Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Ili akamilishe list ya Marais Wakatoliki.Naomba na Mkapa umuweke kwenye list yako.
Mnamanisha wavaa bakozi kwenye uongozi ni F plus?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili akamilishe list ya Marais Wakatoliki.Naomba na Mkapa umuweke kwenye list yako.
Magufuli naye alikuwa kiongozi? Usichanganye magarasha ya ajabu na baba wa Taifa letu ambaye yuko ktk mchakato wa kutangazwa mtakatifu. Hivi unapataje ujasiri wa kumlinganisha Nyerere na kitu cha ajabu? Huna akili kiasi hicho. Nyerere angekuwa km Magufuli hii nchi leo ingekuwa ktk vipandee vipande, yule hakustahili kuwa kiongozi mkuu wa nchi, alikuwa kaburu km makaburu wa Afrika Kusini tofauti ni rangi. We kweli mwendawazimu unamlingalingashaje mtu aliyeshindwa kuongoza nchi miaka mitano na baba wa Taifa aliyeongoza nchi miaka 24 kwa mafanikio makubwa sana. Nani anamfahamu Magu zaidi ya Rwanda, Uganda na pengine Kenya. Nyerere anajulikana dunia nzima.Habari JF,
Ukiaachana na nguvu kubwa inatumika kuonesha umma kwa Hayati Magufuli hakufanya kitu huku vitu vinaonekana na tuhuma nzito ambazo hazina ushahidi bado haiwezi ondoa ukweli kwamba hawa viongozi wawili watabaki kuwa bora kuwahi kutokea nchini mwetu.
Kwa kifupi bado tunawahitaji lakini Je, ni rahisi kuwapata ? Jibu hapana na zifuatazo ni sababu kwanini ni Ngumu kuwapata -
1. Demokrasia: Ni mfumo wa kuangalia mawazo ya wengi na kupuuza wachache huu mfumo hautufai Afrika kabisa sababu unatupa viongozi wasiofaa. Pili unapuuza mawazo ya wachache ambayo muda mwingine ni msingi mwisho ni chanzo kikubwa cha migogoro na vita lakini kikubwa zaidi maamuzi mengi sana huwa yanachukua muda mrefu sana sababu inahitajika vikao vingi vya makubaliano. Hivyo AFRIKA INAHITAJI DEMOKSIA INAYOENDANA NA TAMADUNI NA MAZINGIRA YETU.
2. Nguvu ya Mataifa ya nje: Umewahi jiuliza hivi wazungu au mataifa ya nje wanatupenda sana Africa au ni watu wema sana kiasi cha kuacha kusaidia wananchi wao na kutoa misaada na mikopo? La hasha wanafanya hivyo kwa maslahi yao hivyo ni lazima waweke mkono kuhakikisha mtu anapatikina analinda maslahi yao.
3. Ujinga bado mwingi sana: Ujinga ni adui mkubwa sana. Tanzania unaweza fanyika ufisadi mkubwa sana lakini watu wakawa kimya wanaendelea na maisha lakini ukizima data au ukaifungia whatsapp au Twitter basi utawanyima raha sana. Kwa kifupi ni bora uwape uhuru wa kutukanana mitandaoni kuliko maendeleo, sasa watu kama hawa ni ngumu sana kukupa kiongozi bora hasa kwa njia ya demokrasia.
Hivyo tupambane na ujinga.
Je, unadhani kuna siku tutapata watu wazalendo na watakao pigana kwa ajili ya maslahi ya Taifa letu? au tayari tunao tuendelee kuwaamini?
we ulikuwa umezimia kwanza wakati yote hayo yanafanyika? We ni poyoyo flani uko nyumbu hunaga unachoelewa.Nani alitekwa na kutumbukizwa kwenye viroba na alitekwa na nani na kwanini alitekwa? Tunaomba maelezo yenye ushahidi sio porojo na propaganda
Wengi sana, Ben Saanane, Mawazo, Azory Gwanda, Alimkosakosa Tundu Lissu, list inaendelea.Magufuli alimuua nani naomba ushahidi pasipo unafiki na mihemko
Kwamba tulikuwa hatuoni wale watu wanaotekwa na maiti kuwekwa kwenye viroba ama? Ushahidi utauonea wapi, wakati wanaopaswa kuwpewa ushahidi ni hao hao waliotumika kuumiza watu?Hizi ni propaganda zisizo na ushahidi
Unauliza au unapigia jibu mstari?Magufuli alimuua nani naomba ushahidi pasipo unafiki na mihemko
HakikaUMEANDIKA KITU KIKUBWA AKILI NDOGO NA WALAMBA ASALI HAWAWEZI KUKUELEWA
Nakupongeza wewe na kuona kuwa una mawazo mazuri, Nyerere na Magufuli ni Marais Bora kuwahi kutokea nchi hii.Habari JF,
Ukiaachana na nguvu kubwa inatumika kuonesha umma kwa Hayati Magufuli hakufanya kitu huku vitu vinaonekana na tuhuma nzito ambazo hazina ushahidi bado haiwezi ondoa ukweli kwamba hawa viongozi wawili watabaki kuwa bora kuwahi kutokea nchini mwetu.
Kwa kifupi bado tunawahitaji lakini Je, ni rahisi kuwapata ? Jibu hapana na zifuatazo ni sababu kwanini ni Ngumu kuwapata -
1. Demokrasia: Ni mfumo wa kuangalia mawazo ya wengi na kupuuza wachache huu mfumo hautufai Afrika kabisa sababu unatupa viongozi wasiofaa. Pili unapuuza mawazo ya wachache ambayo muda mwingine ni msingi mwisho ni chanzo kikubwa cha migogoro na vita lakini kikubwa zaidi maamuzi mengi sana huwa yanachukua muda mrefu sana sababu inahitajika vikao vingi vya makubaliano. Hivyo AFRIKA INAHITAJI DEMOKSIA INAYOENDANA NA TAMADUNI NA MAZINGIRA YETU.
2. Nguvu ya Mataifa ya nje: Umewahi jiuliza hivi wazungu au mataifa ya nje wanatupenda sana Africa au ni watu wema sana kiasi cha kuacha kusaidia wananchi wao na kutoa misaada na mikopo? La hasha wanafanya hivyo kwa maslahi yao hivyo ni lazima waweke mkono kuhakikisha mtu anapatikina analinda maslahi yao.
3. Ujinga bado mwingi sana: Ujinga ni adui mkubwa sana. Tanzania unaweza fanyika ufisadi mkubwa sana lakini watu wakawa kimya wanaendelea na maisha lakini ukizima data au ukaifungia whatsapp au Twitter basi utawanyima raha sana. Kwa kifupi ni bora uwape uhuru wa kutukanana mitandaoni kuliko maendeleo, sasa watu kama hawa ni ngumu sana kukupa kiongozi bora hasa kwa njia ya demokrasia.
Hivyo tupambane na ujinga.
Je, unadhani kuna siku tutapata watu wazalendo na watakao pigana kwa ajili ya maslahi ya Taifa letu? au tayari tunao tuendelee kuwaamini?
Ndio mtaje aliuawa na MagufuliUnauliza au unapigia jibu mstari?
Ndio tupe ushahidi una uhakika gani Magufuli anahusika na vifo vya hawa watuWengi sana, Ben Saanane, Mawazo, Azory Gwanda, Alimkosakosa Tundu Lissu, list inaendelea.
Ukifuatilia kazi aliyofanya JKN Tanganyika yote mpaka Africa, cjajua kwann anaunganishwa na JPM! Je JPM amefanya ukomboz au mamb yanayoshahiana na ya Mwalimu? Ni vzr legacy ya JKN ibaki yeye kama yeye na JPM awekwe yeye kama yeye. NB; JKN was Godzilla, that's King Kong in Tanzania and Africa!!Habari JF,
Ukiaachana na nguvu kubwa inatumika kuonesha umma kwa Hayati Magufuli hakufanya kitu huku vitu vinaonekana na tuhuma nzito ambazo hazina ushahidi bado haiwezi ondoa ukweli kwamba hawa viongozi wawili watabaki kuwa bora kuwahi kutokea nchini mwetu.
Kwa kifupi bado tunawahitaji lakini Je, ni rahisi kuwapata ? Jibu hapana na zifuatazo ni sababu kwanini ni Ngumu kuwapata -
1. Demokrasia: Ni mfumo wa kuangalia mawazo ya wengi na kupuuza wachache huu mfumo hautufai Afrika kabisa sababu unatupa viongozi wasiofaa. Pili unapuuza mawazo ya wachache ambayo muda mwingine ni msingi mwisho ni chanzo kikubwa cha migogoro na vita lakini kikubwa zaidi maamuzi mengi sana huwa yanachukua muda mrefu sana sababu inahitajika vikao vingi vya makubaliano. Hivyo AFRIKA INAHITAJI DEMOKSIA INAYOENDANA NA TAMADUNI NA MAZINGIRA YETU.
2. Nguvu ya Mataifa ya nje: Umewahi jiuliza hivi wazungu au mataifa ya nje wanatupenda sana Africa au ni watu wema sana kiasi cha kuacha kusaidia wananchi wao na kutoa misaada na mikopo? La hasha wanafanya hivyo kwa maslahi yao hivyo ni lazima waweke mkono kuhakikisha mtu anapatikina analinda maslahi yao.
3. Ujinga bado mwingi sana: Ujinga ni adui mkubwa sana. Tanzania unaweza fanyika ufisadi mkubwa sana lakini watu wakawa kimya wanaendelea na maisha lakini ukizima data au ukaifungia whatsapp au Twitter basi utawanyima raha sana. Kwa kifupi ni bora uwape uhuru wa kutukanana mitandaoni kuliko maendeleo, sasa watu kama hawa ni ngumu sana kukupa kiongozi bora hasa kwa njia ya demokrasia.
Hivyo tupambane na ujinga.
Je, unadhani kuna siku tutapata watu wazalendo na watakao pigana kwa ajili ya maslahi ya Taifa letu? au tayari tunao tuendelee kuwaamini?
Ndio mbona juzi tu watu wameuawa mbona hamlalamiki serikali watu kuuawa ila kipindi cha Magufuli mtu akiokotwa kafa lawama zinaenda kwa Magufuli hamuoni mnaeneza propaganda kwa vile mnachuki nae, visasi nae alivyowatumbua vyeti feki, walamba asali, majizi wengine timu nyumbu mlivyoshindwa uchaguzi mlitokea kumchukia sanaKwamba tulikuwa hatuoni wale watu wanaotekwa na maiti kuwekwa kwenye viroba ama? Ushahidi utauonea wapi, wakati wanaopaswa kuwpewa ushahidi ni hao hao waliotumika kuumiza watu?
Kwanza hamna ushahidi wa Magufuli anahusika na vifo vya hawa watu halafu mbona sioni malalamiko ya mauaji ya dokta Mvungi, David Mwangosi, amran kombe, chacha wangwe kuuawa kwa wazee na police kibiti kwa viongozi wengine ila kwa hawa mmeshika sana bango ndio watanzania pekee au kwa vile mnachuki na maslahi binafsi na Magufuli alivyogusa maslahi yenu binafsi ya kuwatumbua ndio mmepata kichaka cha kumchafua kama kina azori Agwanda, Ben sananeWengi sana, Ben Saanane, Mawazo, Azory Gwanda, Alimkosakosa Tundu Lissu, list inaendelea.
Ujinga mtupuHabari JF,
Ukiaachana na nguvu kubwa inatumika kuonesha umma kwa Hayati Magufuli hakufanya kitu huku vitu vinaonekana na tuhuma nzito ambazo hazina ushahidi bado haiwezi ondoa ukweli kwamba hawa viongozi wawili watabaki kuwa bora kuwahi kutokea nchini mwetu.
Kwa kifupi bado tunawahitaji lakini Je, ni rahisi kuwapata ? Jibu hapana na zifuatazo ni sababu kwanini ni Ngumu kuwapata -
1. Demokrasia: Ni mfumo wa kuangalia mawazo ya wengi na kupuuza wachache huu mfumo hautufai Afrika kabisa sababu unatupa viongozi wasiofaa. Pili unapuuza mawazo ya wachache ambayo muda mwingine ni msingi mwisho ni chanzo kikubwa cha migogoro na vita lakini kikubwa zaidi maamuzi mengi sana huwa yanachukua muda mrefu sana sababu inahitajika vikao vingi vya makubaliano. Hivyo AFRIKA INAHITAJI DEMOKSIA INAYOENDANA NA TAMADUNI NA MAZINGIRA YETU.
2. Nguvu ya Mataifa ya nje: Umewahi jiuliza hivi wazungu au mataifa ya nje wanatupenda sana Africa au ni watu wema sana kiasi cha kuacha kusaidia wananchi wao na kutoa misaada na mikopo? La hasha wanafanya hivyo kwa maslahi yao hivyo ni lazima waweke mkono kuhakikisha mtu anapatikina analinda maslahi yao.
3. Ujinga bado mwingi sana: Ujinga ni adui mkubwa sana. Tanzania unaweza fanyika ufisadi mkubwa sana lakini watu wakawa kimya wanaendelea na maisha lakini ukizima data au ukaifungia whatsapp au Twitter basi utawanyima raha sana. Kwa kifupi ni bora uwape uhuru wa kutukanana mitandaoni kuliko maendeleo, sasa watu kama hawa ni ngumu sana kukupa kiongozi bora hasa kwa njia ya demokrasia.
Hivyo tupambane na ujinga.
Je, unadhani kuna siku tutapata watu wazalendo na watakao pigana kwa ajili ya maslahi ya Taifa letu? au tayari tunao tuendelee kuwaamini?
Bado hawaaminiVipi marehemu amekutokea toka kuzimu unaweweseka SAA hizi?
Magufuli is dead and buried.
Ndo legacy alowaachiaKama demokrasia inayoendana na tamaduni za kiafrika ndio ile ya michezo ya kutekana na kutumbukizana kwenye viroba basi haifai
Na siku mkiwaita watu mafisadi muandae na ushahidi piaMagufuli alimuua nani naomba ushahidi pasipo unafiki na mihemko
Bora tunaoamini vitu kuliko mnao mwabudia Marehemu wa ChatoHuu ndio ujinga tunaosema upingwe .Mnaamini vitu bila hata kufikiri na bila ushahidi .
Alitaka kumuua Lisu mchana kweupeUna ushahidi uupeleke mahakamani ?
Alitaka kumuua akafa yeyeUshahidi Magufuli anahusika tuweke