Sababu 3 muhimu kwanini mwanaume mwenye hela humvutia mwanamke kirahisi

Sababu 3 muhimu kwanini mwanaume mwenye hela humvutia mwanamke kirahisi

Naona una matatizo ya kuchukia utajiri.Hata huyo uliyenaye sasa hivi unayemuombea awe "tajiri" utalose interest akipata huo utajiri.
Unaweza kuwa na "allergy" na utajiri au wewe ni mwanamke wa "ajabu"!
Nami nilikua nataka niandike hivi, umeandika vizuri, asante.
.
Demi kama ndo maisha uliyochagua kuishi haina shida, ila tu kuwa makini ni vikomo unavyojiwekea na imani unazoamini sababu ndio funguo au kufuli za maisha.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
ngoja kwanza nita ku quote muda si mrefu nice and good woman watakuja afu utaipata true definition kwa mfano ulio hai?

wewe unadhani ni wa aina gani?
Vyovyote mtu atakavyoniona ni sawa. Ninachofahamu ni kwamba I am a woman, inatosha.
 
Utapata mikosi, ngono hovyo sio jambo la ujanja kama unataka mafanikio.
Ikimbie zinaa ukitaka mafanikio
Mafanikio hayana uhusiano wowote na ngono hovyo.
Tiger woods alikuwa anasafirisha malaya na private jet from usa to europe na bado mafanikio yalikuwepo.
 
Ni Mtu mjinga anayeweza kuumia kutafta pesa ili Ampatie Mwanamke (bitches) kiufupi kila mtu atafute pesa zake Mwenyewe haijalishi Ni Mwanamke au Mwanaume
Tutawasaidia Yatima, wajane , na ombaomba wa mtaani na sio bitches Dog digger.
 
Toka uumbaji wa dunia hii mwanamke kaumbwa kupokea akitoa anaumia.
 
Umeandika hapo juu kwamba siku hizi hutongozwi na wenye pesa kama zamani?!

Au ulikua unafurahisha genge
Nahongwa na wenye pesa za kawaida..20, 30, 50, 100.

Hazitoshi.
 
"Mwanaume anayemlalamikia mwanamke wake kamaliza sabuni ya kuogea" we umemshuhudia wapi?? Au ni wewe mkuu??
 
Ukimaliza hili nakuomba baadae uje na Sababu Kuu Tatu ( 3 ) za Kwanini Wanawake ( hasa Wake za Watu ) hupenda Kutoka ( Kubanduliwa ) na Wanaume wa Kawaida sana na hata wasio na Pesa?

Nitakushukuru ukija na Jibu Kiongozi.
Mahitaji ya kimwili ya kumridhisha kakosa, baba akirudi yeye chomoa chomeka dk moja kamaliza, nani ataweza kuvumilia hilo kila siku, wakt nje huko unapelekwa pelesu pelesu mpk unahis roho inatoka
 
Kuwa hohe hahe ndio maisha mabaya.

Lakini kuhisi bila kuwa na pesa nyingi hutakuwa na furaha ni moja ya akili mbovu na ya ajabu.

Ukitegemea pesa ndio ikuoe furaha na ridhiko la moyo UTAKUWA MTU WA MALALAMIKO SAA 24/7, UTATUMIKA MNOOO, UTASULUBIKA MNOOO.

Jifunze namna ya kuishi kwa kuridhika kwa kile unachopata, hakikisha kinachokupa furaha ni zaidi ya Pesa.

Mwisho kabisa, hakikisha unaishi WEWE siyo unaishi ili watu wakuone.
Pesa ni moja kati ya vitu vilivyopo ili kukufanya uwe bora zaidi.
 
Nilivyokuwa binti nilikuwa nikitongozwa na mwanaume mwenye pesa natoka mbio, yaani hata kumsikiliza nilikuwa staki...
Now natamani nitongozwe na mwenye pesa ndo hawanitongozi kama sio gundu hili ni nini
Hahaha pole sana dada angu
 
"Mwanaume anayemlalamikia mwanamke wake kamaliza sabuni ya kuogea" we umemshuhudia wapi?? Au ni wewe mkuu??
Umewahi kuishi na wanaume wasiomini mwanamke ni wa tofauti?/ wanaotaka vile yeye anavyotumia maji ndivyo mwanamke atumie au vile yeye alivyo ndivyo mwanamke awe hivyo?
 
Mwanamke yeyote anahitaji usalama kutoka kwa mwanaume wake, ndicho kitu cha kwanza wanakiangalia kabla ya kuwa kwenye mahusiano, japo huwa halisemwi waziwazi.
Kuvutiwa na mtu inatokea naturally tu, ukishaweka kigezo cha material yoyote hapo kwa kiasi kikubwa kinachoangaliwa ni masilahi sio mvuto tena yaani hicho kigezo cha pesa kikiondolewa maana yake mwanamke hana tena sababu ya kuvutiwa na uyo jamaa huo sio mvuto tena ni masilahi yanaangaliwa hapo. Ungesema sababu ambazo zinawafanya wanawake wavutiwe na pesa ungeeleweka zaidi maana hapo kinachoangaliwa ni pesa sio mwanaume kama mwanaume. Mkandamizaji pesa anayo ila alichapiwa na katibu wake
 
Back
Top Bottom