Emojis
Senior Member
- Jan 4, 2017
- 191
- 219
Kiukwel jamii kama hii ndio inayochangia mabinti kutoa mimba sijui kama watu wa humu ni vivulana au wanaume kamili. Mtu anasema single mom hajatulia hii ni akili au tope? Kuna mahusiano yyte yale ambapo watu hawajamiiani? Kama watu wanajamiiana mtu akipata ujauzauzto akaamua kutoutoa ndio hajatulia? Uliona malaya anayejiuza anazaa ovyo au mapema? Kuwen na busara kidogo kwa vile tu haujulikani usidhan unaweza ongea upuuzi wwte ule mind u u will have kids dada ndugu na jamaa heshimuni maamuzi ya watu basi. Single mom ni mama aliyeamua kutokufanya abortion na kuamua kuzaa heshimu mawazo yake. I hear peolpe here talk hawez oa single mom plzzzz kama huwez oa hayo ni maamuz yako usitake watu wote watumie fikira zako single mom weng tu wanaolewa na wanaishi jiheshimuni nyie vivulana nawaita vivulana mana siamin grown up men can think dat way