much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Migawanyiko ndani ya CCM hakuna tutajie nani na nani wamegawanyika?1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja tena.