Sababu kuu tatu zinazowafanya baadhi ya wanaume wawadis single mama

Kiukwel jamii kama hii ndio inayochangia mabinti kutoa mimba sijui kama watu wa humu ni vivulana au wanaume kamili. Mtu anasema single mom hajatulia hii ni akili au tope? Kuna mahusiano yyte yale ambapo watu hawajamiiani? Kama watu wanajamiiana mtu akipata ujauzauzto akaamua kutoutoa ndio hajatulia? Uliona malaya anayejiuza anazaa ovyo au mapema? Kuwen na busara kidogo kwa vile tu haujulikani usidhan unaweza ongea upuuzi wwte ule mind u u will have kids dada ndugu na jamaa heshimuni maamuzi ya watu basi. Single mom ni mama aliyeamua kutokufanya abortion na kuamua kuzaa heshimu mawazo yake. I hear peolpe here talk hawez oa single mom plzzzz kama huwez oa hayo ni maamuz yako usitake watu wote watumie fikira zako single mom weng tu wanaolewa na wanaishi jiheshimuni nyie vivulana nawaita vivulana mana siamin grown up men can think dat way
 
Unaelewa maana ya kutulia?
Tatizo single mother hawataki kukiri kuwa single mother kuna kosa lilifanyika la kimaamuzi
Kuwa single mother sio utaratibu wa kawaida hata kimaandiko unless ulifiwa au uliachika kwa mumeo
 
Unaelewa maana ya kutulia?
Tatizo single mother hawataki kukiri kuwa single mother kuna kosa lilifanyika la kimaamuzi
Kuwa single mother sio utaratibu wa kawaida hata kimaandiko unless ulifiwa au uliachika kwa mumeo
We uelewa wako ndio umekomea hapo sio? Sio kila single mom alikuwa na tatizo ttizo huj pale mtu anaambiwa nina mimba wanaume wengi hutoa wazo la kutoa mimba unapokataa anaamua kuondoka end of story. Kutulia unakokuongelea wewe nj kupi mana kutulia n tabia ya mtu tu humu humu jf kulijazana nyuzi za wanawake walioolewa ni wanarahsi kuwagonga nk so kutuli ni suala la mtu na sio suala la single mom. Ongea kwa fact sio uropoke tu n kukariri
 
Umesahau kugongewa na mzazi mwenzake!
 
Pole sana kwa kuzalishwa na kutelekezwa!
 
Kutulia maana yeke ni kuwa na msimamo mfano mwanamke akiamua sishiki mimba mpaka nitakapofunga ndoa then itakuwa hivo , anaepuka ngono zembe

Alafu kutumia lugha chafu na ya kashfa haiongezi uzito wa hoja yako unayojaribu kujenda au uonekane smart
 
Hawa single mother wengine ni Dada zetu na ndugu zetu wengine.
Tusiwaseme Sana japo wana makosa yao nao.
tumewazalisha Sisi wenyewe, hawakujitia mimba
 
Ulivyo andika tuu ni ushahidi tosha kuwa wewe ni single mama. Pole kwa kuachwa shogaa.
 
Single mama wengi vinganganiz kweli
Hao ving'ang'anizi mnawatoaga wapi!!???? Maana me kukufukuza jua linawaka sioni kazi, who are you hadi nikung'ang'anie!!??? Kwanini nisimng'ang'anie aliyenizalisha nikung'ang'anie wewe!!!??? Unakuwa na kipi cha ziada sana ambacho wanaume wengine hawana!!??

May be huwa unawapata ambao wanategemea mwanaume awatunzie mtoto/watoto wake.

But mwanamke akishazaa na kuachana na aliyezaa nae,anakuwa very careful na bahati mbaya tunakuwa tunaakili sana na pia tunakuwa tunatarajia utaondoka muda wowote kama alivyoondoka yule so unakuwa "chombo cha starehe tu" hadi tutakapojua unamaanisha upo serious na hayo mahusiano[emoji57] [emoji57]
 
Mimi nilishakutana nao kibao vinganganiz kweli,mizinga ndo usiseme kuliko nioe single mama bora nibaki bachela tuu,siwez kumlelea mwanaume mwenzangu mtoto never.
 
Reactions: Luv
Mimi nilishakutana nao kibao vinganganiz kweli,mizinga ndo usiseme kuliko nioe single mama bora nibaki bachela tuu,siwez kumlelea mwanaume mwenzangu mtoto never.
Basi hakikisha na wakwako halelewi na mwanaune mwenzio
 
Binafsi sijawahi kuwa dharau Single Mothers

Mungu anipiganie niendelee hivyo hivyo
 
Hiyo point ya mwisho ndo umeharibu, hao single wanajua kumkataa mtu kwani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…