myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
🤣🤣Nakazia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Nakazia
🤣🤣Ninazo kama 5 tu, hata sio nyingi kiviiile😅
Hatariii..Ni sahihi Mkuu
Kinachowatafuna ni yale mambo ya kujidai unamuamini
Unakuja kupima unakuta kinga zimeshaanza kushuka
SawasawaUlimwacha mpenzi wako eti sio mzuri kumbe ulikuwa humuhudumii.
Baada ya miaka 3 unamkuta kapendeza plus Chura ya kunesa nesa, unamfata kumbe ndiyo anakuunga kwenye umeme Mkubwa 🤪
Tujitahidi kuwa na moyo wa kutorudi nyuma, ndiyo maana Mke wa Ruthu alipogeuka nyuma enzi ya Sodoma na Gomora alibadirika kuwa jiwe la Chumvi.
Home sweet home 🤣Karibuni sana 🤗
Sasa Shem ningejuaje kama hukuniambia na mchunga mnapenda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio sema nini wajitoa ufaham tuMe nilikwambia msukuma?? Dah!! We kiboko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio kweli, itakuwa zilikuwa hadithi za kutunga tu kama zilivyo za Shigongo.
Umri huu siwezi kufanya hayo Mjukuu.
Njoo tulime kunisaidia Babu yako [emoji847]
Ndio sema nini wajitoa ufaham tu
Njoo unipige ww ayo makofi😂Jipigie makofi
Wapenda maokoto hawskaagi mbali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Babu bana mjanja mno wewe!!
Babu me unialike kuja kuhesabu maokoto kipindi cha kuuza, kulima hapana kwa kweli
Njoo unipige ww ayo makofi[emoji23]
Wapenda maokoto hawskaagi mbali
Nakazia apoapo[emoji2222]uhakika
Ntawezana nikijiandaaa🤣Haya Jiandae [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakazia apoapo
Ntawezana nikijiandaaa[emoji1787]
Umesema makofi ya hekalu au kuna kingine🤣Kwani we unawaza nini kiriokou??
Mfumbasi 😂😂😂Mfyuu!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Umesema makofi ya hekalu au kuna kingine[emoji1787]