Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kuachana kwa amani huwa inalipa sana
Usifute namba ya ex viporo hupashwa na huwa vitamu sana
Usifute namba ya ex viporo hupashwa na huwa vitamu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu wanaachana wakiwa salama hawana magonjwa ya kuambikizwa, wanaenda kuanzisha mahusiano na wengine wenye tabia tofauti kuhusu mahusiano ya kimapenzi wanaishia kuambukizwa maradhi na wapenzi wao wapya. Unakutana na ex halafu unataka upewe penzi ukidhani mwenzio ni salama tangu muachene kumbe mmoja tayari ana maambukiziNi sahihi Mkuu
Kinachowatafuna ni yale mambo ya kujidai unamuamini
Unakuja kupima unakuta kinga zimeshaanza kushuka
joanah unajifanya mgumu sana😂
kwahiyo hata mkikutana bahati mbaya hakuna cha salamu?Wala sijifanyi mgumu
Ila it is what it is...ex hayupo kwenye maisha yangu
Vijana wa hovyo wako mitamboni🤣Hawajui maisha yalivyobadirika, enzi zetu tunaenda vitani Uganda mwaka 1978 unarudi Vitani baada ya miaka 2 unamkuta mkeo yupo kama ulivyomuacha.
Siku hizi unaenda kazini asubuhi kurudi jioni unakuta Vijana wa hovyo wameshapiga chatta.
Ndiyo sembuse mmeachana miaka 3, si utajikuta amekuunga kwenye Grid ya Taifa uanze kumeza dawa 🤪
Au pengine anakuacha kwasabb umesaliti penzi lkn anakwenda kuanzisha penzi jipya na mtu aliyeachwa baada ya kusaliti penzi.Ikishapita siku kadhaa hasira zinaisha unaanza kukumbuka mazuri machache aliyokuwa nayo mwenzako.
Hoja kuntu sana hiiKukumbushiana kupo sana tu. Mtu hawezi kutoa matumizi ya mtoto halafu asimpitie mama yake hata kama ameolewa na mtu mwingine.
Sijawahi futa namba ya x maana huwa siachani na mtu kwa ubaya
Kuna kesho...shida Ina tabia ya kuturudisha kwa watu tuliokorofishana nao
Ma ex zangu huwa tunawasiliana na kusaidiana kwa nyakati tofauti....japo hakuna mapenzi tena baina yetu
Hiyo ndiyo haitakiwi mjukuu [emoji28]
Mkuu umenichekesha sana🤣🤣🤣🤣Hiyo ni case yenu Vijana
Sisi Wazee tulifaidi wakati wetu bila kutumia mifuko yenu hii, imagine unakutana na kale ka- harufu original ya "Kuku wa Kienyeji"
Nyie mkijaribu dry tu lazima Sindao za UTI, Kaswende zikuhusu kama una bahati, kama huna bahati unaondoka na Umeme mkubwa wa Kidatu 🤪🏃🏃🙏
Ilinitokea mara moja, sikuwahi kufurahi...its never the same wallah. Unakuta wajuba wenye mizizi yao wameshapota, unajiuliza mbona kama nap waya sana🤣Kuachana kwa amani huwa inalipa sana
Usifute namba ya ex viporo hupashwa na huwa vitamu sana
ni wewe unakua unahisi vibaya tu😂 akili inaumbaIlinitokea mara moja, sikuwahi kufurahi...its never the same wallah. Unakuta wajuba wenye mizizi yao wameshapota, unajiuliza mbona kama nap waya sana🤣
Mi mwenyewe Nimecheka sana!Mkuu umenichekesha sana🤣🤣🤣🤣
UshimenWatu hatufuti hadi namba za marehem, sembuse ex🙄
Sio hisia mkuu, hata yeye ukimsoma usoni anauliza the same...eti Eli mbona hivi🤣🤣🤣🤣ni wewe unakua unahisi vibaya tu😂 akili inaumba
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa!!!!Yaani umeachana na mpenzi wako miezi 12, miaka 2 au 5 then ukikutana naye unataka muendelee mlipoishia serious?
Kwa Dunia hii yenye watu wanakula samaki kwa geuza?
Labda kama mna hamu ya kuingizwa kwenye grid ya Taifa.
Kama ulisha move-on kwanini usitulie na huyo uliyenaye?
Wale wa serious sio wengi ni watatu tuuu....achana na hawa wa kimasihara 🤣🤣🤣Bff kwani wako wangapi hao maex shem shem [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣Ilinitokea mara moja, sikuwahi kufurahi...its never the same wallah. Unakuta wajuba wenye mizizi yao wameshapota, unajiuliza mbona kama nap waya sana🤣