Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Sasa mnajijua wajinga, mna cha kufanya?Kwanza ni ujinga kutawaliwa na raia wa kutoka taifa jingine
Mnabwabwaja tuuu, huko mzanzibar anatawala mnaishia kujiita wajinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mnajijua wajinga, mna cha kufanya?Kwanza ni ujinga kutawaliwa na raia wa kutoka taifa jingine
Taja huyo Rais wenu atakayemshinda Samia. Hadi sasa Sàmia anagombea na kivuli Kama enzi za mwalimu.Kamuulize Kikwete, nusura aukose uenyekiti wa chama kwa kupigiwa kura za maruhsni.
Na 2015 alitaka kumuachia nchi mtu wake ikashindikana.
Habari ya fomu 1 bado ni fupa gumu ndani ya chama. Kuna mchezo mchafu .umeandaliwa. kuhusu hilo Yanukuu maneno haya.
Mwaka jana, mtandao wa kimataifa wa waandishi wa habari wa uchunguzi ulishutumu Adani Group kwa kununua hisa zake kupitia makampuni ya nje ya nchi ili kuongeza bei ya hisa zake.Kweli CCM imeishiwa viongozi. Samia amekuwa Rais kwa bahati mbaya, na ameprove wazi kwamba hawezi kupitia
1. Utekaji na mauaji ya raia
2. DP World
3. Kukithiri kwa rushwa
4. Ngorongoro-Maasai case
5. Kuua demokrasia nchini
6. Kubinafsisha KIA
7. Maisha magumu kwa Watu hasa wa bara,
Lakini bado wanaimba nani kama mama. Kisa wana ruhusa ya kujinufaisha na raslimali za nchi isivyo halali.
Yaani huo ujinga wenu msituletee huku, sisi hao akina mama hawawi watawala bali tunaoa na kuweka ndani. Akija huku kizimkazi ni mke wa tatu wa Hafidh.Huyu Maza arudi kwao. Mimi binafsi simtaki na najua watanganyika wenzangu wengi hawamtaki so hicho alichokula kwasababu ya ujinga wetu na katiba yetu mbovu kinatosha. Arudi kizimkazi au akatawale na kakake huko. Huku No.
Majaliwa baba, nchi Yako hii pambana chukua fomu, gombea.
Hasa ile kauli ya "labda mambo yaharibike sana"Natamani viongozi wote wa kitaifa kutunza kauli zao, (public figures have to keep their Words)
Tungo tata pia huweza kumbomoa kiongozi
Napenda pia kuangalia tamthiliaHasa ile kauli ya "labda mambo yaharibike sana"
Naona una hasira lakini hizo sababu bado hazitoshi kumuondoa madarakani SSH.1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja tena.
📌Kiburi chake kinategemea ulinzi unaofanywa na watu ambao nao wamechoshwa na utawala wake.
THUBUTU! Magufuri alishawapa njia kwa hiyo hatuna namna labda wapatikane akina SARAFINA Tanzania.1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja tena.
Kwako Lucas Mwashambwa hebu sifia kuwa ni ushuzi unaonukia Marashi.Anavyosifiwa hata akijamba
Katiba ya ccmImewakosea nini wakati yupo mjengoni kikatiba . Tatizo mnaamini CCM ina nguvu zaidi kuliko raia
Tumeshituka sasaSasa mnajijua wajinga, mna cha kufanya?
Mnabwabwaja tuuu, huko mzanzibar anatawala mnaishia kujiita wajinga.
6. Mkwe wake mwenye kifua kipana kuchafua uchaguzi wa Serikali za Mitaa.1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja tena.
CCM DAIMA SAMIA MITANO TENA mnapiga kelele mjini tu hapa1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja tena.
Unaongea usicho kijua ccm ni kwamoto sana na sio kidogo ni sana na ukitaka kupata uhakika wa hilo subiri 2025Nani amekwambia CCM sio moja?
Kuna kipindi ambacho CCM imesimama kwa pamoja kama kipindi hiki?
Level ya Uchawa uliopo CCM huioni?
Alafu kwanini unajiita Sexless?
Anataka kabla ya uchaguzi mkuu, IGP awe ni mzanzibari, ndiyo maana kaanza kumpandisha taratibu.📌
Huu ni ukweli, mfano halisi ni panga pangua zinazo anza kuonekana katika jeshi la Polisi.......
MmhNamba 5 imekuwa ya moto hasa ile ajali ya wabunge nasikia ni 🔥...
6. Kifuwa kipana yaaniiii mm sipo
CCM ndiyo haitampitisha sasaHivi hamchikagi kupita Ramli?? Kama CCM ikimpitisha huyu ndo atakua raisi wa nchi hii Kwa miaka mingine mitano.