Sababu muhimu zinazoifanya hii kuwa Nyumba ya gharama nafuu zaidi ya vyumba vitatu

Sababu muhimu zinazoifanya hii kuwa Nyumba ya gharama nafuu zaidi ya vyumba vitatu

1. Naona bado kuna matatizo. Maji ya jikoni utayapeleka kwenye septic tank au soak pit? Ikiwa kwenye septic tank, mzunguko utakuwa mkubwa mno. Kwa nini usiyapeleke kwenye shimo utakalojenga kwa ajili ya maji ya kutoka dining room.
2. Setbacks hazitofautishi eneo kama ni high density, medium density au low density. Kinacho tofautisha ni plot coverage ( kiasi gani cha eneo kinacho ruhusiwa kufunikwa na jengo) na Floor Area Ratio ambayo inakueleza kiasi gani unaruhusiwa kujenga katika eneo kwa ujumla ( unajumlisha eneo la kila ghorofa halafu unaigawa hiyo jumla na eneo la kiwanja). Schedule of areas inakuwezesha kupiga hesabu ya FAR. Hamna standard ya plot coverage au FAR kwa sababu kila manispaa inajipangia kutokana na ukubwa wa majengo inayotaka katika kila eneo.
3. Ndio maana nikakwambia kuwa kutokuwa na stoo ya ndani kwa mazingira yetu ni upungufu wa Romani yako.
4. Hamna standard size ya jiko ingawa inapendekezwa upana usipungue mita 2.4 na urefu mita 3. Kwa vile haujaweka scale katika mchoro ni vigumu kukisia ukubwa wa jiko lako. Nimesema nilichosema kutokana na vifaa ulivyoweka ndani. Aidha, mlango wako kufungukia ndani unakula nafasi. Hata hivyo kuna vifriji vidogo vinaweza kutosha chini ya kaunta za jikoni.
5. Ushauri? Ondoa dining room, ongeza ukubwa wa living ili itoshe meza ya kulia. Ongeza pia ukubwa wa jiko au veranda ya jiko ili wengine waweze kulia huko.

Amandla...
🙏🏾 Shkrani kwa maoni, ninachokukubali unakuja na maoni yenye logic.
1. Umetoa wazo zuri, ila kwa kawaida moja kati ya kazi muhimu za Septic ni kufanya “skimming” ya maji taka, na maji ya jikoni huwa yakua na skam layer ya mafuta ambayo isipoondolewa inaenda kupunguza ufanisi wa shimo kunyonya maji (mafuta yanatanda kwenye kuta za shimo). So ikilazimu yes yanaweza kuwekwa direct kwenye shimo linalonyonya.
2. Hapa nakubaliana nawewe kwa kiasi kikubwa but still ninachofahamu setbacks huwa zinaangaliwa pia na nimeweka picha hapo uangalie
3. Vitu vingi vinawekwa kwenye makabati ya kikoni siku hizi, mikaa na vingine vinawekwa nje huko, si wote wanataka stoo ya ndani kuna watu nisha wachorea nyumba kubwa na bado hawakutaka store ya ndani
4.ok sawa
5. Hapo kwenye kuondoa dining nafikiri tutaongea yaleyale ni mtazamo wa mtu pia. Ushauri mzuri tho🙏🏾
 

Attachments

  • A925CACC-DF56-4F79-A801-8F1FDB8CF747.png
    A925CACC-DF56-4F79-A801-8F1FDB8CF747.png
    58.6 KB · Views: 73
🙏🏾 Shkrani kwa maoni, ninachokukubali unakuja na maoni yenye logic.
1. Umetoa wazo zuri, ila kwa kawaida moja kati ya kazi muhimu za Septic ni kufanya “skimming” ya maji taka, na maji ya jikoni huwa yakua na skam layer ya mafuta ambayo isipoondolewa inaenda kupunguza ufanisi wa shimo kunyonya maji (mafuta yanatanda kwenye kuta za shimo). So ikilazimu yes yanaweza kuwekwa direct kwenye shimo linalonyonya.
2. Hapa nakubaliana nawewe kwa kiasi kikubwa but still ninachofahamu setbacks huwa zinaangaliwa pia na nimeweka picha hapo uangalie
3. Vitu vingi vinawekwa kwenye makabati ya kikoni siku hizi, mikaa na vingine vinawekwa nje huko, si wote wanataka stoo ya ndani kuna watu nisha wachorea nyumba kubwa na bado hawakutaka store ya ndani
4.ok sawa
5. Hapo kwenye kuondoa dining nafikiri tutaongea yaleyale ni mtazamo wa mtu pia. Ushauri mzuri tho🙏🏾
1. Ni kawaida kuunganisha gully trap ya jikoni na septic tank. Makosa yetu ni kuwa tunatumia njia hiyo hiyo ku tupia mafuta ya kupikia. Kufanya hivi kunaleta matatizo ulioyataja. Kinachotakiwa kufanywa ni kukusanya mabaki ya mafuta tunayopikia na kuyatupa nje ya sewage system.
2. Setbacks zinaangaliwa kwa sababu ni mojawapo ya vigezo vya manispaa katika kuhakikisha majengo yana nafasi ya kupumulia na kupata mwanga wa jua. Hamna universal standard. Kila manispaa inaweza kujiamulia. Ukienda nchi nyingine, kuna maeneo setback za pembeni zinakuwa hazihitajiki na watu wanajenga mpaka kwenye party walls.
Hizo standards ulizoziweka sijui ni za manispaa ipi maana kuna vitu vingine havina mantik. Una legislate vipi idadi ya household? Unaruhusu vipi majengo mawili kwenye kiwanja lakini unalazimisha household 1? Ina maana jengo la pili haliwezi kuwa la mfanyakazi au mpangaji? Maximum ni moja tu. Hauwezi kuwa na maximum ghorofa 4 mpaka 6. Ni 4 au 6, basi. Unawekaje vigezo katika eneo halafu unaliita unplanned? Haya ni matatizo ya planning conditions zetu ambazo kiukweli nyingi ni copy and paste.
3. Ni kweli kuwa stoo inategemea matakwa ya mtu. Ubaya wetu tunaiga bila kujua na tunaamini kuwa stoo ni kwa ajili ya mkaa na magunia ya mpunga. Sio kila kitu kinawekwa kwenye makabati ya jikoni. Vitu kama pasi, meza ya kupigia pasi, toilet paper za ziada, tv iliyoharibika lakini hutaki kuitupa, glopu za akiba n.k. vyote vinawekwa kwenye stoo na sio kwenye makabati ya jikoni. Nadhani hao unao wachorea ukiwaambia unawareness pantry badala ya stoo watakubali.
4. Kuondoa dining room ni kutokana na nafasi uliyokuwa nayo ambayo imekufanya uigeuze kuwa korido ya kwenda vyumbani na chooni.
Huu ni ushauri na mawazo yangu tu.

Amandla....
 
Habari wakuu.

Inajulikana Wengi kwenye kujenga tunahofia gharama kubwa za ujenzi.
Sasa hapa nimewaletea design ya nyumba ya vyumba vitatu, jiko, dining na sebule ya gharama nafuu.

Kinachoifanya design hii kuwa ya gharama nafuu ni sababu hizi kuu tatu muhimu

1. Ina floor area (BuiltUp area= 83.3sqm) ndogo sana huku ikiwa na vyumba vya ukubwa wa kawaida kabisa. Kilichofanya kupungua kwa eneo ni kutumika kwa korido kuwa dining, na kupunguzwa kwa korido kiujumla.

Hii ndio sababu kubwa zaidi kwasababu Kwa wastani nyumba ya vyumba vitatu huwa na floor area ya 100sqm (inaweza pungua au kuongezeka). Na kitaalamu (kwa mujibu wa CRB) sqm moja ina gharimu kati ya Tsh 400,000 mpk Tsh 600,000.

2. Haina kona nyingi.
Bati lake lina zile kona nne za lazima na kwa “design” imewekwa “gable” ndogo mbele ili kuipa mvuto tu kwa mbele.
Kumbuka kadri unavyoongeza kona ndivyo unavoongeza
1>idadi ya bati zinatakazo katwa na kutupwa na
ii> pia unaongeza kofia (Hip) na
iii> Unaongeza mifereji (valleys) itakayohitaji

3. Vyoo vipo upande mmoja.
Hivo utahitaji bomba chache (kama mbili tu) kuyafikisha maji taka kwenye mashimo. Pia hautahitaji kuongeza chemba (maholes) kwaajili ya kuunganisha mabomba

Nimeweka idadi ya tofali za msingi = 938 kwa kozi sita
Tofali za juu/boma … = 1,643 kwa kozi (10+3)
Na bati =59pc
Kwenye ramani lakini ukihitaji mchanganuo kamili unaweza kutucheki whatsapp kwa 0717682856
Kiongozi nataka kama hii isiyo na mbwembwe ya vyumba vitano(master moja,public toilet moja,sebule iliyounganika na dining hapohapo(11*14),jiko dogo tu(6*6)
Hebu angalia nilivyojaribu kudesign unitekebishe.
PXL_20220730_113247165.jpg
 
1. Ni kawaida kuunganisha gully trap ya jikoni na septic tank. Makosa yetu ni kuwa tunatumia njia hiyo hiyo ku tupia mafuta ya kupikia. Kufanya hivi kunaleta matatizo ulioyataja. Kinachotakiwa kufanywa ni kukusanya mabaki ya mafuta tunayopikia na kuyatupa nje ya sewage system.
2. Setbacks zinaangaliwa kwa sababu ni mojawapo ya vigezo vya manispaa katika kuhakikisha majengo yana nafasi ya kupumulia na kupata mwanga wa jua. Hamna universal standard. Kila manispaa inaweza kujiamulia. Ukienda nchi nyingine, kuna maeneo setback za pembeni zinakuwa hazihitajiki na watu wanajenga mpaka kwenye party walls.
Hizo standards ulizoziweka sijui ni za manispaa ipi maana kuna vitu vingine havina mantik. Una legislate vipi idadi ya household? Unaruhusu vipi majengo mawili kwenye kiwanja lakini unalazimisha household 1? Ina maana jengo la pili haliwezi kuwa la mfanyakazi au mpangaji? Maximum ni moja tu. Hauwezi kuwa na maximum ghorofa 4 mpaka 6. Ni 4 au 6, basi. Unawekaje vigezo katika eneo halafu unaliita unplanned? Haya ni matatizo ya planning conditions zetu ambazo kiukweli nyingi ni copy and paste.
3. Ni kweli kuwa stoo inategemea matakwa ya mtu. Ubaya wetu tunaiga bila kujua na tunaamini kuwa stoo ni kwa ajili ya mkaa na magunia ya mpunga. Sio kila kitu kinawekwa kwenye makabati ya jikoni. Vitu kama pasi, meza ya kupigia pasi, toilet paper za ziada, tv iliyoharibika lakini hutaki kuitupa, glopu za akiba n.k. vyote vinawekwa kwenye stoo na sio kwenye makabati ya jikoni. Nadhani hao unao wachorea ukiwaambia unawareness pantry badala ya stoo watakubali.
4. Kuondoa dining room ni kutokana na nafasi uliyokuwa nayo ambayo imekufanya uigeuze kuwa korido ya kwenda vyumbani na chooni.
Huu ni ushauri na mawazo yangu tu.

Amandla....
🙏🏾Shukrani kwa maoni mazuri
 
Habari wakuu.

Inajulikana Wengi kwenye kujenga tunahofia gharama kubwa za ujenzi.
Sasa hapa nimewaletea design ya nyumba ya vyumba vitatu, jiko, dining na sebule ya gharama nafuu.

Kinachoifanya design hii kuwa ya gharama nafuu ni sababu hizi kuu tatu muhimu

1. Ina floor area (BuiltUp area= 83.3sqm) ndogo sana huku ikiwa na vyumba vya ukubwa wa kawaida kabisa. Kilichofanya kupungua kwa eneo ni kutumika kwa korido kuwa dining, na kupunguzwa kwa korido kiujumla.

Hii ndio sababu kubwa zaidi kwasababu Kwa wastani nyumba ya vyumba vitatu huwa na floor area ya 100sqm (inaweza pungua au kuongezeka). Na kitaalamu (kwa mujibu wa CRB) sqm moja ina gharimu kati ya Tsh 400,000 mpk Tsh 600,000.

2. Haina kona nyingi.
Bati lake lina zile kona nne za lazima na kwa “design” imewekwa “gable” ndogo mbele ili kuipa mvuto tu kwa mbele.
Kumbuka kadri unavyoongeza kona ndivyo unavoongeza
1>idadi ya bati zinatakazo katwa na kutupwa na
ii> pia unaongeza kofia (Hip) na
iii> Unaongeza mifereji (valleys) itakayohitaji

3. Vyoo vipo upande mmoja.
Hivo utahitaji bomba chache (kama mbili tu) kuyafikisha maji taka kwenye mashimo. Pia hautahitaji kuongeza chemba (maholes) kwaajili ya kuunganisha mabomba

Nimeweka idadi ya tofali za msingi = 938 kwa kozi sita
Tofali za juu/boma … = 1,643 kwa kozi (10+3)
Na bati =59pc
Kwenye ramani lakini ukihitaji mchanganuo kamili unaweza kutucheki whatsapp kwa 0717682856
mm ni Quantity Surveyor ( mkadiliaji majenzi) kwa anayeitaji uduma ya kuandaliwa Boq ya kuonesha garama za ujenzi wa nyumba yake au kwa kuombea mkopo pia kuandaliwa materials ambayo yataonesha nyumba yake inatumia material gan na kias gan na garama kiasi gani pia ata ukitaka kujengewa kwa bei nafuu kabisa bila kusahau kuchorewa raman nzuri na bora nicheki watsap 0753757303 /0677400169/0658400165
 
Back
Top Bottom