"!
 
Naona una matatizo ya kuchukia utajiri.Hata huyo uliyenaye sasa hivi unayemuombea awe "tajiri" utalose interest akipata huo utajiri.
Unaweza kuwa na "allergy" na utajiri au wewe ni mwanamke wa "ajabu"!
Nitakuwa ni mwanamke wa ajabu I guess.
 
Write your reply...Najua suala la ngono lipo kimwili zaidi ila umekataa kulizungumzia kbsa umebase kwenye pesa tu.

Unaweza ukampa mwanamke kila kitu ila ukishindwa kumridhisha kingono na happy ndipo utaanza kuchapiwa na wahuni wa mtaani wasio na mbele Wala nyuma.
Hakuna security iwayo yoyote ya kuzuia kuchapiwa, mwanamke ni kiumbe usichoweza kwa namna yoyote ile, hzo habari za mikito ni tone na hila ultimate measurable indicators za satisfaction yake.
 
Kwanza nilikuwa naamini ya kwamba wanaume wote wenye pesa wana ukimwi.
Halafu sijui kwanini walikuwa hawanivutii kabisa.
Hata sasa hivi mwanaume akiwa na pesa sana hanivutii namuona wa ajabu ajabu wa kula nae starehe tu.
Ila huyu wa kwangu namuombea azidi kupata pesa aje kuwa tajiri😅😅
Kuna Vibinti Nlivitongozaga, baada ya hapo vikiniona barabarani vinanikimbia, vipo dizaini kama sitaki nataka mara vinitangaze kwa wenzao kua navitaka, hlf sina hela😅 Demi
 
Mwanamke yeyote anahitaji usalama kutoka kwa mwanaume wake, ndicho kitu cha kwanza wanakiangalia kabla ya kuwa kwenye mahusiano, japo huwa halisemwi waziwazi.

Usalama wanaotaka ni usalama wa kiakili, kiroho na kimwili ilii aweze kujiachia kwa mwanaume. Usalama wa kimwili mwanamke huupata pale anapojua mahitaji yake ya kimwili yanaweza kutimizwa, na mahitaji ya mtoto wake yataweza kutimizwa.

Hela inatimiza mahitaji makuu ma 3 ya kimwili. Mwanamke anakua na uhakika anaweza kuvaa, kula na kulala sehemu nzuri na salama, ukiwa na pesa hivyo vitu vinakua rahisi kwako kutimiza. Sehemu pakiwa na uhakika wa kula basi mtu hujisikia salama kuishi, haijalishi ni mwanamke au mwanaume.

Pia hela inaepusha migogoro midogo midogo, Mfano, unakuta mwanaume anamlalamikia mwanamke anamaliza sabuni ya kuogea, huyo mwanamke atajisikia usalama kuishi na mwanaume anayemuacha ajisafishe kwa amani bila kulalamikiwa kuhusu sabuni.

Hela inawezesha kusafiri na kufurahia sehemu tofauti. Ukiwa na pesa ni rahisi kumtoa mwanamke wako kwenda kutembea (ni jambo muhimu).

Wanawake wanapenda kuweka kumbukumbu tofauti tofauti pamoja na watu wawapendao. Usije ukakaa na mwanamke sehemu moja tu siku zote 365, utachokwa. Panga siku za kutoka. Haijalishi una hela kiasi gani, ila hakikisha mnabadili mazingira angalau mara moja kwa wiki.

Hela inasaidia kupata huduma za kiafya kirahisi. Atajiona yupo salama kwako unapokua na hela ya kumhudumia anapoumwa. Wanawake ni rahisi kukubali kuwa ni wagonjwa (sisi wanaume tunaona kuumwa ni udhaifu) ndo mana mara kwa mara atakuambia anaumwa, sio jambo baya sababu inabidi wawe na afya nzuri ili waweze kuleta uhai mpya wenye afya hapa duniani.

Mahitaji mengine kama vocha, vipodozi na manukato unaweza msaidia kadri uonavyo sawa, hakikisha mwanamke unayetaka kujenga naye maisha anayaweza hayo mahitaji madogo, pia unaweza mfundisha jinsi ya kupangilia matumizi ili asikuelemee kwenye hivyo vitu vidogo.

Ila usije ukadhani ni hela pekee ndio itakuwezesha kumtunza mwanamke wako. Wapo wanaowatimizia wanawake mahitaji ya kifedha na wamewashindwa wanawake, sababu wameshindwa kutimiza mahitaji mengine.

Bali uwezo wako wa kumridhisha kimwili, kiakili na kiroho, na kuwa kiongozi wake mzuri unakuwezesha kumtunza mwanamke unayetaka kujenga naye maisha, ndio maana katika kundi la infinite kiumeni utajifunza kila siku jinsi ya kumvutia na kumtunza mwanamke unayetaka kujenga naye maisha.
MKUU
NIMETULIZA FUVU KUTAFAKARI HIZO SABABU 3

nimegundua sababu moja tu ambayo inamfanya mwanamke avutiwe na mwanaume tajir.
LIFE INSURANCE

hizo
nyingine hata wakina sisi tunaweza kumpatia tena pengine kwa ubora kuliko huyo tajiri.
tuseme HAJI MANARA na Mandonga unadhani mwanamke ata feel safe akiwa na nani?

UMEZUNGUMZIA STABILITY , wanawake kwa matajiri wanafuata life stability na siyo security/protection.
How come mwanaume ambaye yeye mwenyewe hawezi kujipambania/they can't stand on they ground . HAPO NDIPO WAJEDA WANAPOJIPATIA POINT NA KUWA TOP DOG KWENYE DATING GAME.
 
Kwanza nilikuwa naamini ya kwamba wanaume wote wenye pesa wana ukimwi.
Halafu sijui kwanini walikuwa hawanivutii kabisa.
Hata sasa hivi mwanaume akiwa na pesa sana hanivutii namuona wa ajabu ajabu wa kula nae starehe tu.
Ila huyu wa kwangu namuombea azidi kupata pesa aje kuwa tajiri😅😅
Ahsante dada.
ngoja waje hapa wanaowaambiaga wanaume wezao tafuta pesaaaaaaaaaaaaa.
 
Sisi akina Mandingo hatuwavutii japo hatuna hela?

Kuna mdada mmoja bwana ake ana nafasi fulani huwa "namlaku"

Huwa ananambia othmani huo mshipi wako tu ndio "unanifanya uninyandue "

Huyu dada ni mtamu balaa, mixer shombe shombe halafu ana kalio[emoji39]

Aarrgggg[emoji7] kmmmk mbinguni tutukuskia kwenye biblia na misahafu tu.
 
Bado ujawajua wanawake, wanawake bado wanatafuta wasicho kipata, wao KILA siku uhangaika kutafuta wasichokipata.
Ishi kuiridhisha nafsi yako na sio kumridhisha mtu.
Hakuna formula ya kummtain mtu.
Mtu aishi kwa kufuata misingi yako na sio yake.
Tumia hela kugegeda warembo alafu tupa kule
 
Nilivyokuwa binti nilikuwa nikitongozwa na mwanaume mwenye pesa natoka mbio, yaani hata kumsikiliza nilikuwa staki...
Now natamani nitongozwe na mwenye pesa ndo hawanitongozi kama sio gundu hili ni nini

Umeshakua mtu mzima sasa. Umri wa kuhongwa umeshapita.

Ni muda wa kutafuta pesa zako
 
Sijui..tell me
ngoja kwanza nita ku quote muda si mrefu nice and good woman watakuja afu utaipata true definition kwa mfano ulio hai?

wewe unadhani ni wa aina gani?
 
Mwanamke yeyote anahitaji usalama kutoka kwa mwanaume wake, ndicho kitu cha kwanza wanakiangalia kabla ya kuwa kwenye mahusiano, japo huwa halisemwi waziwazi.

Usalama wanaotaka ni usalama wa kiakili, kiroho na kimwili ilii aweze kujiachia kwa mwanaume. Usalama wa kimwili mwanamke huupata pale anapojua mahitaji yake ya kimwili yanaweza kutimizwa, na mahitaji ya mtoto wake yataweza kutimizwa.

Hela inatimiza mahitaji makuu ma 3 ya kimwili. Mwanamke anakua na uhakika anaweza kuvaa, kula na kulala sehemu nzuri na salama, ukiwa na pesa hivyo vitu vinakua rahisi kwako kutimiza. Sehemu pakiwa na uhakika wa kula basi mtu hujisikia salama kuishi, haijalishi ni mwanamke au mwanaume.

Pia hela inaepusha migogoro midogo midogo, Mfano, unakuta mwanaume anamlalamikia mwanamke anamaliza sabuni ya kuogea, huyo mwanamke atajisikia usalama kuishi na mwanaume anayemuacha ajisafishe kwa amani bila kulalamikiwa kuhusu sabuni.

Hela inawezesha kusafiri na kufurahia sehemu tofauti. Ukiwa na pesa ni rahisi kumtoa mwanamke wako kwenda kutembea (ni jambo muhimu).

Wanawake wanapenda kuweka kumbukumbu tofauti tofauti pamoja na watu wawapendao. Usije ukakaa na mwanamke sehemu moja tu siku zote 365, utachokwa. Panga siku za kutoka. Haijalishi una hela kiasi gani, ila hakikisha mnabadili mazingira angalau mara moja kwa wiki.

Hela inasaidia kupata huduma za kiafya kirahisi. Atajiona yupo salama kwako unapokua na hela ya kumhudumia anapoumwa. Wanawake ni rahisi kukubali kuwa ni wagonjwa (sisi wanaume tunaona kuumwa ni udhaifu) ndo mana mara kwa mara atakuambia anaumwa, sio jambo baya sababu inabidi wawe na afya nzuri ili waweze kuleta uhai mpya wenye afya hapa duniani.

Mahitaji mengine kama vocha, vipodozi na manukato unaweza msaidia kadri uonavyo sawa, hakikisha mwanamke unayetaka kujenga naye maisha anayaweza hayo mahitaji madogo, pia unaweza mfundisha jinsi ya kupangilia matumizi ili asikuelemee kwenye hivyo vitu vidogo.

Ila usije ukadhani ni hela pekee ndio itakuwezesha kumtunza mwanamke wako. Wapo wanaowatimizia wanawake mahitaji ya kifedha na wamewashindwa wanawake, sababu wameshindwa kutimiza mahitaji mengine.

Bali uwezo wako wa kumridhisha kimwili, kiakili na kiroho, na kuwa kiongozi wake mzuri unakuwezesha kumtunza mwanamke unayetaka kujenga naye maisha, ndio maana katika kundi la infinite kiumeni utajifunza kila siku jinsi ya kumvutia na kumtunza mwanamke unayetaka kujenga naye maisha.
Kuwa hohe hahe ndio maisha mabaya.

Lakini kuhisi bila kuwa na pesa nyingi hutakuwa na furaha ni moja ya akili mbovu na ya ajabu.

Ukitegemea pesa ndio ikuoe furaha na ridhiko la moyo UTAKUWA MTU WA MALALAMIKO SAA 24/7, UTATUMIKA MNOOO, UTASULUBIKA MNOOO.

Jifunze namna ya kuishi kwa kuridhika kwa kile unachopata, hakikisha kinachokupa furaha ni zaidi ya Pesa.

Mwisho kabisa, hakikisha unaishi WEWE siyo unaishi ili watu wakuone.
 

Attachments

  • 326148121_136770715657886_1739434034606899325_n.mp4
    5.8 MB
Back
Top Bottom