Sababu kuu za Mmarekani kuhamasisha kwa nguvu sana ushoga Afrika na siyo mabara mengine

Watu wakifikiria Bible wanafikiri imetokea Marekani au uingereza hawajui wale jamaa walidandia basi la msanga bila kukata tiketi.
Bado wapo kwenye Utumwa wa AKILI. Na huo ni mgumu kuchomoka bora jela ya mwili unajijua uko jela. Ila jela ya AKILI ni ngumu sababu hata haijui kama uko jela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…