kiliochangu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 1,152
- 883
Singo Maza hawana mvuto mkuu wameshashusha Engine
Assume uko home alafu dume mwenzio anakuja kumuona mwanae alafu unafanye kwa mfano? Sijui wewe unakuwa unajichekesha apo au unawapusha waongee?
Ukiona mwanaume anakimbilia kwa singo maza ujue anapenda mteremko maana wako very cheap tena wengine wanajitongozesha
Acha ujinga tafuta mwanamke wapo kibao wazuri bado hawajazaa
Sijakuelewa, labda kama unaongea bikra, huyu single mum utakuta alizaa once, na huyo hasiye na mtoto kashusha mimba zaidi ya kumi. Anaye zaa na kushusha kwa mvuto bora aliyezaa