Inatosha kujuwa kuwa Magufuli alitengeneza kutengo cha Plea Bargain ili kunyang'anya watu fedha na kuzificha China. Suala la kurudi linategemea na aliyezipokea alikuwa na makubaliano gani na wawekaji.Hizo pesa ziliwekwa china zisharudi ?
Nakubaliana nawe, lakini inafaa umtungie mada ikidadavua yaliyofanyika chini ya uongozi wake.Naomba na Mkapa umuweke kwenye list yako.
Ewe mwenyezi Mungu tuepushie mbali na viongozi dizaini ya yule dikteta uchwaraHabari JF,
Ukiaachana na nguvu kubwa inatumika kuonesha umma kwa Hayati Magufuli hakufanya kitu huku vitu vinaonekana na tuhuma nzito ambazo hazina ushahidi bado haiwezi ondoa ukweli kwamba hawa viongozi wawili watabaki kuwa bora kuwahi kutokea nchini mwetu.
Kwa kifupi bado tunawahitaji lakini Je, ni rahisi kuwapata ? Jibu hapana na zifuatazo ni sababu kwanini ni Ngumu kuwapata -
1. Demokrasia: Ni mfumo wa kuangalia mawazo ya wengi na kupuuza wachache huu mfumo hautufai Afrika kabisa sababu unatupa viongozi wasiofaa. Pili unapuuza mawazo ya wachache ambayo muda mwingine ni msingi mwisho ni chanzo kikubwa cha migogoro na vita lakini kikubwa zaidi maamuzi mengi sana huwa yanachukua muda mrefu sana sababu inahitajika vikao vingi vya makubaliano. Hivyo AFRIKA INAHITAJI DEMOKSIA INAYOENDANA NA TAMADUNI NA MAZINGIRA YETU.
2. Nguvu ya Mataifa ya nje: Umewahi jiuliza hivi wazungu au mataifa ya nje wanatupenda sana Africa au ni watu wema sana kiasi cha kuacha kusaidia wananchi wao na kutoa misaada na mikopo? La hasha wanafanya hivyo kwa maslahi yao hivyo ni lazima waweke mkono kuhakikisha mtu anapatikina analinda maslahi yao.
3. Ujinga bado mwingi sana: Ujinga ni adui mkubwa sana. Tanzania unaweza fanyika ufisadi mkubwa sana lakini watu wakawa kimya wanaendelea na maisha lakini ukizima data au ukaifungia whatsapp au Twitter basi utawanyima raha sana. Kwa kifupi ni bora uwape uhuru wa kutukanana mitandaoni kuliko maendeleo, sasa watu kama hawa ni ngumu sana kukupa kiongozi bora hasa kwa njia ya demokrasia.
Hivyo tupambane na ujinga.
Je, unadhani kuna siku tutapata watu wazalendo na watakao pigana kwa ajili ya maslahi ya Taifa letu? au tayari tunao tuendelee kuwaamini?
Point no: 1 umesema ukweli sana mkuu.wenye akili tu ndo watakuelewaVipi marehemu amekutokea toka kuzimu unaweweseka SAA hizi?
Magufuli is dead and buried.
Tukitaka tuondoe huu umaskini tulionao tunahitaji dikteta mkuu atulazimishe kufanya kazi kwa bidii,atulazimishe tuwe na nidhamu kazini lakini atulazimishe tuwe wazalendo hata kama hatupendi.Maendeleo kwa wote kama nchi yana misingi yake lakini tukienda hivi watafaidika wachache na wengi wataendelea kulia na umaskini mpaka kiama.Ewe mwenyezi Mungu tuepushie mbali na viongozi dizaini ya yule dikteta uchwara
Hizo kazi ziko wapi?Tukitaka tuondoe huu umaskini tulionao tunahitaji dikteta mkuu atulazimishe kufanya kazi kwa bidii,atulazimishe tuwe na nidhamu kazini lakini atulazimishe tuwe wazalendo hata kama hatupendi.Maendeleo kwa wote kama nchi yana misingi yake lakini tukienda hivi watafaidika wachache na wengi wataendelea kulia na umaskini mpaka kiama.
Daaah...!umezunguka sana aisee kwa hicho unachokisema hapo hatupaswi kupongeza kwenye mazuri wala kukosoa kwenye maovu.Hatuhitaji Nyerere na Magufuli kama walivyokuwa, tunawahitaji wa kisasa, wengi, walioboreka zaidi kwa kuondolewa mapungufu au maovu waliyokuwa nayo, yakaachwa mazuri tu na kuongeza mazuri zaidi kwao.
Hata hivyo, kuwaza Nyerere Nyerere, Magufuli Magufuli ni uthibitisho wa umasikini wa fikra na kumtegemea mwanadamu mwingine.
Taifa lazima lisonge mbele, lina watu wengi, raia wa kawaida na viongozi wenye akili nzuri na wanaoweza kufanya makubwa. Ni kwa bahati tu wachache hupata nafasi za madaraka hivyo tusiwaabudu.
Mamilioni ya raia ambao pengine wangefanya bora zaidi hawajapata nafasi za kuongoza.
Ulizaneni wezi wa CCMHizo pesa ziliwekwa china zisharudi ?
Kutunyima haki zetu kama watumishi wa umma for 6yrs.Embu niambie dhambi kubwa alizotenda mpaka umwite Shetani na kipimo kipi cha dhambi ulivyotumia kupima wingi wa dhambi zake
Hao wataje na wewe utasikika tuDavide Mwangosi, na dokta Mvungi na wale waandamanaji Arusha waliouawa sijaona mkisema rais aliyepita ni muuaji ila kwa Magufuli mmeshika bango
Mimi ni Mtz na yeye sijui alikuwa mrundi yule, mana si kwa roho mbaya ileDhuluma ipi uliyofanyiwa? Kwanza wewe ni nani mpaka ufanyiwe dhuluma na rais
Wajinga ni nyie mnaoabudia marehemuUjinga ulionao utakutesa sana
Lile shetani lenu ni chafu tuHizo siasa zinamsaidia nini mwananchi anekabiliwa na umasikini, mfumuko wa bei za bidhaa, ukosefu wa ajira,tozo na mikodi lukuku huku mafisadi wakiendelea kuchezea kodi za wananchi na wanasiasa matapeli wakihongwa na mafisadi kumchafua Magufuli kumuonesha alikuwa mbaya
EmenEwe mwenyezi Mungu tuepushie mbali na viongozi dizaini ya yule dikteta uchwara
Sikutegemea utaandika ajabu kama hiiHabari JF,
Ukiaachana na nguvu kubwa inatumika kuonesha umma kwa Hayati Magufuli hakufanya kitu huku vitu vinaonekana na tuhuma nzito ambazo hazina ushahidi bado haiwezi ondoa ukweli kwamba hawa viongozi wawili watabaki kuwa bora kuwahi kutokea nchini mwetu.
Kwa kifupi bado tunawahitaji lakini Je, ni rahisi kuwapata ? Jibu hapana na zifuatazo ni sababu kwanini ni Ngumu kuwapata -
1. Demokrasia: Ni mfumo wa kuangalia mawazo ya wengi na kupuuza wachache huu mfumo hautufai Afrika kabisa sababu unatupa viongozi wasiofaa. Pili unapuuza mawazo ya wachache ambayo muda mwingine ni msingi mwisho ni chanzo kikubwa cha migogoro na vita lakini kikubwa zaidi maamuzi mengi sana huwa yanachukua muda mrefu sana sababu inahitajika vikao vingi vya makubaliano. Hivyo AFRIKA INAHITAJI DEMOKSIA INAYOENDANA NA TAMADUNI NA MAZINGIRA YETU.
2. Nguvu ya Mataifa ya nje: Umewahi jiuliza hivi wazungu au mataifa ya nje wanatupenda sana Africa au ni watu wema sana kiasi cha kuacha kusaidia wananchi wao na kutoa misaada na mikopo? La hasha wanafanya hivyo kwa maslahi yao hivyo ni lazima waweke mkono kuhakikisha mtu anapatikina analinda maslahi yao.
3. Ujinga bado mwingi sana: Ujinga ni adui mkubwa sana. Tanzania unaweza fanyika ufisadi mkubwa sana lakini watu wakawa kimya wanaendelea na maisha lakini ukizima data au ukaifungia whatsapp au Twitter basi utawanyima raha sana. Kwa kifupi ni bora uwape uhuru wa kutukanana mitandaoni kuliko maendeleo, sasa watu kama hawa ni ngumu sana kukupa kiongozi bora hasa kwa njia ya demokrasia.
Hivyo tupambane na ujinga.
Je, unadhani kuna siku tutapata watu wazalendo na watakao pigana kwa ajili ya maslahi ya Taifa letu? au tayari tunao tuendelee kuwaamini?
Mwenyezi Mungu atuepushe tusije pata Marais wabovu kama hao wawili.Habari JF,
Ukiaachana na nguvu kubwa inatumika kuonesha umma kwa Hayati Magufuli hakufanya kitu huku vitu vinaonekana na tuhuma nzito ambazo hazina ushahidi bado haiwezi ondoa ukweli kwamba hawa viongozi wawili watabaki kuwa bora kuwahi kutokea nchini mwetu.
Kwa kifupi bado tunawahitaji lakini Je, ni rahisi kuwapata ? Jibu hapana na zifuatazo ni sababu kwanini ni Ngumu kuwapata -
1. Demokrasia: Ni mfumo wa kuangalia mawazo ya wengi na kupuuza wachache huu mfumo hautufai Afrika kabisa sababu unatupa viongozi wasiofaa. Pili unapuuza mawazo ya wachache ambayo muda mwingine ni msingi mwisho ni chanzo kikubwa cha migogoro na vita lakini kikubwa zaidi maamuzi mengi sana huwa yanachukua muda mrefu sana sababu inahitajika vikao vingi vya makubaliano. Hivyo AFRIKA INAHITAJI DEMOKSIA INAYOENDANA NA TAMADUNI NA MAZINGIRA YETU.
2. Nguvu ya Mataifa ya nje: Umewahi jiuliza hivi wazungu au mataifa ya nje wanatupenda sana Africa au ni watu wema sana kiasi cha kuacha kusaidia wananchi wao na kutoa misaada na mikopo? La hasha wanafanya hivyo kwa maslahi yao hivyo ni lazima waweke mkono kuhakikisha mtu anapatikina analinda maslahi yao.
3. Ujinga bado mwingi sana: Ujinga ni adui mkubwa sana. Tanzania unaweza fanyika ufisadi mkubwa sana lakini watu wakawa kimya wanaendelea na maisha lakini ukizima data au ukaifungia whatsapp au Twitter basi utawanyima raha sana. Kwa kifupi ni bora uwape uhuru wa kutukanana mitandaoni kuliko maendeleo, sasa watu kama hawa ni ngumu sana kukupa kiongozi bora hasa kwa njia ya demokrasia.
Hivyo tupambane na ujinga.
Je, unadhani kuna siku tutapata watu wazalendo na watakao pigana kwa ajili ya maslahi ya Taifa letu? au tayari tunao tuendelee kuwaamini?