Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Mke mzuri sasa ushem naumwaga hakunaga tunakulaAcha unaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha............ukizidiwa utajikuta unamkabidhi kibuyu chote afanye kazi ya kukulambisha asali tu π€Nimeanza mgomo baridi babu, kibuyu kitaisha asali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo kwenye kuzidiwa sasaβ¦β¦..?! [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Falsafa ngumuππHahahaha............ukizidiwa utajikuta unamkabidhi kibuyu chote afanye kazi ya kukulambisha asali tu π€
Utafanya Wazee wako tununue mashuka meupe kukupima bure πππKirikou sio wa kumsikiza babu ana kudanganya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha..........kwamba tumeweka mabano π€ͺFalsafa ngumuππ
Mke mzuri sasa ushem naumwaga hakunaga tunakula
Kaka mwenyew anaibiwa kuliko kuona anaibiwa bora nami niibe ila nisikamatweπKirikou mbona imekua ghafla sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Utapigwa na kaka ako
Hahahaha............ukizidiwa utajikuta unamkabidhi kibuyu chote afanye kazi ya kukulambisha asali tu [emoji847]
Utafanya Wazee wako tununue mashuka meupe kukupima bure [emoji125][emoji125][emoji125]
Kaka mwenyew anaibiwa kuliko kuona anaibiwa bora nami niibe ila nisikamatwe[emoji38]
Nimefurahi kusikia hivyo, maana kama hautakuwa nayo Babu yako nitakosa zawadi ya Koti la Babu π€ͺBabu bado ipo wala usiharibu pesa kununua shuka jeupe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ππππππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila babu!!! Kumbe unalijua hilo, Sa itakuwaje??!!!
Nimefurahi kusikia hivyo, maana kama hautakuwa nayo Babu yako nitakosa zawadi ya Koti la Babu [emoji2957]
[emoji85][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Koh koh koh ..........ππππIpo babu kwa hilo ondoa shaka [emoji85][emoji85]
Koh koh koh ..........[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hadi kufikia Uzee huu nimesikia mengi ya kweli na uongo ila katika hili nahitaji uthibitisho π€ͺπππBabu ko huamini?? [emoji23][emoji23][emoji23]
UTAMUYani mtu mneachana miaka imepita mnarudiana Ili mgundue Nini Jamani
Hadi kufikia Uzee huu nimesikia mengi ya kweli na uongo ila katika hili nahitaji uthibitisho [emoji2957][emoji125][emoji125][emoji125]
Labda kama upo single.Sijawahi futa namba ya x maana huwa siachani na mtu kwa ubaya
Kuna kesho...shida Ina tabia ya kuturudisha kwa watu tuliokorofishana nao
Ma ex zangu huwa tunawasiliana na kusaidiana kwa nyakati tofauti....japo hakuna mapenzi tena baina yetu