Sababu kuu za Mmarekani kuhamasisha kwa nguvu sana ushoga Afrika na siyo mabara mengine

Sababu kuu za Mmarekani kuhamasisha kwa nguvu sana ushoga Afrika na siyo mabara mengine

Ukikubali ushoga kwao ni faida, ila kwetu ni hasara, ukikataa ushoga pia kwao ni faida, ila kwetu ni hasara kubwa tena mno, kwa nini ni faida kwao endapo utakubali kwanza malengo yao ya kueneza na kutetea mashoga kwa kivuli cha haki za binadamu yatakuwa yamefanikiwa kwa kiasi kikubwa, na endapo utakataa pia watakuwa wamefanikiwa kwa sababu masharti waliyokupa umeshindwa kutekeleza kwa hiyo misaada yote itasitishwa, lakini kwa muono wa viongozi wetu wanaona ni bora tuende hivyo hivyo kwa sababu kujitegemea kwa kila kitu ni vigumu kwa sababu mapato yetu ya ndani ya nchi viongozi wetu wanayafisidi kwa ubadhirifu mkubwa mno ikiwemo misaada, mapato kutokana na rasilimali zilizopo kama madini, mbuga za wanyama, milima, bandari, mikopo na mengineyo na mfano mzuri wa ufisadi muulizeni Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa.
Kwahiyo misaada ni muhimu kuliko ustawi wa jamii yetu.
 
Hawajalazimishwa sawa kwani wanaomba mkaichukue, ni viongozi wetu ndio wanaokwenda huko kuomba hiyo misaada kutokana na umasikini uliosababishwa na wao wenyewe, misaada ya masharti waikatae ili tuwe huru kuupinga huo ushoga wao bila kificho kwa kutunga sheria kali dhidi ya hawa machoko.
Usituingize katika mambo ya ajabu ambayo hatujashiriki. Misaada wanaokwenda ichukua ni CCM na genge la wahuni wanaosapoti upigaji. Asilimia kubwa ya sisi raia haturidhiki na hii misaada maana imekaa kihovyo hovyo sana.
 
Anatupima uwezo wetu baada hili atakuja na lingine maana kishajua udhaifu wetu.
Muda wake umekwisha yupo kwenye count down, taifa la laana lile limeshapatikana na kushikwa pabaya linafurukuta kama jijoka limemwagiwa mafuta ya taa na chumvi.
 
Usituingize katika mambo ya ajabu ambayo hatujashiriki. Misaada wanaokwenda ichukua ni CCM na genge la wahuni wanaosapoti upigaji. Asilimia kubwa ya sisi raia haturidhiki na hii misaada maana imekaa kihovyo hovyo sana.
Sawa pamoja na upigaji na kutoridhika lakini ndio wenye hiyo dhamana kwa niaba yetu, tufanye nini mkuu kwa kuwa hatukubaliani na hawa viongozi wetu kwa maamuzi yao yasiyozingatia maslahi mapana ya taifa letu.
 
Mbna hkuna faida zozote zile wapatazo HV mfno ukute mtu anae watete au kutetea namuomba rinda nilijaribu Kama hata ruka mita ngapi
 
Kumbuka na wewe ni Mwafrika, [emoji1][emoji1]
ukielewa hoja yangu utaelewa uzezeta wenu , hatuez endelea kwa kuiga iga , na ndio maana mnalalamikia watu ambao hawakufuati nchini mwako kukuomba uwe shoga , LEO HII UKIWA KARIAKOO UTAGUNDUA MTU ANAEIGA UARABU AU UZUNGU BASI NDO MJANJA ILA YULE KAVAA SIMPLE KIASILI KOFIA YA YA SHANGA , Suruali za vitenge n.k huyo ataonekana mhuni kuliko aliyetinga kizungu zaid au kiarabu zaid , na ndo ushoga unaanzia hapo maana ukiiga mavazi unaishia kuiga hadi kupumuliwa tu , kwann tusiige kwa wasouth dresing style yetu halaf wao wazungu waje waige mifumo yetu ya maisha ?
 
Kwann asipromote maendeleo ya technology, miundo mbinu ili tupate huo usawa. Hayo maswala ya mahusiano na ngono anayaingilia kama nani na kwa sababu zipi mbwa huyu. Marekani matako yako.
kwahiyo unataka technology yako hakusaidie mzungu kupromote na sio serikali yako kuweka mipango ya kuikuza technology ya nchi ?
 
Hawakuanza leo bali sisi ndio tumeamka usingizini 2023 ila bado hatujachelewa

Huko Israel wamebadilishwa wa kwanza na mpaka sasa Rabi hawana nguvu tena

Tel Aviv ndio mji mkuu wa mashoga duniani kwa sasa na wanakutana kila mwaka
Wamepandikiza watu wengi sana uko na watoto wamekuwa mashoga kitambo
Lile taifa teule walilokuwa wanaliita limekuwa la machoko

Tuwakataze watoto na kuwaambia madhara yake, kila mmoja wetu akemee anavyoweza hata mtoto wa jirani mwambie tu, kwani utasaidia wengi

Bila kuwaambia watafanya yao maana wanashawishiana bila kujua madhara yake, ila kama mkiwaambia msifanye hawatafanya
 
Hawakuanza leo bali sisi ndio tumeamka usingizini 2023 ila bado hatujachelewa

Huko Israel wamebadilishwa wa kwanza na mpaka sasa Rabi hawana nguvu tena

Tel Aviv ndio mji mkuu wa mashoga duniani kwa sasa na wanakutana kila mwaka
Wamepandikiza watu wengi sana uko na watoto wamekuwa mashoga kitambo
Lile taifa teule walilokuwa wanaliita limekuwa la machoko

Tuwakataze watoto na kuwaambia madhara yake, kila mmoja wetu akemee anavyoweza hata mtoto wa jirani mwambie tu, kwani utasaidia wengi

Bila kuwaambia watafanya yao maana wanashawishiana bila kujua madhara yake, ila kama mkiwaambia msifanye hawatafanya
stori kama hiz utazikuta kwa waafrika tu , fika israel utaona hali tofaut na haya mastori ya humu , kias cha mashoga wa afrika ni sawa na wa huko Israel ila huku Afrika hawana uhur wa kujionesha
 
Hayo ni mawazo yako but katika hila za marekani mojawapo ni kudhoofu mataifa mengine kiuchumi kisiasa, kijamii na kiteknolojia.

Marekani ni taifa la kibepari au taifa la kibeberu. Mojawapo ya kanuni au azimio la bepari au beberu yoyote yule ni kuhakikisha wanaomzunguka wanakuwa dhaifu kwa kila namna ili wasiweze kumpa challenge yoyote na atafanya kuwa life mission yake miaka yote kuwadhoofu sababu kwake ni threat na akiruhusu wakue na kuimarika ina maana anarisk kutolewa katika nafasi yake kama mbabe au mshika hatamu.

Hili ni kosa alilifanya kwa mchina nadhani hayupo tayari lijirudie. China kwasasa ni jabali wa miraba minne ambaye yupo tayari kumfokea marekani endapo atamletea maneno au chokochoko bila kufyata mkia katikati ya miguu na kuinamisha kichwa akiondoka kwa unyonge. Kumbuka China huyu huyu miaka ya 1950's alikuwa ni mwenzetu kwa namna nyingi kwa maana tulikuwa katika hali za kufanana kihali ila leo miaka kadhaa ametuacha na kufanikiwa kupata siti katika meza kuu ya maamuzi.

Marekani na mataifa menzake ya kibepari wanahofu endapo afrika nayo itaimarika kwa maana ya mataifa ya afrika yakishaanza kusimama kiuchumi, kisiasa, kijamii, na kitechnology hatua itatakayofuata ni mataifa haya kuanza kushirikiana na kujenga mifumo ya umoja wa kikanda na hatimaye bara hili kuunda umoja wake na kuwa taifa moja kubwa sana. Hii haitazuilika maana ni kanuni ya kisayansi na ni lazima itatokea. Nani atataka kuwa taifa kubwa huku amezungukwa na majirani dhaifu.

Afrika ikiungana tayari kutakuwa na giant meza kuu infact africa anaweza hata akajitenga na kuwa na mambo yake kwa 90% ,wadhani afrika atapata nini kwa marekani kama partner kama atajitegemea kwenye kila eneo maana resources anazo.

Kitakachofuata ni marekani kudaiwa reparations (stahiki) au fidia za madhara yaliyosababishwa na utumwa na siasa zake za kitapeli. Yeye pamoja na wenzake. Sababu vijana wa kiafrika watakuwa wamesoma na wanaelimu ya kila aina ikiwamo sheria ambayo itatumika kupeleka miswaada balaza la kimataifa kuishitaki Marekani na Europe ya Magharibi kwa madhambi yake ya Utumwa na ukoloni na kuigandamiza kibepari Africa kwa karne na karne na kuidhulumu wazi wazi tena kwa mikataba ya kinyonyaji na kuwarudisha nyuma watoto wa bara hili takatifu.

China, Urusi, india, na wengineo watapiga kura ya ndio na kukubali kuisapoti Afrika na marekani na Europe ya Magharibi italazimika kukubali kulipia madhambi ambayo yatawafilisi kiuchumi kwa asilimia kubwa sana na kuwekewa masharti magumu ya kiuchumi ikiwamo kunyimwa rasilimali na kukataliwa kushare mahitaji mbali mbali ya kiuchumi na kutesa raia wao.

Marekani anajua hili litatokea akilegeza macho yake juu ya afrika sababu ndicho kinachofuata miaka kadhaa ijayo. Sasa inabidi aje na mbinu kadha wa kadha kudhoofu ustawi wa jamii ya mataifa ya afrika ili tuvurugwe huku yeye akija na mbinu kadha wa kadha kutumia kila tulichonacho.

Kaleta haki sawa a.k.a 50/50 ili wanawake wasielewane na wanaume washindwe kujenga familia imara ambazo zitaleta ustawi wa jamii.

Anashawishi sana uwekezaji katika wanawake na kuwapa empowerment kiuchumi na siasa ili kumtoa mwanamke nyumbani na kumfanya mwanaume kuwa dhaifu sababu mwanaume ambaye atarudi katika nyumba ambayo haina amani, hakuna mwanamke wa kumpokea na kumfariji na kupanga nae maisha huyu mwanaume hatoona haja ya kutulia sehemu moja na atabakia kutanga tanga na kuishi maisha ya ubabaifu bila direction kama askari aliyerudi vitani na msongo wa mawazo akiwa na kumbukumbu za vita tu kichwani mwake.

Mwanamke akitolewa nyumbani anaacha kuwa mama anabakia kuwa mwanamke, kama vile mkulima hawezi kuwa mkulima bila kuwa shambani kwenye shamba ndivyo mwanamke hawezi kuwa mama akiwa hayupo nyumbani kwake.

Kama vile ndege mpumbavu aachaye makinda yake kwenye kiota bila kuwalinda na kuwapelekea chakula na kuwakinga na baridi ndivyo mwanamke wa sasa ameacha kutazama familia yake yaani mume wake na watoto akiwa nje ya nyumba yake kukimbizana na ndoto ambazo atakapofika kuanzia miaka 50 huwa zinayeyuka zote na anaanza kuface reality ya maisha kuwa si kweli jamii ilimuhitaji kama mchapakazi, mwanamke wa shoka, Supawoman, role model in business, ila kama mama bora kwa watoto na mke bora kwa mume.

Watoto wetu wapo pekee yao kwenye nyumba wakikuzwa na Media zisizozingatia maadili. Marekani na vibaraka wake wanawajia watoto wetu kwa njia hiyo na kuwateka akili na kuwatoa katika ubora wao na kuwashape kwa namna yao. Halafu tunakuja kuulizana why ushoga unakua ila hatuulizani why mama hakai na watoto nyumbani na kwann baba anazidiwa na gharama za uchumi sababu ya uzembe wa serikali kusimamia uchumi ili maisha yawe rahisi kwa baba kuweza kumudu gharama za maisha kwa familia yake na kuishi kwa amani na mkewe bila kumtaka ataoke nje kutafuta.

Jibu ni marekani na vibaraka wake wanamkono mrefu katika siasa,jamii, uchumi wetu na kusababisha gharama za maisha kuwa juu na kucheza na akili za raia wetu.

Umeshawahi jiuliza wale wazungu au raia wa kigeni wa kutoka magharibi huwa wanakuja kwenye vikao vyetu kusikiliza nini na kufuatilia nini?

Kuna mengi sana nita yaandalia Podcast ili tuweze kuongea na kujadili kwa mapana.
Maneno mengi ila kaa ukijua mchina na mrusi wakikutawala hakuna rangi utaacha kuona yaani ni wabaguzi wanyonyaji na hawadhamini ngozi nyeusi wewe endelea kuwakingia kifua tu
 
stori kama hiz utazikuta kwa waafrika tu , fika israel utaona hali tofaut na haya mastori ya humu , kias cha mashoga wa afrika ni sawa na wa huko Israel ila huku Afrika hawana uhur wa kujionesha
Una maana gani mkuu yaani Israel hakuna mambo haya ama
Sijaelewa naomba unifafanulie kidogo

Afrika wapo wengi ila wanajificha kwa sababu jamii bado haijakubaliana nayo, pia serikali bado inakataza ila wao wanasema Haki za Binadamu zisiingiliwe
 
Una maana gani mkuu yaani Israel hakuna mambo haya ama
Sijaelewa naomba unifafanulie kidogo

Afrika wapo wengi ila wanajificha kwa sababu jamii bado haijakubaliana nayo, pia serikali bado inakataza ila wao wanasema Haki za Binadamu zisiingiliwe
soma tena uelewe , wewe mtu mzima sijaona sehem nmesema Israel hakuna ushoga , elimu za kila swali ni kuchagua zimetunfanya tuwe wavivu kusoma mpk mwisho
 
Una maana gani mkuu yaani Israel hakuna mambo haya ama
Sijaelewa naomba unifafanulie kidogo

Afrika wapo wengi ila wanajificha kwa sababu jamii bado haijakubaliana nayo, pia serikali bado inakataza ila wao wanasema Haki za Binadamu zisiingiliwe
nkusaidie tu kasome overration ya nliyemjibu its kuna hali tofaut kati ya israel na afrika , kumbe ukwel afrika ushoga ni mwingi sana ila unafik wa watu tu
 
nkusaidie tu kasome overration ya nliyemjibu its kuna hali tofaut kati ya israel na afrika , kumbe ukwel afrika ushoga ni mwingi sana ila unafik wa watu tu
Kweli mkuu wanadhani ndio umeanza leo
Kumbe upo sana ila watu wanaishi kwa double life zaidi

Kwa nje unamuona na heshima zake na hatembei kama shoga na wengine mpaka wana familia zao ila wanajificha
Wamejaa sana ila hawajiweki wazi ila wachache sana
 
soma tena uelewe , wewe mtu mzima sijaona sehem nmesema Israel hakuna ushoga , elimu za kila swali ni kuchagua zimetunfanya tuwe wavivu kusoma mpk mwisho
Nimekuelewa vizuri wala sio uvivu wa kusoma.
Mbona tulikuwa tunaenda vizuri tu what happened [emoji15]
 
Kama unafikiri ni sawa ona huyu jamaa alikiri waziwazi ameolewa na angalia hali yake.

Na nataka niwaambie kuna janga la ugonjwa linakuja chanzo chake ni ushoga watu watapiga hela.

Chunguza duniani kote kama mtu ameanza ushoga kabla ya miaka 20 hatoboi miaka 60. Alieanza 20s na 30s akiishi sana miaka 67.

Wengi wa watu hawa wameambukizwa HIV NA waliopata HIV Aids HAWATOBOI MIAKA 45.

hivyo tunaelekea kubaya kuliko tusivyojua
 

Attachments

  • VID-20230416-WA0026.mp4
    2.9 MB
To be honest Waafrica tunajisumbua tu kubishana na kugoma kwa sababu zifuatazo
1.Wenzetu kimafikilio wapo mbali sana wameona kila aina ya binadamu ana haki ya kuinjoy kwenye hii dunia no mala waaa.Idea za dini zimetoka kwao na hizo biblia zimeandikwa na wao na hiyo story ya sodoma na gomora wameandika wao leo hii sisi Waafrica tumekomaa kusema ushoga ni dhambi kisa religion belief ambazo wametuletea wao
2.Kwa sasa western culture ndo culture yenye nguvu hapa duniani so hii Agenda yao mtake msitake itapenya tu na itakuwa jambo la kawaida maana wameanza kuiweka hadi kwenye movie ili kuondoa dhana ya kuwa shoga ni mtu asiefaa kwenye jamii. Culture ya mzungu ina nguvu hata huko uarabuni ineanza kuwasumbua kwa kuwakandamiza wanawake kwa mgongo wa sharia(sheria za kidini ya kiislam)
3.Mashoga au ushoga upo tu tangu enzi za kale hata biblia mnazoamini zimeandika so kupinga au kupiga kelele hakusaidii kuondoa hili jambo.
4.Wenzetu wazungu wamewaza sana wameona kuna kundi linateseka sana kwa maumbile na matamanio waliyoumbwa na huyo huyo anaeitwa Mungu aliewaumba wakamilifu ki hisia according to jinsia hivyo kuna haja ya kuja openly kuiambia uncivilised societ ya Africa kuwa hao hawavunji wala kutishia amani yoyote kwa sababu wanatumia miili yao kwa pleasure n leasure kwa nini sisi tulio wazima tughafilike?
5.Nilisikia watu wengi vijiweni wakisema eti Wanataka sisi wote tuwe kama wanawake ili waje watuoe tushindwe kuendeleza kizazi cha mtu mweusi.Hii kwangu niliona ni hoja ya watu wenye akili ndogo kwa sababu Tangu lini race ya mtu mweusi(low IQ creature) ikawa tishio kwa mzungu(High IQ Creature) kama hatujui ndugu zangu wazungu wanatuona kama Mizigo au mbuzi zilizozaliwa kwa mfano wa binadamu so sisi sio tishio hata kidogo na kama wao wana nia kutupiga miti waAfrica wa kiume hili nalo sio kweli kwa sababu kuna inchi ina wanaume warembo mfano Brazili,ufilipino,Spain waje kuwekeza juhudi kutu turn kuwa mashoga na masura yetu kama Burna boy hili nakataa kwa sababu ki ukweli watu weusi hatupendezi kuwa mashoga kimuonekano kwa sababu sisi mionekano yetu ni watu wa kazi(watumia nguvu kuishi) kwa sababu hatuna HIGH IQ.
6.Kwa vile hatuna IQ na mtindo wa maisha umebadilika haswa kwenye vyakula na madawa idadi kubwa ya watoto kuzaliwa na vichocheo vya kike au kike kuzaliwa na vichocheo vya kiume wamegundua WAAFRIKA sisi ni vichaa ipo siku tutakuja ku endesha zoezi la kuwasaka na kuwaua mashoga na hivyo wenye high IQ wazungu ni lazima wawekeze nguvu kuitamburisha jamii ya mashoga jamii ni jamii ya kawaida.Wanafanya hivyo kwa sababu kuna jamii kama ilivyokuwa kwa Albino na wazee kuhusishwa na dhana za kichawi au kama ilivyokuwa enzi UKOMA waafrika tulizisumbua sana mpaka wao wakaja na mashirika yao kutuelemisha mpaka tukaelewa.
7.Kuzidi kupinga na kuendesha midahalo mitandaoni,ofisini,vijiweni hii nayo ni kama ushindi kwao kwa sababu kwa namna moja ama nyingine ndo tunavyoufanyia PROMO bila kujua.
NB:
Hayo hapo juu ni mawazo yangu binafsi baada yakuanza kulifuatilia hili sakata la ushoga linalotrend so nakaribishwa kupingwa kwa hoja bila kutumia matusi.
 
Back
Top Bottom