Kuna maeksi wengine si poa....tushaachana zaid ya mara tatu nikqpiga kimya ila akawa anakaa kama mwaka kabisaa na bdo anarudi naendelea kugonga..ila huu mwaka tulizinguana akaondoka ile nmejaribu kubembeleza akaruri....ila zile swagz alizokujq nazo kuongea na maboya wengine afu dharau kibao....aysee nlimchangamsha na makofi kadhaa...baada ya hapo huwa anaomba tuonane baada ya hapo anaanza niandikia msg kwamba hanipendi....mi nakula buyu tu Wala Sina sijishughulish kujibizana nae
...
...