Sababu hizi zitatufanya ichukue muda sana kupata viongozi kama Hayati Magufuli na Mwalimu Nyerere

Sababu hizi zitatufanya ichukue muda sana kupata viongozi kama Hayati Magufuli na Mwalimu Nyerere

Ndio mbona juzi tu watu wameuawa mbona hamlalamiki serikali watu kuuawa ila kipindi cha Magufuli mtu akiokotwa kafa lawama zinaenda kwa Magufuli hamuoni mnaeneza propaganda kwa vile mnachuki nae, visasi nae alivyowatumbua vyeti feki, walamba asali, majizi wengine timu nyumbu mlivyoshindwa uchaguzi mlitokea kumchukia sana
Ndo mana lilikufa kifo kibaya.
Sasa hv mmebaki misukule yake humu mnatusumbua kwa kukosa wa kuwalisha
 
Utekaji
Mauaji,
Kukosekana uhuru wa mawazo mbadala vilinifanya nione Magufuli alikuwa sio mwenye moyo wa kitanzania kabisa.....!!
 
Kwanza hamna ushahidi wa Magufuli anahusika na vifo vya hawa watu halafu mbona sioni malalamiko ya mauaji ya dokta Mvungi, David Mwangosi, amran kombe, chacha wangwe kuuawa kwa wazee na police kibiti kwa viongozi wengine ila kwa hawa mmeshika sana bango ndio watanzania pekee au kwa vile mnachuki na maslahi binafsi na Magufuli alivyogusa maslahi yenu binafsi ya kuwatumbua ndio mmepata kichaka cha kumchafua kama kina azori Agwanda, Ben sanane
Dhulma aliyotufanya ndo inayotufanya tulichukie sana jitu lile.
 
Ndio mbona juzi tu watu wameuawa mbona hamlalamiki serikali watu kuuawa ila kipindi cha Magufuli mtu akiokotwa kafa lawama zinaenda kwa Magufuli hamuoni mnaeneza propaganda kwa vile mnachuki nae, visasi nae alivyowatumbua vyeti feki, walamba asali, majizi wengine timu nyumbu mlivyoshindwa uchaguzi mlitokea kumchukia sana
Ni hivi, dhalimu ndio alikuwa anaagiza uhayawani ule, hutaki jinyonge.
 
Wewe unajijua utakufaje? Au wewe unajiona mwema sana huna dhambi
Dhambi zangu haziwezi kufikia za shetani lile.
Yule alikuwa ni kiumbe wa hovyo kabisa kuwahi kutokea Tz. Na hapana shaka yule hakuwa Mtz. Sisi hatuna roho mbaya namna ile
 
Dhambi zangu haziwezi kufikia za shetani lile.
Yule alikuwa ni kiumbe wa hovyo kabisa kuwahi kutokea Tz. Na hapana shaka yule hakuwa Mtz. Sisi hatuna roho mbaya namna ile
Embu niambie dhambi kubwa alizotenda mpaka umwite Shetani na kipimo kipi cha dhambi ulivyotumia kupima wingi wa dhambi zake
 
Habari JF,

Ukiaachana na nguvu kubwa inatumika kuonesha umma kwa Hayati Magufuli hakufanya kitu huku vitu vinaonekana na tuhuma nzito ambazo hazina ushahidi bado haiwezi ondoa ukweli kwamba hawa viongozi wawili watabaki kuwa bora kuwahi kutokea nchini mwetu.

Kwa kifupi bado tunawahitaji lakini Je, ni rahisi kuwapata ? Jibu hapana na zifuatazo ni sababu kwanini ni Ngumu kuwapata -

1. Demokrasia: Ni mfumo wa kuangalia mawazo ya wengi na kupuuza wachache huu mfumo hautufai Afrika kabisa sababu unatupa viongozi wasiofaa. Pili unapuuza mawazo ya wachache ambayo muda mwingine ni msingi mwisho ni chanzo kikubwa cha migogoro na vita lakini kikubwa zaidi maamuzi mengi sana huwa yanachukua muda mrefu sana sababu inahitajika vikao vingi vya makubaliano. Hivyo AFRIKA INAHITAJI DEMOKSIA INAYOENDANA NA TAMADUNI NA MAZINGIRA YETU.

2. Nguvu ya Mataifa ya nje: Umewahi jiuliza hivi wazungu au mataifa ya nje wanatupenda sana Africa au ni watu wema sana kiasi cha kuacha kusaidia wananchi wao na kutoa misaada na mikopo? La hasha wanafanya hivyo kwa maslahi yao hivyo ni lazima waweke mkono kuhakikisha mtu anapatikina analinda maslahi yao.

3. Ujinga bado mwingi sana: Ujinga ni adui mkubwa sana. Tanzania unaweza fanyika ufisadi mkubwa sana lakini watu wakawa kimya wanaendelea na maisha lakini ukizima data au ukaifungia whatsapp au Twitter basi utawanyima raha sana. Kwa kifupi ni bora uwape uhuru wa kutukanana mitandaoni kuliko maendeleo, sasa watu kama hawa ni ngumu sana kukupa kiongozi bora hasa kwa njia ya demokrasia.

Hivyo tupambane na ujinga.

Je, unadhani kuna siku tutapata watu wazalendo na watakao pigana kwa ajili ya maslahi ya Taifa letu? au tayari tunao tuendelee kuwaamini?
Kama humjui Julius Kambarage Nyerere kaa kimya usijidhalilishe. Kamwe Julius Nyerere Baba wa Taifa asilinganishwe na vitu vya hovyo hovyo.

Miaka 5 ya Magufuli amejenga runway ya ndege za kimataifa kijijini kwake Chato, amehamisha wanyama toka Serengeti kupeleka kwenye pori la akiba lililopo karibu na Chato. Akjenga hospitali ya Rufaa na Mahakama yenye hadhi ya kimkoa kijijini kwake. Nyerere miaka 25 aliiangalia Tanzania kama nchi nzima na hakuwa na upendeleo na kwao na ndiyo maana hadi anakufa Butiama ilikuwa haina hata babara ya lami inayoiunganisha na Musoma. Kumfananisha huyu fisadi wa Tsh 2.4 Trillion kwa miaka 5 na Nyerere ni kumtukana Baba wa Taifa
 
Magufuli alimuua nani naomba ushahidi pasipo unafiki na mihemko
Aliua watu zaidi ya 300 huko MKIRU, kuna wale wa kwenye viroba waliokuwa wakitupwa baharini. Aliua Ben Saanane, Azory Gwanda, Kanguye na alimshambulia kwa risasi Lissu kupitia kundi la wasiojulikana.

Aliwateka akina Mohamed Dewji, Roma Mkatoliki na Zakaria Trans. Ila Zakaria akakiwasha akawajeruhi watu wasiojulikana
 
Kama humjui Julius Kambarage Nyerere kaa kimya usijidhalilishe. Kamwe Julius Nyerere Baba wa Taifa asilinganishwe na vitu vya hovyo hovyo.

Miaka 5 ya Magufuli amejenga runway ya ndege za kimataifa kijijini kwake Chato, amehamisha wanyama toka Serengeti kupeleka kwenye pori la akiba lililopo karibu na Chato. Akjenga hospitali ya Rufaa na Mahakama yenye hadhi ya kimkoa kijijini kwake. Nyerere miaka 25 aliiangalia Tanzania kama nchi nzima na hakuwa na upendeleo na kwao na ndiyo maana hadi anakufa Butiama ilikuwa haina hata babara ya lami inayoiunganisha na Musoma. Kumfananisha huyu fisadi wa Tsh 2.4 Trillion kwa miaka 5 na Nyerere ni kumtukana Baba wa Taifa
Ujinga ni mzigo ,kwa hiyo ulivyoona ni vya Chato tu ?
 
Back
Top Bottom