Pung'o boy
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 685
- 305
Sema saivi wanaangalia zaidi magoal ndio maana mafund wa mpira huwez kuta wanachukua, ingekua kwa miaka ya nyuma mtu kama marcelo angebeba ndoo sijawah ona mtu anaecheza mpira kama marcelo kwa kipnd cha hapa karibuni na madrid kwa sasa team imejengwa kupitia marcelo bila marcelo madrid haipat matokeo au itapata kwa tabu sanaaKuna akina hazard,iniesta (kama zidane enz zile), coutinho,toni kroos,sneider alie staff juzjuz, mondric,torres enz zake, suarez, sanchez, ozil kama rivaldo, ramos kama canavarro, ko usishangae
Messi ni wa sayar nyingine yaan mfano wake ni maradona japo nae kapitwa mbali
Af insue ni kuwa sahv mpira umekuwa biashara(ushabiki) na messi kasababisha mpira uonekane wa wawili