byongo
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 827
- 1,945
Natumamaii mwanaume yyte anaewasema vbaya single moms basi hajawahi kumfanya mwanamke yyte awe single mom kwa kumzalisha na kumuacha alee mtoto mwenyewe.
Na sisi wanawake tujifunze kwa wengine,,kama umeamua kuzaa unajua una uwezo Wa kulea mtoto haya lakini usijilengeshe mimba kwa kua unajipa moyo atakuoa...unajiletea matatzo tuu..!
Kelele nyingi ni sababu uwezo Wa kumtunza mtoto hamna,sasa imekuaje ukajitegesha uzae?
That's if other factors remained constant.
Na sisi wanawake tujifunze kwa wengine,,kama umeamua kuzaa unajua una uwezo Wa kulea mtoto haya lakini usijilengeshe mimba kwa kua unajipa moyo atakuoa...unajiletea matatzo tuu..!
Kelele nyingi ni sababu uwezo Wa kumtunza mtoto hamna,sasa imekuaje ukajitegesha uzae?
That's if other factors remained constant.