Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaWatu wanaachana lkn namba hawafuti. Unajua ni kwann?
Kwasabb ni suala la muda tu ipo siku watatafutana.
Nami nakushauri kamwe usifute namba ya ex wako. Ipo siku atakufaa kwa matumizi ya dharura .
Hayo mengine yapiHivi haiwezekani kushirikiana na x ktk mambo mwengine tofauti na kwenda naye faragha?
Nami nakushauri kamwe usifute namba ya ex wako. Ipo siku atakufaa kwa matumizi ya dharura .
Word...Kuachana siyo uadui, na hata ukifuta namba haimaanishi umefuta kumbukumbu ya sehemu ya maisha yako kuwa uliwahi kuwa nae. Atakufaa mbeleni kwa namna moja ama nyingine. Hakuna uadui wa kudumu. Sisi ni pipo tutakutana.
Iko namna 🤣Nakazia
Kama X wako ni fundi ujenzi inawezekana 🤣! Ila kama ni fundi wa kuzagamua ni ngumu 😀Hivi haiwezekani kushirikiana na x ktk mambo mwengine tofauti na kwenda naye faragha?
Yote isipokuwa kwenda faraghaHayo mengine yapi
Hawawezi kukuelewa we mzeeYaani umeachana na mpenzi wako miezi 12, miaka 2 au 5 then ukikutana naye unataka muendelee mlipoishia serious?
Kwa Dunia hii yenye watu wanakula samaki kwa geuza?
Labda kama mna hamu ya kuingizwa kwenye grid ya Taifa.
Kama ulisha move-on kwanini usitulie na huyo uliyenaye?