Na kwanini kuzaa huku akijua hana mume,asubiri akazae akiishaolewa hakuolewa basi sio bahati yake ila hakuna{labda kama mpagani}popote Mungu aliporuhusu plan B kwamba mwanamke kama hakuolewa basi atafute bwana amzalishe wala mwanaume kama hakuowa atafute mwanamke amzalie mtoto.Natumamaii mwanaume yyte anaewasema vbaya single moms basi hajawahi kumfanya mwanamke yyte awe single mom kwa kumzalisha na kumuacha alee mtoto mwenyewe.
Na sisi wanawake tujifunze kwa wengine,,kama umeamua kuzaa unajua una uwezo Wa kulea mtoto haya lakini usijilengeshe mimba kwa kua unajipa moyo atakuoa...unajiletea matatzo tuu..!
Kelele nyingi ni sababu uwezo Wa kumtunza mtoto hamna,sasa imekuaje ukajitegesha uzae?
That's if other factors remained constant.
single mama ni watu ambao hawakutulia haijalishi wapo kwenye familia zetu hao ni cha wote.Mna dhambi nyie kwani walijizalisha wenyewe kazi kuwasema Wadada wa watu wakati nyie wenyewe kwenu hao masingle mother wamejaa kibao ina maana nao walikuwa hawajatulia na hao wake zenu mnaowasifia unakuta washatoa mimba kibao mpaka ndoa au kwa vile wameficha maovu yao mnawaona watakatifu
Of course unachosema ni kweli ila mwanaume mmezidi pia uongo..Na kwanini kuzaa huku akijua hana mume,asubiri akazae akiishaolewa hakuolewa basi sio bahati yake ila hakuna{labda kama mpagani}popote Mungu aliporuhusu plan B kwamba mwanamke kama hakuolewa basi atafute bwana amzalishe wala mwanaume kama hakuowa atafute mwanamke amzalie mtoto.
Mmh hawa binadamu, wewe laghaika tu ubebe mimba uisome namba. Wakiwa wanabembeleza uzae mmh,, subiri mimba iingie sasaOf course unachosema ni kweli ila mwanaume mmezidi pia uongo..
Wanaowaambiaga kina Dada wazae kwanza ndo ndoa ni kina nani?!..
Mmmmmh huna maanaSingo Maza hawana mvuto mkuu wameshashusha Engine
Assume uko home alafu dume mwenzio anakuja kumuona mwanae alafu unafanye kwa mfano? Sijui wewe unakuwa unajichekesha apo au unawapusha waongee?
Ukiona mwanaume anakimbilia kwa singo maza ujue anapenda mteremko maana wako very cheap tena wengine wanajitongozesha
Acha ujinga tafuta mwanamke wapo kibao wazuri bado hawajazaa
Aiseeeewangekuwa na msimamo wangezalishwa nje ya ndoa ukimuona single mom ujue she's for everyone.
Kwa hiyo ni heli kutoa mimbaUko sahihi mkuu mtu kazaa nje ya ndoa alafu unasema ana masimamo
No huwezi kusahihisha makosa kwa kufanya makosaKwa hiyo ni heli kutoa mimba
Mmmmh upo wapNatafuta single faza wa kunioa!
Jijini kwa BashiteMmmmh upo wap
Hiyo tabia tu ya mtu bwana. Tena kama mimi nahisi toka nijikubali kuwa na single mom na uchaguzi wa wanaume umezidi. Mwanzlni nilikua hata kama sikutaki naweza kukuentertain ila sasa hiv sikutaki sikutaki sina muda wa kupotezeana sasa hivi.Mimi nachojua, mara nyingi singo mama kama wewe mtoa mada uwa mnajitongozesha kwa wanaume,kifuatacho mnakuwa ving'ang'anizi sana,na wengine mnakuwa tayar ata kutoa mtandao pendwa ili mradi tu usiachwe,tena ukiwa mandigo,utamuonea huruma singo mama anavyojipendekeza.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hiyo tabia tu ya mtu bwana. Tena kama mimi nahisi toka nijikubali kuwa na single mom na uchaguzi wa wanaume umezidi. Mwanzlni nilikua hata kama sikutaki naweza kukuentertain ila sasa hiv sikutaki sikutaki sina muda wa kupotezeana sasa hivi.