Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Babu gani kuozesha nje nje😂😂Kuna mmoja amejitolea kukutumia maokoto.
Hapo ni juu yako kuweza kum-convince tu 🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu gani kuozesha nje nje😂😂Kuna mmoja amejitolea kukutumia maokoto.
Hapo ni juu yako kuweza kum-convince tu 🤗
Niliwahi kutunza namba zaidi ya miaka 25,Watu wanaachana lakini namba hawafuti. Unajua ni kwanini?
Kwasababu ni suala la muda tu ipo siku watatafutana.
Nami nakushauri kamwe usifute namba ya ex wako. Ipo siku atakufaa kwa matumizi ya dharura.
Hajui umuhimu wake huyo 😀Kwanini umezifuta leo
Siku atazikumbuka akose pa kuzipata, shauri yakeHajui umuhimu wake huyo 😀
Muda wote huo kuna kitu ulikuwa unafaidi?Niliwahi kutunza namba zaidi ya miaka 25,
Grid ya Taifa upate umeme wa REA au kawaida[emoji16][emoji16]Hawajui maisha yalivyobadirika, enzi zetu tunaenda vitani Uganda mwaka 1978 unarudi Vitani baada ya miaka 2 unamkuta mkeo yupo kama ulivyomuacha.
Siku hizi unaenda kazini asubuhi kurudi jioni unakuta Vijana wa hovyo wameshapiga chatta.
Ndiyo sembuse mmeachana miaka 3, si utajikuta amekuunga kwenye Grid ya Taifa uanze kumeza dawa [emoji2957]
Daah yan hapo ulipoongea hivyo nywele zimenisisimka baada ya kukutana na X Y Z wangu na kupiga show moja matata sana QumamaaaaaaaakeKuna ukweli hapa . [emoji3061]
siku izi watu walioachana wakikutana wanakua kama hawajawah kuachana ,
"Naamini : Kila mtu ana yule ex ambae akikutana nae inakua kama amekutana na rafiki yake Bora wa zamani .
Was zero, there's no even communication, sema sasa ndo nafaidi remember not seen each other to date though.Muda wote huo kuna kitu ulikuwa unafaidi?
Hahaha.............tena ukiupata ukiwa masikini ndiyo huchelewi kurudi kwa Baba, maana lishe yenyewe inakuwa mtihani kuipata 🙌Grid ya Taifa upate umeme wa REA au kawaida[emoji16][emoji16]
Sisi Wazee tuna msemo wetu kuwa Mwenye Kisu kikali ndiyo atakula nyama 🤪Babu gani kuozesha nje nje😂😂
Hahahaha...................umenikumbusha huyo rafiki, sijui alipotelea wapi maana baada ya lile tukio sijamsikia tena 🙌[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Babu itabidi tuwachunguze anayemiliki bastola naachana naye, sitaki wasije kuni Ufoo Saro bure
😄😄🏃🏃[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Babu umenishinda[emoji119][emoji119]
ninavyo fahamu ma ex wakikutana ni kunongooka tu basi no plan no stragies. kitu ambacho ni upuuzi tuUjinga mtupu kuwa na namba yake. Ushirikiano wa mambo mengine yapi kama mlishindwana kwenye mahusiano mtawezana kwenye mambo mengine?
Hahahaha...................umenikumbusha huyo rafiki, sijui alipotelea wapi maana baada ya lile tukio sijamsikia tena [emoji119]
Bastola muhimu kuwa nayo, Babu yako mwenyewe ninayo ila ndiyo ile ya kabla ya Uhuru, naitumia kuwatishia Ngedere tu wasile mahindi yangu [emoji2957]
Kulikuwa na tetesi hapa JF kuwa eti alikuwa ni mtu wa mfumo, ndiyo maana aliweza kukwepa zile risasi 🙌Sijui alipotelea wapi na kazi aliacha ITV
Babu hilo la enzi ya uhuru ndio utalitumia kukimbiza wajukuu watakaoleta fujo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kasema nani muendelee kukaa na misemo yenu vijana sasa hutamsemo kama chinjaSisi Wazee tuna msemo wetu kuwa Mwenye Kisu kikali ndiyo atakula nyama 🤪
Kulikuwa na tetesi hapa JF kuwa eti alikuwa ni mtu wa mfumo, ndiyo maana aliweza kukwepa zile risasi [emoji119]
Atakayeleta vurugu lazima nitumie manati ya Mzungu kuweza kumtuliza, hasa wale waonjaji tu wasiotaka Ndoa [emoji2957]