Sababu kubwa kwanini watu wengi hawafuti namba za ma-EX wao

Sababu kubwa kwanini watu wengi hawafuti namba za ma-EX wao

Ni sahihi Mkuu

Kinachowatafuna ni yale mambo ya kujidai unamuamini

Unakuja kupima unakuta kinga zimeshaanza kushuka
watu wanaachana wakiwa salama hawana magonjwa ya kuambikizwa, wanaenda kuanzisha mahusiano na wengine wenye tabia tofauti kuhusu mahusiano ya kimapenzi wanaishia kuambukizwa maradhi na wapenzi wao wapya. Unakutana na ex halafu unataka upewe penzi ukidhani mwenzio ni salama tangu muachene kumbe mmoja tayari ana maambukizi
 
Hawajui maisha yalivyobadirika, enzi zetu tunaenda vitani Uganda mwaka 1978 unarudi Vitani baada ya miaka 2 unamkuta mkeo yupo kama ulivyomuacha.

Siku hizi unaenda kazini asubuhi kurudi jioni unakuta Vijana wa hovyo wameshapiga chatta.

Ndiyo sembuse mmeachana miaka 3, si utajikuta amekuunga kwenye Grid ya Taifa uanze kumeza dawa 🤪
Vijana wa hovyo wako mitamboni🤣
 
Sijawahi futa namba ya x maana huwa siachani na mtu kwa ubaya
Kuna kesho...shida Ina tabia ya kuturudisha kwa watu tuliokorofishana nao

Ma ex zangu huwa tunawasiliana na kusaidiana kwa nyakati tofauti....japo hakuna mapenzi tena baina yetu

Bff kwani wako wangapi hao maex shem shem [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hiyo ni case yenu Vijana

Sisi Wazee tulifaidi wakati wetu bila kutumia mifuko yenu hii, imagine unakutana na kale ka- harufu original ya "Kuku wa Kienyeji"

Nyie mkijaribu dry tu lazima Sindao za UTI, Kaswende zikuhusu kama una bahati, kama huna bahati unaondoka na Umeme mkubwa wa Kidatu 🤪🏃🏃🙏
Mkuu umenichekesha sana🤣🤣🤣🤣
 
Yaani umeachana na mpenzi wako miezi 12, miaka 2 au 5 then ukikutana naye unataka muendelee mlipoishia serious?

Kwa Dunia hii yenye watu wanakula samaki kwa geuza?

Labda kama mna hamu ya kuingizwa kwenye grid ya Taifa.

Kama ulisha move-on kwanini usitulie na huyo uliyenaye?
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa!!!!

Umeongea kwa uchungu sana babu!
 
Back
Top Bottom