Sababu za kiroho kwanini Tanzania ya Mama Samia itakuwa yenye neema kubwa sana kwa Watanzania

Sababu za kiroho kwanini Tanzania ya Mama Samia itakuwa yenye neema kubwa sana kwa Watanzania

kwa hiyo Ni takwa la Mungu Samia aongoze kwa miaka minne tu badala ya kumi[emoji848]
 
SABABU NAMBA MOJA: Mama Samia Suluhu Hassan ni CHAGUO LA MUNGU moja kwa moja. Kwa lugha nyingine Mama Samia amechaguliwa na Mungu moja kwa moja kuwa Rais wa nchi hii. Namaanisha hivi urais wa Mama Samia is a result of a Divine/ Heavenly Decree. Mungu mwenyewe ndio ameamua kumuita Magufuli na in his stead akamsimika Mama Samia Suluhu Hassan kuongoza Taifa hili la Tanzania.

URAIS WA MAMA SAMIA SULUHU HASSAN IS A PURELY ACT OF GOD. ( VIS MAJOR ) Hajachaguliwa na mtu wala timu wala hajaiba kura wala hajafanya chochote isipokuwa Mungu mwenyewe kwa sababu anazozijua mwenyewe ( ambazo obviously lazima ziwe sababu sahihi na bora to the interest of all the people of Tanzania bila kujali dini zao vyamavyao makabila yao au rangi zao ) ameamua kumchagua Mama Samia Suluhu Hassan.

Hakika tangu tupate uhuru Mama Samia ndio Rais wa kwanza ambae amechaguliwa kuongoza taifa hili na Mungu mwenyewe moja kwa moja. Nyerere aliteuliwa na chama chake,Mzee Mwinyi aliteuliwa na chama chake, Mzee Mkapaalichaguliwa kwa kupigiwa kura na watanzania kama ilivyo kuwa kwa Kikwtete na Magufuli lakini Mama Samia amechaguliwa na Mungu mwenyewe kwa hiyo Watanzania tutarajie neema kubwa sana chini ya uongozi wa mama Samia kwa sababu Mama Samia amechaguliwa na Mungu moja kwa moja kwa moja na kazi ya Mungu haina makosa.

Kwa wale watanzania ambao walipo teza haki zao katika kipindi cha miaka mitano nawaambia FURAHINI KATIKA BWANA NASEMA TENA FURAHINI SANA ( WAFILIPI 4: 4-7 ) kwa sababu HII NI SIKU AMBAYO BWANA AMEIFANYA ( ZABURI 118: 24 ) Mungu anakwenda kuirudisha miaka hiyo mitano ambayo imeliwa na nzige ( YOELI 2:25-27)

kwa wasio amini katika Mungu kama Kiranga bila shaka mnaamini katika "nature" sasa itoshe kusema kwamba MAMA SAMIA SULUHU HASSAN HAS BEEN NATURALLY SELECTED TO BE THE PRESIDENT OF THIS BELOVED NATION BY MOTHER NATURE HERSELF. Nature ndio imeamua Magufuli arejee katika kwayo na nafasi yake iwe replaced by Mama Samia SULUHU HASSAN.

SABABU NAMBA MBILI : IN THE REALM OF THE SPIRIT " WOMEN ARE A PORTAL WHICH CONNECT THE HEAVEN TO THE EARTH ". Katika ulimwengu wa rohoni MWANAMKE NI LANGO LINALO TUMIKA KUUNGANISHA KATI YA MBINGU NA DUNIA. Mfano wake ni huu wewe binadamu roho yako imetoka kwa Mungu mbinguni, ili uje hapa duniani lazima upitie kwenye tumbo la mwanamke.

Hapo mwanamke ametumika kama lango.

Hata wakristo wanao amini katika Uungu wa Kristo wanajua kwamba KRISTO ( AMBAE NI NAFSI YA PILI YA MUNGU ILIYO ISHI MBINGUNI ) alikuja duniani kupitia mwanamke.( MAMA MARIA ) Mama MARIA alitumika kama lango la kuinganisha mbingu (KRISTO ) na dunia.

Mungu akitaKA kuleta mbingu duniani hufanya hivyo kupitia mwanamke. Believe my words Mungu anaenda kuileta MBINGU (NEEMA) nchini Tanzania kupitia MAMA SAMIA SULUHU HASSAN. MUNGU MWENYEWE ANAENDA KULIONGOZA TAIFA LA TANZANIA KUPITIA MAMA SAMIA. MAMA SAMIA AMETUMIKA KAMA LANGO AMBALO MUNGU MWENYEWE ANALITUMIA KUDHIHIRISHA MAPENZI NA MIPANGO YAKE JUU YA TAIFA LA TANZANIA

MUNGU IBARIKI TANZANIA

MUNGU MBARIKI RAIS WETU MAMA SAMIA SULUHU HASSAN AMBAE WEWE MWENYEWE UME MCHAGUA KULIONGOZA TAIFA LAKO HILI LILILO BARIKIWA KULIKO MATAIFA YOTE DUNIANI
Hivi wewe unamjua "MUNGU" ?? unayajua "mapenzi" ya MUNGU au unaropoka tu kwa sababu unajua kuandika?

Kabla ya kumuhusisha MUNGU na mambo unayowaza kwenye kichwa chako, kwanza, jifunze kujua MUNGU anapenda nini?
Ukiyajua "mapenzi ya MUNGU" basi pia utajua ni aina gani ya watu MUNGU huwatumia kuleta "neema" na ni aina gani ya watu MUNGU huwatumia kuleta "mapigo" kwenye nchi husika.
Usijeshangaa kuona hapo baadaye huyo "mama" uongozi wake ukawa pigo na laana kwa Watanzania badala ya "neema".
Wanaojua "mapenzi ya MUNGU" watakuwa wamenielewa.
 
SABABU NAMBA MOJA: Mama Samia Suluhu Hassan ni CHAGUO LA MUNGU moja kwa moja. Kwa lugha nyingine Mama Samia amechaguliwa na Mungu moja kwa moja kuwa Rais wa nchi hii. Namaanisha hivi urais wa Mama Samia is a result of a Divine/ Heavenly Decree. Mungu mwenyewe ndio ameamua kumuita Magufuli na in his stead akamsimika Mama Samia Suluhu Hassan kuongoza Taifa hili la Tanzania.

URAIS WA MAMA SAMIA SULUHU HASSAN IS A PURELY ACT OF GOD. ( VIS MAJOR ) Hajachaguliwa na mtu wala timu wala hajaiba kura wala hajafanya chochote isipokuwa Mungu mwenyewe kwa sababu anazozijua mwenyewe ( ambazo obviously lazima ziwe sababu sahihi na bora to the interest of all the people of Tanzania bila kujali dini zao vyamavyao makabila yao au rangi zao ) ameamua kumchagua Mama Samia Suluhu Hassan.

Hakika tangu tupate uhuru Mama Samia ndio Rais wa kwanza ambae amechaguliwa kuongoza taifa hili na Mungu mwenyewe moja kwa moja. Nyerere aliteuliwa na chama chake,Mzee Mwinyi aliteuliwa na chama chake, Mzee Mkapaalichaguliwa kwa kupigiwa kura na watanzania kama ilivyo kuwa kwa Kikwtete na Magufuli lakini Mama Samia amechaguliwa na Mungu mwenyewe kwa hiyo Watanzania tutarajie neema kubwa sana chini ya uongozi wa mama Samia kwa sababu Mama Samia amechaguliwa na Mungu moja kwa moja kwa moja na kazi ya Mungu haina makosa.

Kwa wale watanzania ambao walipo teza haki zao katika kipindi cha miaka mitano nawaambia FURAHINI KATIKA BWANA NASEMA TENA FURAHINI SANA ( WAFILIPI 4: 4-7 ) kwa sababu HII NI SIKU AMBAYO BWANA AMEIFANYA ( ZABURI 118: 24 ) Mungu anakwenda kuirudisha miaka hiyo mitano ambayo imeliwa na nzige ( YOELI 2:25-27)

kwa wasio amini katika Mungu kama Kiranga bila shaka mnaamini katika "nature" sasa itoshe kusema kwamba MAMA SAMIA SULUHU HASSAN HAS BEEN NATURALLY SELECTED TO BE THE PRESIDENT OF THIS BELOVED NATION BY MOTHER NATURE HERSELF. Nature ndio imeamua Magufuli arejee katika kwayo na nafasi yake iwe replaced by Mama Samia SULUHU HASSAN.

SABABU NAMBA MBILI : IN THE REALM OF THE SPIRIT " WOMEN ARE A PORTAL WHICH CONNECT THE HEAVEN TO THE EARTH ". Katika ulimwengu wa rohoni MWANAMKE NI LANGO LINALO TUMIKA KUUNGANISHA KATI YA MBINGU NA DUNIA. Mfano wake ni huu wewe binadamu roho yako imetoka kwa Mungu mbinguni, ili uje hapa duniani lazima upitie kwenye tumbo la mwanamke.

Hapo mwanamke ametumika kama lango.

Hata wakristo wanao amini katika Uungu wa Kristo wanajua kwamba KRISTO ( AMBAE NI NAFSI YA PILI YA MUNGU ILIYO ISHI MBINGUNI ) alikuja duniani kupitia mwanamke.( MAMA MARIA ) Mama MARIA alitumika kama lango la kuinganisha mbingu (KRISTO ) na dunia.

Mungu akitaKA kuleta mbingu duniani hufanya hivyo kupitia mwanamke. Believe my words Mungu anaenda kuileta MBINGU (NEEMA) nchini Tanzania kupitia MAMA SAMIA SULUHU HASSAN. MUNGU MWENYEWE ANAENDA KULIONGOZA TAIFA LA TANZANIA KUPITIA MAMA SAMIA. MAMA SAMIA AMETUMIKA KAMA LANGO AMBALO MUNGU MWENYEWE ANALITUMIA KUDHIHIRISHA MAPENZI NA MIPANGO YAKE JUU YA TAIFA LA TANZANIA

MUNGU IBARIKI TANZANIA

MUNGU MBARIKI RAIS WETU MAMA SAMIA SULUHU HASSAN AMBAE WEWE MWENYEWE UME MCHAGUA KULIONGOZA TAIFA LAKO HILI LILILO BARIKIWA KULIKO MATAIFA YOTE DUNIANI
Una kiwango kikubwa cha uchafu akilini mwako,mama samia ni chaguo la mungu,na magufuli aliongozwa na shetani kumchagua mama samia awe makamu wa rais? Unasema ete hakupigiwa kura wala hakuiba kura,kwenye uchaguzi mkuu ulikuwa hujazaliwa?,mbona watu mnapenda kuonyesha ujinga wenu hadharani?
 
Mama Samia Hajachaguliwa na Mungu ni Takwa la Katiba...isome katiba inasemaje kuhusu Rais aliye madarakani akifa nani anashika uongozi wa nchi na kwa namna gani....
Niandike japo, kuchaguliwa na Mungu hainamaana kwamba ingekuja kimiujiza unayofikiri wewe eti mfano tunaamka hasubui Tz nzima tunasikia sauti kutoka juu “Samia nimemchagua awe Rahisi” hapana.

Mambo ya kiiungu yanapitia njia zilezile zakawaida zilizowekwa na binadamu, kimazingira na kisayansi ila the way ilivyitokea uki connect dot unaona kuna something hapa.

Dots
1)Aligombea lakini si urahisi...Dot..A(Kama nguvu iliona kuna nafasi ana stahili si ile)

2)Mwanamke wa kwanza kama makamu... Dots...B(kama aliandaliwa na nature hivi iwe kwasababu tiyari kuna kifungu fulani kikatiba kitakamilisha mchezo.

3)Kufa kwa Raise... Dots... C (Him dot imekuja kukamilisha mchezo tu kifo hapa sitaki kueleza sana Sina Muscles)

Jambo la kiuungu linapitia njia ile ile tu...Mfano unaenda Intiview mkoa huna hata 10 Tzs ya nauri ushafaiti umekosa PAAH... Imesibitishwa umepokea 50,000 Tzs kupitia Tigopesa mtu kakosea muamala Hiyo ni Dots 70%.

Kuna jambo nataka kulifanya naona kuna Dots...nyingi sana zinanipa nguvu kuliendea.
 
SABABU NAMBA MOJA: Mama Samia Suluhu Hassan ni CHAGUO LA MUNGU moja kwa moja. Kwa lugha nyingine Mama Samia amechaguliwa na Mungu moja kwa moja kuwa Rais wa nchi hii. Namaanisha hivi urais wa Mama Samia is a result of a Divine/ Heavenly Decree. Mungu mwenyewe ndio ameamua kumuita Magufuli na in his stead akamsimika Mama Samia Suluhu Hassan kuongoza Taifa hili la Tanzania.

URAIS WA MAMA SAMIA SULUHU HASSAN IS A PURELY ACT OF GOD. ( VIS MAJOR ) Hajachaguliwa na mtu wala timu wala hajaiba kura wala hajafanya chochote isipokuwa Mungu mwenyewe kwa sababu anazozijua mwenyewe ( ambazo obviously lazima ziwe sababu sahihi na bora to the interest of all the people of Tanzania bila kujali dini zao vyamavyao makabila yao au rangi zao ) ameamua kumchagua Mama Samia Suluhu Hassan.

Hakika tangu tupate uhuru Mama Samia ndio Rais wa kwanza ambae amechaguliwa kuongoza taifa hili na Mungu mwenyewe moja kwa moja. Nyerere aliteuliwa na chama chake,Mzee Mwinyi aliteuliwa na chama chake, Mzee Mkapaalichaguliwa kwa kupigiwa kura na watanzania kama ilivyo kuwa kwa Kikwtete na Magufuli lakini Mama Samia amechaguliwa na Mungu mwenyewe kwa hiyo Watanzania tutarajie neema kubwa sana chini ya uongozi wa mama Samia kwa sababu Mama Samia amechaguliwa na Mungu moja kwa moja kwa moja na kazi ya Mungu haina makosa.

Kwa wale watanzania ambao walipo teza haki zao katika kipindi cha miaka mitano nawaambia FURAHINI KATIKA BWANA NASEMA TENA FURAHINI SANA ( WAFILIPI 4: 4-7 ) kwa sababu HII NI SIKU AMBAYO BWANA AMEIFANYA ( ZABURI 118: 24 ) Mungu anakwenda kuirudisha miaka hiyo mitano ambayo imeliwa na nzige ( YOELI 2:25-27)

kwa wasio amini katika Mungu kama Kiranga bila shaka mnaamini katika "nature" sasa itoshe kusema kwamba MAMA SAMIA SULUHU HASSAN HAS BEEN NATURALLY SELECTED TO BE THE PRESIDENT OF THIS BELOVED NATION BY MOTHER NATURE HERSELF. Nature ndio imeamua Magufuli arejee katika kwayo na nafasi yake iwe replaced by Mama Samia SULUHU HASSAN.

SABABU NAMBA MBILI : IN THE REALM OF THE SPIRIT " WOMEN ARE A PORTAL WHICH CONNECT THE HEAVEN TO THE EARTH ". Katika ulimwengu wa rohoni MWANAMKE NI LANGO LINALO TUMIKA KUUNGANISHA KATI YA MBINGU NA DUNIA. Mfano wake ni huu wewe binadamu roho yako imetoka kwa Mungu mbinguni, ili uje hapa duniani lazima upitie kwenye tumbo la mwanamke.

Hapo mwanamke ametumika kama lango.

Hata wakristo wanao amini katika Uungu wa Kristo wanajua kwamba KRISTO ( AMBAE NI NAFSI YA PILI YA MUNGU ILIYO ISHI MBINGUNI ) alikuja duniani kupitia mwanamke.( MAMA MARIA ) Mama MARIA alitumika kama lango la kuinganisha mbingu (KRISTO ) na dunia.

Mungu akitaKA kuleta mbingu duniani hufanya hivyo kupitia mwanamke. Believe my words Mungu anaenda kuileta MBINGU (NEEMA) nchini Tanzania kupitia MAMA SAMIA SULUHU HASSAN. MUNGU MWENYEWE ANAENDA KULIONGOZA TAIFA LA TANZANIA KUPITIA MAMA SAMIA. MAMA SAMIA AMETUMIKA KAMA LANGO AMBALO MUNGU MWENYEWE ANALITUMIA KUDHIHIRISHA MAPENZI NA MIPANGO YAKE JUU YA TAIFA LA TANZANIA

MUNGU IBARIKI TANZANIA

MUNGU MBARIKI RAIS WETU MAMA SAMIA SULUHU HASSAN AMBAE WEWE MWENYEWE UME MCHAGUA KULIONGOZA TAIFA LAKO HILI LILILO BARIKIWA KULIKO MATAIFA YOTE DUNIANI
Ameapishwa leo tu tayari umeingia kichwa kichwa....
umeingia mzima mzima
 
Aboreshe maisha ya mtanzania kwa kuboresha maslahi ya wafanyakazi, aajiri, awezeshe wakulima kupata mikopo yenye masharti nafuu, wafugaji watengewe maeneo ya malisho, aimarishe ulinzi na usalama wa wananchi, ajenge usawa wa kisiasa. Mengine mbwembwe tu!
Vipi kuhusu uporaji wa maliasiri za nchi?!, vp uwajibikaji kazini?, vp kuhusu matumizi bora ya kodi zetu?
 
Mimi binafsi kwa kutoelewa kwangu haya masuala, nikafikiri kuwa nafasi hii aliyopata Mama yetu Mh. SSH inatokana na Katiba ya JMT:

(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi..., basi Makamu wa Rais ataapishwa na kuwa Rais...

Sa sikujua kuwa Mama yetu kumbe ni Chaguo la MM!
Ndio sababu amesema sababu ,za" kiroho " yaan mambo yanatokea hata hujui kwa nini yameyokea hivo , rais asinge fariki mama asingekalia kiti.
 
.....Nafikiria tu ...kama katiba pia isingetoa "option" ya Makamu wa Rais kuapishwa kuwa Rais kumalizia kipindi cha Rais aliyekuwa madarakani kufariki...Basi Mama Samia asingekuwa Rais leo hii.....Nasisitiza Mama Samia ni kuwa Rais ni Takwa la Katiba...
Angepita kwa Option nyengine ambayo ingewekwa...cha msingi uwelewe Mantiki hata Mungu amlete Mtume wake leo mimi sio mkristo ningekuwa mkristo ningesema (Hata angemshusha mwanawake wapekee leo aje aongoe nchi) sikwamba sauti ya kimiujiza ingetoka juu kwamba nimemchagua huyu NOOH...angepita njia zilezile zilizowekwa na System ila kwanjia ya pekee sana.
 
Mimi nipo Ghana huku watu wanalia sana mkuu
Kuna sehemu hata kujitambulisha kuwa wewe ni mtanzania unaogopa .
Angalia Ktn uone maoni ya wakenya , dhidi yetu.we downplayed corona na imetuaibisha parefu .
 
Uyasemayo yanafanana na ukweli.Bi samia ana bahati ambayo inaweza kutokea mara chache sana.
 
U are right,kwanza mama Samia hakuomba popote kuwa rais au makamu wa rais wa nchi hii, aliteuliwa tu kuwa mgombea mwenza,then from no where wa juu yake anafariki anajikuta anachukua kijiti, Ni halali kabisa kusema amechaguliwa na Mungu,Tunaamini Mwenyez Mungu atamjalia busara na hekima kuitwnda kazi Yake kwa ukamilifu!!

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Mimi binafsi kwa kutoelewa kwangu haya masuala, nikafikiri kuwa nafasi hii aliyopata Mama yetu Mh. SSH inatokana na Katiba ya JMT:

(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi..., basi Makamu wa Rais ataapishwa na kuwa Rais...

Sa sikujua kuwa Mama yetu kumbe ni Chaguo la MM!
Mama Samia hakuwah kuomba mahala popote kuwa mgombea wa urais ktk nchi hii,2015 alikiwa mwanachama tu wa kawaida ghafla akapendekezwa awe mgombea mwenza na mwaka huu wa juu Yake anatwaliwa anajikuta anabeba nafasi,Mungu alipanga aje kuwa rais wa nchi hii kwa wakati huu,miaka 5 ya kwanza ilikuwa Ni rehearsal kujua nn kinafaa Nini hakifai,

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Ulifanya hiyo sensa lini mkuu
Leo majira ya saa 4 asbh,nikiwa natokea mwanza kuja dar,nilipofika sehemu moja panaitwa maganzo,karibu na mgodi wa mwadui,kuna hotel moja ina itwa west park hotel,nikaegesha gari pembeni karibu na mkaratusi,nikashuka na kuagiza supu ya samaki sato,nikiwa nakunywa hiyo supu,kwenye luninga kukawa na hotuba fupi ya hayati jpm kumhusu mama samia,jamaa mmoja akaingia hapo na kuagiza bia, wakati anakunywa akawa anapiga Kelele,watu wakamwambia anyamaze,lkn akawaambia mnasikiliza upumbavu,magufuli ni kitu gn? Mama mmoja aksimama akamwambia baba tunaomba utusamehe,nyamaza kimya,yule bwana akasima na kusukuma yule mama,kilichofanyika ni watu woote ktk hiyo bar wakaanza kumshambuli kwa chupa na makreti ya chupa,yule bwana amepigwa na kuumizwa sn,damu puani na mdomoni, baadae nafikiri kuna mtu alipiga simu polisi wakaja, wakawakuta watu wanatafuta petrol wachome moto,yaani ilikuwa ni hatari,nakumbuka aliulizwa na askari yeye anaitwa nani? Aiitamka jina kama luyaga,au luyange kama sikosei,baada ya kuniona mimi nimesimama pembeni nikishangaa na kusikitika kwa kilichotokea,alikuja kuniuliza juu ya kilichotokea,nikaeleza km nilivyoona,baadae wananchi wakawaambia wale askari kwa nini anamtukana kiongoz wetu aliefariki,na kwa nin atutukane sisi kuwa tunafanya upumbavu,?, wakasema yeye kuwa wa chadema hakumfanyi apate uhalali wa kumtuka Jpm,tunomba umwondoe hapa,tutachoma moto,watu wakaanza kupiga miluzi apigwee apigwee,Ni hatari,
 
Mama Samia hakuwah kuomba mahala popote kuwa mgombea wa urais ktk nchi hii,2015 alikiwa mwanachama tu wa kawaida ghafla akapendekezwa awe mgombea mwenza na mwaka huu wa juu Yake anatwaliwa anajikuta anabeba nafasi,Mungu alipanga aje kuwa rais wa nchi hii kwa wakati huu,miaka 5 ya kwanza ilikuwa Ni rehearsal kujua nn kinafaa Nini hakifai,

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
i agree with you
 
Back
Top Bottom