Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
inakuwaje mnaachana ujue siwaelewi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kwenye makasino, maclub, makanisa na mabaa yote hapa nchini, ulizia ex utaoneshwa na utachaguaKwanza Tupate matangazo kutoka kwa wadhamin 😀
Hiv nyie wenye mko na maex mnawapataje au mnawatengeneza mbona me sina au niko dunia tofauti na yakwenu
🤣 🤣 🤣 Kadha wa kadha. We una wangapi huko masijala🤣🤣
Una namba za maex wako wangapi?
Hawajui maisha yalivyobadirika, enzi zetu tunaenda vitani Uganda mwaka 1978 unarudi Vitani baada ya miaka 2 unamkuta mkeo yupo kama ulivyomuacha.Hawawezi kukuelewa we mzee
Ninazo kama 5 tu, hata sio nyingi kiviiile😅🤣 🤣 🤣 Kadha wa kadha. We una wangapi huko masijala
Kuna ukweli hapa . 🥴Watu wanaachana lkn namba hawafuti. Unajua ni kwann?
Kwasabb ni suala la muda tu ipo siku watatafutana.
Nami nakushauri kamwe usifute namba ya ex wako. Ipo siku atakufaa kwa matumizi ya dharura .
Tuendelee kunawa mikono na kuvaa barakoa 🤣 Corona bado ipoNinazo kama 5 tu, hata sio nyingi kiviiile😅
Kwan wewe wakwako uliwachaguaNenda kwenye makasino, maclub, makanisa na mabaa yote hapa nchini, ulizia ex utaoneshwa na utachagua
Ipo na inaua kwa kasi sanaaaaTuendelee kunawa mikono na kuvaa barakoa 🤣 Corona bado ipo
Ndiyo. MaEx wangu niliwachagua kanisani wakati ule wa upepo wa kisulisuli wa yule mamaKwan wewe wakwako uliwachagua
Ongera yako mkuu sema bas tu me sitak niwe naoNdiyo. MaEx wangu niliwachagua kanisani wakati ule wa upepo wa kisulisuli wa yule mama
Uadui unakuwepo lkn ni wa muda tu, hasa pale Mashetani yanakuwa yamepanda lkn mashetani yakishuka mnaanza kuonana kama wachumbaMkiachana mnakuwa maadui ?!!!
Point yangu ndio hio kwanini ufute namba ya mtu ambae sio adui yako?Uadui unakuwepo lkn ni wa muda tu, hasa pale Mashetani yanakuwa yamepanda lkn mashetani yakishuka mnaanza kuonana kama wachumba
[emoji23][emoji23]Watu hatufuti hadi namba za marehem, sembuse ex[emoji849]
HaiwezekaniHivi haiwezekani kushirikiana na x ktk mambo mwengine tofauti na kwenda naye faragha?
Inwezekana.Haiwezekani