Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Mwenyewe huyu anaonekana mjuaji sana ni Shem wangu hamna tabu pods ushachukua mbnKama unataka kumposa sema, Babu yao nipo hapa kupokea Mkaja wa Babu 🤪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyewe huyu anaonekana mjuaji sana ni Shem wangu hamna tabu pods ushachukua mbnKama unataka kumposa sema, Babu yao nipo hapa kupokea Mkaja wa Babu 🤪
Bila kuvunjwa hayo maagano hao watu lazima waendelee kuua wenza waohii nimeshuhudia dada mmoja alikuwa ameolewa na mume wa kwanza huyo mume akafariki. akaja akaolewa tena mume akafariki. nikawambia watu huyu dada atakuwa na mfadhaiko mkubwa sana kwenye jamii, jamii itamuona ana tatizo haikupita mufa nae akafariki!
kuna mbunge mmoja wa JMT ambaye pia nim mwanamuziki aliwahi kufiwa na wanawake wake wake wawili ikazua gumzo kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo hapa JF
Kumbe huwa ni Maagano kuuaBila kuvunjwa hayo maagano hao watu lazima waendelee kuua wenza wao
Hahahaha............kama ameshawahiwa huna budi kumwita shemu tu .......ila sio shemela 🤗Mwenyewe huyu anaonekana mjuaji sana ni Shem wangu hamna tabu pods ushachukua mbn
Unakuta ana maagano ya gizaKumbe huwa ni Maagano kuua
Dah sasa kwa Hali hii situnakutana na mmbo mengi ya gizagizaUnakuta ana maagano ya giza
Hahaha...................kuna jamaa alisemaga humu kama tunakufa kuna haja gani ya kufa ukiwa na maini yote .........wakati huo jamaa wanapiga marufuku ulevi kupita kiasi 🙌🤣🤣🤣🤣 cha muhimu mme enjoy kupeana utamu
Shemu anayajua maokoto vilivyoHahahaha............kama ameshawahiwa huna budi kumwita shemu tu .......ila sio shemela 🤗
🤣🤣🤣🤣UlimsaidiaHahaha...................kuna jamaa alisemaga humu kama tunakufa kuna haja gani ya kufa ukiwa na maini yote .........wakati huo jamaa wanapiga marufuku ulevi kupita kiasi 🙌
Sana aiseeDah sasa kwa Hali hii situnakutana na mmbo mengi ya gizagiza
Sasa kama Babu unatushauri vp wajukuu zako😆Sana aisee
Usijali Mjukuu, karibuni sana
🙏🙏Ahsante babu [emoji4][emoji4][emoji4]
Mimi nataka ww sio nijipige mimi we wakuweza[emoji23]
Kuweni makini mnapoanzisha mahusiano mapya.Sasa kama Babu unatushauri vp wajukuu zako😆
Mwenyewe huyu anaonekana mjuaji sana ni Shem wangu hamna tabu pods ushachukua mbn
Ila ndiyo wanakupa chachu ya kuweza kuzidi kuyatafuta hayo maokoto.Shemu anayajua maokoto vilivyo
Shemu anayajua maokoto vilivyo
Yanatumwaje ,nitume mimi, nipe maelekezo jinsi ya kutuma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi kwann kila mtu ananisimanga napenda maokoto?? Emu tumeni nione km kweli nayapenda!!!
Hahahaha, ni kweli kbs mkuuWatu wanaachana lakini namba hawafuti. Unajua ni kwanini?
Kwasababu ni suala la muda tu ipo siku watatafutana.
Nami nakushauri kamwe usifute namba ya ex wako. Ipo siku atakufaa kwa matumizi ya dharura.