Sababu kubwa kwanini watu wengi hawafuti namba za ma-EX wao

Sababu kubwa kwanini watu wengi hawafuti namba za ma-EX wao

Yaani umeachana na mpenzi wako miezi 12, miaka 2 au 5 then ukikutana naye unataka muendelee mlipoishia serious?

Kwa Dunia hii yenye watu wanakula samaki kwa geuza?

Labda kama mna hamu ya kuingizwa kwenye grid ya Taifa.

Kama ulisha move-on kwanini usitulie na huyo uliyenaye?

Nakazia [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu wanaachana lkn namba hawafuti. Unajua ni kwann?

Kwasabb ni suala la muda tu ipo siku watatafutana.

Nami nakushauri kamwe usifute namba ya ex wako. Ipo siku atakufaa kwa matumizi ya dharura .
Mnaachana kwa hasira mithiri ya Simba na Swala.

Ikishapita siku kadhaa hasira zinaisha unaanza kukumbuka mazuri machache aliyokuwa nayo mwenzako.

Ndio maana tunasema wachumba hawaachani bali wanatengana tu.
 
Hawajui maisha yalivyobadirika, enzi zetu tunaenda vitani Uganda mwaka 1978 unarudi Vitani baada ya miaka 2 unamkuta mkeo yupo kama ulivyomuacha.

Siku hizi unaenda kazini asubuhi kurudi jioni unakuta Vijana wa hovyo wameshapiga chatta.

Ndiyo sembuse mmeachana miaka 3, si utajikuta amekuunga kwenye Grid ya Taifa uanze kumeza dawa [emoji2957]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani babu tatizo inakua nini?
 
Yaani umeachana na mpenzi wako miezi 12, miaka 2 au 5 then ukikutana naye unataka muendelee mlipoishia serious?

Kwa Dunia hii yenye watu wanakula samaki kwa geuza?

Labda kama mna hamu ya kuingizwa kwenye grid ya Taifa.

Kama ulisha move-on kwanini usitulie na huyo uliyenaye?
Hiki ndicho kimesababisha mambukizi ya Ukimwi yasiishe.
 
Hawajui maisha yalivyobadirika, enzi zetu tunaenda vitani Uganda mwaka 1978 unarudi Vitani baada ya miaka 2 unamkuta mkeo yupo kama ulivyomuacha.

Siku hizi unaenda kazini asubuhi kurudi jioni unakuta Vijana wa hovyo wameshapiga chatta.

Ndiyo sembuse mmeachana miaka 3, si utajikuta amekuunga kwenye Grid ya Taifa uanze kumeza dawa 🤪
Hizi mbususu za siku hizi zina nyege sana sijui ni hivi vyakula tunakula
 
Yaani umeachana na mpenzi wako miezi 12, miaka 2 au 5 then ukikutana naye unataka muendelee mlipoishia serious?

Kwa Dunia hii yenye watu wanakula samaki kwa geuza?

Labda kama mna hamu ya kuingizwa kwenye grid ya Taifa.

Kama ulisha move-on kwanini usitulie na huyo uliyenaye?
ni kweli umenena, wanandoa wakiishaachana na kwenda kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na wengine ni nadra sana kuwa salama wote au mmoja anakuwa tayari ana maambukizi ya ukimwi. Kufanya mapenzi na ex aliyeambukizwa ukimwi ni hatari sana. Kama wanataka kukumbushiana minyanduano ni bora wakapima kwanza afya zao. Kukumbushiana kupo sana tu. Mtu hawezi kutoa matumizi ya mtoto halafu asimpitie mama yake hata kama ameolewa na mtu mwingine.
 
ni kweli umenena, wanandoa wakiishaachana na kwenda kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na wengine ni nadra sana kuwa salama wote au mmoja anakuwa tayari ana maambukizi ya ukimwi. Kufanya mapenzi na ex aliyeambukizwa ukimwi ni hatari sana. Kama wanataka kukumbushiana minyanduano ni bora wakapima kwanza afya zao. Kukumbushiana kupo sana tu. Mtu hawezi kutoa matumizi ya mtoto halafu asimpitie mama yake hata kama ameolewa na mtu mwingine.
Ni sahihi Mkuu

Kinachowatafuna ni yale mambo ya kujidai unamuamini

Unakuja kupima unakuta kinga zimeshaanza kushuka
 
Back
Top Bottom