Sababu gani zilifanya Jay Jay Okocha asitwae Ballon D' or enzi zake?

Sababu gani zilifanya Jay Jay Okocha asitwae Ballon D' or enzi zake?

Kuna akina hazard,iniesta (kama zidane enz zile), coutinho,toni kroos,sneider alie staff juzjuz, mondric,torres enz zake, suarez, sanchez, ozil kama rivaldo, ramos kama canavarro, ko usishangae
Messi ni wa sayar nyingine yaan mfano wake ni maradona japo nae kapitwa mbali
Af insue ni kuwa sahv mpira umekuwa biashara(ushabiki) na messi kasababisha mpira uonekane wa wawili
Sema saivi wanaangalia zaidi magoal ndio maana mafund wa mpira huwez kuta wanachukua, ingekua kwa miaka ya nyuma mtu kama marcelo angebeba ndoo sijawah ona mtu anaecheza mpira kama marcelo kwa kipnd cha hapa karibuni na madrid kwa sasa team imejengwa kupitia marcelo bila marcelo madrid haipat matokeo au itapata kwa tabu sanaa
 
Kwa mtazamo wangu Gaucho na okocha walikua sawia, style zao zimefanana kiasi flani,na ni wacheza show wazuri sana,na si utendaji kazi..atleast JJ namkubali, alionyesha uanaume wake.....
Unaongea kwa ushabiki sana mkuu ,
Kumpinga ronaldinho kama one of the top 21 century nadhani hata kichaa atakucheka.
 
Kweli tupo pamoja kwenye huu uzi, sema nimeamua kuachana na huu mjadala kwa sababu kila mtu ana mtazamo wake hivyo ni busara kila mtu kubaki na msimamo wake,

Tena vitu vya ajabu kabisa yaani Gaucho awe sawa na Okocha?
Huyo yy hanaga discussion likija suala la messi na ronaldinhi,anaweza akasema kwamba ngasa ni bora kuliko ronaldinho
 
Sema saivi wanaangalia zaidi magoal ndio maana mafund wa mpira huwez kuta wanachukua, ingekua kwa miaka ya nyuma mtu kama marcelo angebeba ndoo sijawah ona mtu anaecheza mpira kama marcelo kwa kipnd cha hapa karibuni na madrid kwa sasa team imejengwa kupitia marcelo bila marcelo madrid haipat matokeo au itapata kwa tabu sanaa
Kweli mkuu
Jamaa anacheza vzr sana kama kiungo mshambuliaj au winger
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] unachekesha
Messi hashindanishwi na akina gaucho au zidane bro
Huyo anashindanishwa na pelle na maradona bass
Unaweza ukapata picha ni aina gan ya mchezaj unaongelea
Utaonekana mjinga kumfananisha messi na zidane

CR7 ndo unamringanisha na hao tena nae anawazidi uwezo katika peak yake
Sema ronaldo nae sikuiz kabakiza jina2
Sasa mbona anashindana na ronaldo Christian ambaye ni wa kawaida kabisa ,Mbona ni wa kawaida hao wote wawili sema tu dunia imeishiwa,ni kama vile ambavyo tumetoka kwa wakina Muhammad Ali ,Joe freezer (the smoking Joe) ,Tyson mike mpaka kubaki na akina mayweather na David hae eti ndio mabondia bora wa sasa, au wakina Stephen cury na Kobe Bryant kama mbadala wa akina Jordan na riper.
Kwangu mm ronaldinho ni mchezaji wa kipekee kwa kizazi hiki haijalishi ballon d'or na FIFA award ngapi kachukua, he was and he is a century man kwa football.
 
Mkuu unataka kuniambia suarezi,neymar, aguero , Diego Costa, lewandosk , n.k hawajui?? Wachezaji wanaofunga 20+ goals per season unawasahau mkuu....


Ngoja nikwambie kitu sio kwamba recently hakuna wachezaji wazuri la hasha... Ni bahati mbaya wametokea kipindi cha messi na neymar .... Messi msimu juzi laliga alifunga magoli zaidi ya 40 kitu ambacho hakijawahi kutokea tangu mungu kaumba huu ulimwengu ...
Mkuu kwel kabisa yaan huyu Messi huwez kumlinganisha na ishu yoyote ile kwenye soka milele
 
Iniesta ilikua rahisi mno kupata ballon d'Or before the KING Messi kuingia catalunya...wamemdhulumu tu kipindi chake!
Na pia hata kipindi messi yupo hapo ,
2010 alikuwa kwenye peak kuliko messi,alicheza kwa kiwango cha juu kuliko messi kwenye world cup akahitimisha kwa goli lake la fainali,akatwaa euro cup,ucl na la liga ,kote huko alikuwa kwenye peak .figisu figisu kila mahala zipo sio ccm pekee
 
Mess si lolote kwa C.Ronaldo.Angalia Namba anayoicheza na upachikaji wa mabao uyundo itachukua karne na karne kupata mbadala wake.
 
Niukweli usiopingika uwez linganisha kizaz chakina Zizou na cha sasa C.Rinaldo na Mess ingekuwa kizaz cha akina Zizou wala wasingeweza pokezana namna hii ilo wakukataa atakataa lakin ukwel ndo huo em kuwen waz kwakizaz iki nan mtaalam wa kupiga mipira ta fauru ,kona penat na utoaji pasi km Beckhamu??? Km yupo mtajen tumjadili ,kizaz ikimpira umeshuka.
 
Ata kama nizaliwe leo
Sijawahi kuona messi akishindanishwa na hao
Maana level sio zao
Nikuulize kwa sasa ukitoa Messi na Ronaldo nani mwingine kwa sasa unaweza washindanisha na hawa wawili? ??halafu rudi miaka 15 iliyopita angalia list ya wachezaji waliokuwepo na sababu zipi hakuna aliyewah chukua mfululizo hizo ballon d or??ndo utapata majibu narudia Messi na Ronaldo ni wa kawaida sana kwa kizazi cha zamani na ni wakali kwa kizazi hiki cha kwako Asante
 
Mhmm suala la gaucho kukopi vya okocha siafiki kabisa. Huyu gaucho ukitaka kujua kuwa alikuwa hatari angalia documentary take toka utotoni. Ndo mchezaji aliewahi funga goli nyingi sana kwenye mechi moja. Gaucho? Kijana alikuwa na uwezo wa kutupa scadi mahala popote uwanjani na kufunga. Okocha hakuwa na hiyo kitu.
 
Wakuu karibuni tujadili sababu zilizomfanya fundi wa soka toka Nigeria na Africa kwa ujumla, Austin Jay JAy Okocha kushindwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa Dunia enzi zake akisakata kabumbu licha ya uwezo na kipaji maridhawa cha hali ya juu alichokuwa nacho.
sio hiyo tu hata hakuchezea zile timu kubwa na maarufu ulaya.
 
Kaka naona unababaishwa na Ronaldo Xtian na Messi kuwa wanapokezana, ukweli ni kuwa kwa sasa hakuna mafundi wa soka Duniani, wako wachache sana na ndio kisa cha hawa wawili kupokezana,
Hebu kumbuka wakati Ronaldo de Lima, Rivaldo, Carlos, Mtume Gaucho, Decco, Figo, Zidane, Okocha, Chev nk hapo ilikuwa ni shughuli pevu kumchagua best player
umemsahau devo sukar wa coretia pia george hagi wa romania
 
Huu uzi mzuri sana sema utani mwingi. Zidane=Okocha? Ronaldinho=Messi? Henry=Van persie?

Ila haina noma kama ni utani tu na mimi naongezea hii...

Edibily Lunyamila=Louis Figo.
 
umemsahau devo sukar wa coretia pia george hagi wa romania

George hagi, mtaalam wa mipira iliyokufa, kipindi hicho nchini Romania gari za kifahari zilikuwa hazituhusiwi kwa watu Binafsi, Mtu binafai aliyeruhusiwa kuwa na gari ya Kifahari Mercedes Benz alikuwa ni yeye (George Hagi) pekee,
 
Hapa naona kuna tatizo moja la kimsingi..kwa sisi tulioanza fwatilia mpira miaka ya tisini mwishoni tutakwambia hakuna kama ronaldo de lima..zidane..gaucho..figo..okocha..kanu..ila kwa walionza fwatilia mpira pindi barca inarudi kwenye form miaka ya 2003 kuendelea watakutajia messi..
Ila kwa ukweli messi hajafikia kipaji cha zidane au de lima..wale jamaa ni kama wachawi..
Wameshinda makombe yoote muhimu..mesi ye anashinda ligi na uefa
De Lima hajawahi kushinda UCL
 
Back
Top Bottom