Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Mmh huo uchawi sasa, mchawi haifai hata kumuweka karibuUbaya mwingine ni wa heri chief ivi mfano umewekewa vitu ktk chakula umekula Vika kudhuru umetibiwa umepona we unaweza kuendelea ma huyo mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh huo uchawi sasa, mchawi haifai hata kumuweka karibuUbaya mwingine ni wa heri chief ivi mfano umewekewa vitu ktk chakula umekula Vika kudhuru umetibiwa umepona we unaweza kuendelea ma huyo mtu
Lini nilikwambia me Msukuma?? 🤣🤣🤣K
Kwanini Kati wasukuma ndio zenu milender
Imepita hyo.
Ila itabidi unitumie muamala ndio nione uko serious na mimi[emoji847]
You're rightMa ex ndio wanaongoza kuvunja ndoa za ma ex wao.
Kwanini umezifuta leoNimemaliza kufuta namba za ex sitaki ujingaaa
Ni sahihi usemecho Mkuu, ndiyo maana inakuwa vigumu wakati fulani kumtuliza Mwanamke.Kuchepuka ni siri ya mtu.Wewe ambaye uko nae kwenye mahusiano,maranyingi hamuwi watu wa kwanza kujua kua mtu wako anachepuka.
Nikukumbushe kitu,hakuna mwanaume ambaye ni full package,yaani ana kila kitu anachohitaji mwanamke.Sasa mwanamke hujikuta anahitaji kila kitu,ila hivyo anavyohitaji,yeye kadri anavyozidi kukua,huanza kuvipunguzapunguza,na mwishowe kutulia,kutokana na umri.
Sasa Shem ningejuaje kama hukuniambia na mchunga mnapenda🤣🤣🤣Lini nilikwambia me Msukuma?? 🤣🤣🤣
Sio kweli, itakuwa zilikuwa hadithi za kutunga tu kama zilivyo za Shigongo.Ndiwooooo!! Tena ukamtoa matenga etiii!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Babu we kiboko!!![emoji119][emoji119][emoji119]
Nasikia ulimuahidi ungempa pesa ndefu, afu pah!! Kakutana na kitu kizito [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Hiii sasa balaaa umpati kabisaaa kwenye kulima🥱Sio kweli, itakuwa zilikuwa hadithi za kutunga tu kama zilivyo za Shigongo.
Umri huu siwezi kufanya hayo Mjukuu.
Njoo tulime kunisaidia Babu yako 🤗
Alisema anajua kulima eti 🤪Hiii sasa balaaa umpati kabisaaa kwenye kulima🥱
Ndio kulima mnalima nyie mmesahau vibomu ambavyo mnatupiga navyo na tukija mnatubless mazao🤣🤣Alisema anajua kulima eti 🤪
Ila hii sio fair, yaani Kulima tulime Wazee tu nyie Vijana hamtaki kulima kabisa 🙌
Hahaha...............sisi hatuna njaa Mkuu, karibuni tulime 😅Ndio kulima mnalima nyie mmesahau vibomu ambavyo mnatupiga navyo na tukija mnatubless mazao🤣🤣
Ni kwer njaa bush hakunaga tunakujaHahaha...............sisi hatuna njaa Mkuu, karibuni tulime 😅
Karibuni sana 🤗Ni kwer njaa bush hakunaga tunakuja
🤣🤣Watu hatufuti hadi namba za marehem, sembuse ex🙄
Sawa.Kuachana siyo uadui, na hata ukifuta namba haimaanishi umefuta kumbukumbu ya sehemu ya maisha yako kuwa uliwahi kuwa nae. Atakufaa mbeleni kwa namna moja ama nyingine. Hakuna uadui wa kudumu. Sisi ni pipo tutakutana.
Sawasawa..Yaani umeachana na mpenzi wako miezi 12, miaka 2 au 5 then ukikutana naye unataka muendelee mlipoishia serious?
Kwa Dunia hii yenye watu wanakula samaki kwa geuza?
Labda kama mna hamu ya kuingizwa kwenye grid ya Taifa.
Kama ulisha move-on kwanini usitulie na huyo uliyenaye?