Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro....
Namba 5 imekuwa ya moto hasa ile ajali ya wabunge nasikia ni 🔥...1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja moja tena.
Rushwa iliyokithiri1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja moja tena.
Kula bila kunawa mikono akitumia "urefu wa kamba".1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja moja tena.
Akina Mulilo utawapeleka wapi? Wewe huoni wanavyo haha kuhakikisha ni mama tu!1. Hali ngumu ya kiuchumi
2. Ukosefu wa ajira kwa vijana
Hivyo vitu viwili vitaitoa ccm madarakani saa tatu asubuhi saa za afrika ya mashariki
Zote hizo hazitamzuia kuwa rais kwa vile atachakachua. Anavyosifiwa hata akijamba, nani akatae kuhakikisha anashinda ili genge lote la wezi la CcM lisiporomoke kama lile la Kenya au Malawi, Zambia na juzi juzi Botswana?1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja moja tena.
Akiukosa nani atakua rais?? Tafadhali usipoteze muda kusema upinzani maana wameshazikwa.1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja moja tena.
Imewakosea nini wakati yupo mjengoni kikatiba . Tatizo mnaamini CCM ina nguvu zaidi kuliko raiaKula bila kunawa mikono akitumia "urefu wa kamba".
Gesi ya Ntorya unajuwa ilivyo kwenda Oman? Hizo ndio 4RRRR za mama hizo!
Lakin la msingi zaidi yanako tokea yote hayo uliyo yataja hapo ni kuwa kiongozi asiye guswa kabisa na watu anao waongoza. Yeye la muhimu ni "urais", cheo na sifa zinazo ambatana na cheo hicho; lakini kuguswa na hali ya anao waongoza? Labda huko upande wa pili anako tokea, siyo huku mabondwe kwinama.
Akimaliza urais wake, atakuwa anajivunia kuwa rais wa nchi; lakini siyo aliyo yafanya kubadili hali za watu alio watawala. Hana dira wala lengo la nini angejivunia kulifanyia taifa hili na wananchi wake ambalo inge kuwa ni alama ya utambulisho wa uongozi wake.
CCM ime wakosea sana waTanzania kwa huyu mama.
Wamezikwa na dola na sio kukataliwa na wananchi.Akiukosa nani atakua rais?? Tafadhali usipoteze muda kusema upinzani maana wameshazikwa.
Kwa tume teuliwa na tume majizi na uzoefu wa kupikia kwenye masunduku chakula kwao yote hayo hayawasumbui ama?1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja moja tena.
Inasemekana kuna haya pia sijui ni kweli au uongo?1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja moja tena.