Sababu kuu tatu zinazowafanya baadhi ya wanaume wawadis single mama



Sijakuelewa, labda kama unaongea bikra, huyu single mum utakuta alizaa once, na huyo hasiye na mtoto kashusha mimba zaidi ya kumi. Anaye zaa na kushusha kwa mvuto bora aliyezaa
 
Sijakuelewa, labda kama unaongea bikra, huyu single mum utakuta alizaa once, na huyo hasiye na mtoto kashusha mimba zaidi ya kumi. Anaye zaa na kushusha kwa mvuto bora aliyezaa
Mkuu kitendo cha mwanamke wako tu kuwa na connection(mtoto) na mwanaume mwingine ni udhaifu mkubwa , gata kwenye kupanga mipango yenu ya future suala lake linajitokeza hasa kwa mwanamke

Alafu nazungumzia mwanamke alezaa tayari maumbile yake sehemu kubwa yanapoteza mvuto,
 
Kwa hiyo ukishamzalisha utamwacha? Issue ni mtu kujitunza na kutunzwa psychologically and physically, mvuto wa mwanamke unakuwa maitained
 
Ohoooo!!!kumbe ndivyo walivyo?
 
[emoji107]
Hauko sahihi kabisa.
 
Naona single mama unaokutana nao ni wale cheap kama unavosema wewe na zaidi labda hawajasimama kiuchumi ila usiombe kukutana na mtu yuko vizuri labda tu nyege ndo zimsumbue
 
Tuko na mitazamo tofauti,kwangu mimi ni bora single mom kuliko awo ambao awajazaa hasa kwa mtu ambae anataka mwanamke atakae ishi nae bila shida za kitoto toto,kwasababu wanaelewa wanachofanya na mara nyingi wanaheshima wanayo pata baada ya kutelekezwa na shida wanazo pitia kulea watoto wao hasa wenye hali ngumu,amini wanakuaga na akili za utafutaji na wanatunza akiba wakijua kuna watoto tena ukimpata tu piga wa pili umemaliza ata vumilia adi visivyo vumilika nani anataka aonekane anazalishwa na kuachwa kila siku ivi viruka njia unakioa leo kesho kinasepa na akiteteleki utajuta
 
Naona single mama unaokutana nao ni wale cheap kama unavosema wewe na zaidi labda hawajasimama kiuchumi ila usiombe kukutana na mtu yuko vizuri labda tu nyege ndo zimsumbue
Hakunaga mkate mgumu mbele ya chai
 
Kwani wanajizalisha wenyewe
 
Mna dhambi nyie kwani walijizalisha wenyewe kazi kuwasema Wadada wa watu wakati nyie wenyewe kwenu hao masingle mother wamejaa kibao ina maana nao walikuwa hawajatulia na hao wake zenu mnaowasifia unakuta washatoa mimba kibao mpaka ndoa au kwa vile wameficha maovu yao mnawaona watakatifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…