Sababu kubwa kwanini watu wengi hawafuti namba za ma-EX wao

Sababu kubwa kwanini watu wengi hawafuti namba za ma-EX wao

Ila ndiyo wanakupa chachu ya kuweza kuzidi kuyatafuta hayo maokoto.

Ngoja nimwambia Mjukuu azidi kukuomba hela [emoji28]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani babu nasemwa napenda maokoto lkn cha ajabu hawajawahi kutuma hata kwa kukosea!!!! Emu waambie wajukuu zako wa kiume watume nione km kweli nayapenda hayo wanayoita maokoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani babu nasemwa napenda maokoto lkn cha ajabu hawajawahi kutuma hata kwa kukosea!!!! Emu waambie wajukuu zako wa kiume watume nione km kweli nayapenda hayo wanayoita maokoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weka namba ya wakala aliyekaribu na wewe, tumalize hili jambo
 
Ujinga mtupu kuwa na namba yake. Ushirikiano wa mambo mengine yapi kama mlishindwana kwenye mahusiano mtawezana kwenye mambo mengine?
 
Weka namba ya wakala aliyekaribu na wewe, tumalize hili jambo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Emu acha basi utani tuwe serious, akili ishavurugika hapa!! Haya njoo piem nikutumie nisije kupishana na gari la mshahara bure
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani babu nasemwa napenda maokoto lkn cha ajabu hawajawahi kutuma hata kwa kukosea!!!! Emu waambie wajukuu zako wa kiume watume nione km kweli nayapenda hayo wanayoita maokoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mmoja amejitolea kukutumia maokoto.

Hapo ni juu yako kuweza kum-convince tu 🤗
 
Kuna mmoja amejitolea kukutumia maokoto.

Hapo ni juu yako kuweza kum-convince tu [emoji847]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tayari kashatuma babu, hapa nimeagiza na savannah ya baridi
 
Back
Top Bottom