Pre GE2025 Sababu 5 zitakazopelekea rais Samia kuukosa urais 2025 hizi hapa…

Pre GE2025 Sababu 5 zitakazopelekea rais Samia kuukosa urais 2025 hizi hapa…

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakuna kitu kama icho Tanzania ukishakua Rais na Mwenye kiti wa ccm Taifa unakua Mungu mtu

hakuna mtu yoyote atapinga kufanya lile aliloamua yeye
sana sana mkimzingua ndo pale huamua bora tukose sote na kuwapa nchi upinzani kirahisi kbs
Na huo ndio ukweli wenyewe !🙏🙌
 
Kuanguka kwa CCM kwenye uchaguzi ni mpaka Mungu aingilie kati.

Aijalishi CCM wamegawanyika kiasi Gani kwakua Ushindi wa CCM hautafutwi na Wana CCM pekeee.

CCM Ina Mabavu ya ki mfumo, ata vyombo vinavyotakiwa kuwa Nyutro kwenye uchaguzi vinaungana na CCM ili ishinde.
Hakuna wakati CCM iligawanyika kama kuondoka kwa Lowasa lakini angalia Nini kilitokea.
Tusiwe wepesi kusahau mambo ya Msingi.
 
Kuanguka kwa CCM kwenye uchaguzi ni mpaka Mungu aingilie kati.

Aijalishi CCM wamegawanyika kiasi Gani kwakua Ushindi wa CCM hautafutwi na Wana CCM pekeee.

CCM Ina Mabavu ya ki mfumo, ata vyombo vinavyotakiwa kuwa Nyutro kwenye uchaguzi vinaungana na CCM ili ishinde.
Hakuna wakati CCM iligawanyika kama kuondoka kwa Lowasa lakini angalia Nini kilitokea.
Tusiwe wepesi kusahau mambo ya Msingi.
Baelezee, Baambie baelewe bandugu 😂😅 !
 
Shida yetu tunamzungumzia mtu badala ya mfumo,,,ni mpaka CCM yenyewe ibomoke na pande moja lije upinzani ndio itawezekana kuiondoa CCM.
Kwa hivi sasa hata kama uchaguzi utaendeshwa kwa haki kabisa bado CCM ina nafasi kubwa ya kushinda.
 
Sina hakika kama watanzania wengi wanaelewa maswala ya mikataba ya kimangungu na athari zake. Mfano huo wa DP world.

Ongezea hapo kikokotoo kwa watumishi, Tozo (kukosa ubunifu wa ukusanyaji kodi zisizoumiza), mikopo isiyokua na tija kwa walipa kodi, kubwa zaidi ni hili kundi la vijana jobless litamlipukia.

Lakini yote hayo hayawezi kumnyima nafasi ya kurudi kwenye kiti alichokalia unless mifumo iwekwe Sawa.
 
1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja tena.

Labda namba 5, hizo nyingine Hakuna kitu!
 
Hata mkitaja sababu zaidi ya 100 lakini tatizo siyo CCM wala yeye, tatizo ni Jamii,

Tunaishi Kwenye jamii ya kanyaga twende, jamii ambayo haiwezi kuchakata fikra chanya na hasi

Jamii ambayo unaweza ukaisafisha ubongo, ikafikiri unavyotaka wewe hata kama uwezo wako wa kufikiri ni mdogo

Hitimisho binadamu akipata changamoto huamsha ubongo anapofanya hivyo huibuka na ubunifu. Niwatie moyo kwamba ni lazima tutaibuka na ubunifu, ambao hakika utarudisha akili kwenye mafuvu ya jamii mfu, ambayo imekuwa ikisafishwa ubongo na CCM

Tanzania tumepata changamoto kutokana na binadamu anaye pewa dhamana ambao wamekengeuka, wamekuwa wasakatonge mchwa,
 
1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja tena.
Let it be...🙏🙏🙏
 
Nani amekwambia CCM sio moja?

Kuna kipindi ambacho CCM imesimama kwa pamoja kama kipindi hiki?

Level ya Uchawa uliopo CCM huioni?

Alafu kwanini unajiita Sexless?
Hivi wewe hunanmacho?? Huna masikio?? Unaishi kweli Tanzania, au upo Mbinguni??
Kiasi kwamba hujui yanayoendelea Tz ndani ya Chama tawala??

Hongera sana kwa kutia "AKILI MFUKONI"🤔🤔🤔
 
1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja tena.
Kenya kwa ule mkataba wa Kuendesha uwanja wa ndege mwisho wa siku ilikuwa Kenya atafaidika kwa kupata 10% na muwekezaji 90% , sasa sijui ya kwetu wa Dipi na wa Adani upoje, lakini uwezekano mkubwa ni kama huo wa Kenya
 
1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja tena.
Hapa Tanzania mtu hawi rais, bali CCM ndo inatoa rais. Wewe sema CCM itashindwa na Siyo Samia.
Sasa taja mshindi siyo kila siku eti Samia atashindwa, sasa Kama hakuna wa kushinda huo urais, Samia atashindwaje?
Vyama vingine hata wagombea urais hawana.
 
Kama katiba yetu ndiyo hii hii,nawashauri chama cha kijani kisifanye kampeni,ushindi wao siyo lazima raia wapige kura,wao wakae wasubiri watangazwe washindi.
 
Back
Top Bottom